Masikini_Jeuri
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 6,829
- 1,303
Shukurani za dhati mweneye uzi One Month Semindu, homeboy MalafyaleP na Maishamema,
Ninapita nondo mlizoziweka kwa karibu, nia yangu ni kufugia hapo eneo la Chalinze,
Nitaanza na hao Majike 8 badala ya watoto 50 nilioazimia mwanzoni, lkn ikiwa nataka niwe na kundi nitakalolinenepesha ili niwauze ndani ya miezi walau 6 nifanyeje?
Mwisho wa kusema haya naombeni kuuziwa majike myaonayokuwa ni bora 8 yaliyopandishwa na madume yafaayo kwa idadi hiyo na pia watoto 25 wa kuwanenepesha.
Ninapita nondo mlizoziweka kwa karibu, nia yangu ni kufugia hapo eneo la Chalinze,
Nitaanza na hao Majike 8 badala ya watoto 50 nilioazimia mwanzoni, lkn ikiwa nataka niwe na kundi nitakalolinenepesha ili niwauze ndani ya miezi walau 6 nifanyeje?
Mwisho wa kusema haya naombeni kuuziwa majike myaonayokuwa ni bora 8 yaliyopandishwa na madume yafaayo kwa idadi hiyo na pia watoto 25 wa kuwanenepesha.