LEGE
JF-Expert Member
- Oct 14, 2011
- 5,122
- 9,209
wakuu kwanza natanguliza shukrani zangu kwa wote wanao toa michango changamoto na mawazo juu ya kilimo na ufugaji.kwa mda mrefu nimekuwa msomaji tuu hapa na nikapata wazo ambalo kadri siku zinavyokwenda naona kama harafu ya kuwa na maisha angalau bora inanukia kwa karibu sana.
nimekuwa na wazo hili la ufugaji kwa mda mrefu sana.aina ya mifugo ambayo naifikiria kufuga ni NGURUWE KUKU WA KIENYEJI na hivi karibuni na wazo la kware.
ila hasa ni nguruwe na kuku wa kienyeji lkn hasa hasa nguruwe.
nataka nifanye ufugaji huu kwa kiwango cha kusasa kidogo kwa uhakika sio ubabaishaji lkn kabka sijaanza ufugaji kuna mambo nilikuwa nahitaji kuyakamilisha pamoja na kuyafanyia uchunguzi na kupata ujuzi na utaalam wa kutosha.
kwanza kabisa kupata elimu ya ufugaji wa nguruwe ili niweze pata matokeo mazuri ya ufugaji wangu.
elimu juu ya malazi bora na matunzo chakula kinga na tiba.
kuhusu eneo lakufanyia ufugaji huu kwa kweli lipo kubwa sana.zaidi ya ekari 100 hivyo nilifikili baadhi ya vyakula nivilime mwenyewe.
kwa sasa mm nipo dar maisha ya mjini kiasi flani yamenichosha nishakaa sana sioni mabadiliko zaidi ya umri kunitupa mkono.
nimejichanga mpaka sasa nakama milion 5 hivyo nahisi kwa kuanzia kama zinatosha.
nina mdogo wangu ambaye alimaliza form 4 miaka kama 3 iliyopita na sasa yupo tu mtaani nilikuwa na wazo lakumpeleka sehem wanapotoa elimu ya ufugaji wa nguruwe na.kuku ili tukiingia kwenye ufugaji tuwe na elimu kiasi flani na uelewa wa nn tunaenda kukifanya.
na huyo mdogo wangu ndio nategemea yeye ndio awe msimamizi na mwangalizi mkuu sababu mm nitakuwa naendelea na mchakato wa kujiingizia kipato kidogo ili niweze kukidhi majitaji madogo madogo kwa mda ambao tutakuwa hatujaanza kupata mavuno ya ufugaji.
mm nikijana mwenye umri wa miaka 27 kama kuna mdau atakuwa tayari kutaka kuungana na mm au kunisaidia kimawazo au kunipa elimu juu ya huu ufugaji plz asisite.
nimekuwa na wazo hili la ufugaji kwa mda mrefu sana.aina ya mifugo ambayo naifikiria kufuga ni NGURUWE KUKU WA KIENYEJI na hivi karibuni na wazo la kware.
ila hasa ni nguruwe na kuku wa kienyeji lkn hasa hasa nguruwe.
nataka nifanye ufugaji huu kwa kiwango cha kusasa kidogo kwa uhakika sio ubabaishaji lkn kabka sijaanza ufugaji kuna mambo nilikuwa nahitaji kuyakamilisha pamoja na kuyafanyia uchunguzi na kupata ujuzi na utaalam wa kutosha.
kwanza kabisa kupata elimu ya ufugaji wa nguruwe ili niweze pata matokeo mazuri ya ufugaji wangu.
elimu juu ya malazi bora na matunzo chakula kinga na tiba.
kuhusu eneo lakufanyia ufugaji huu kwa kweli lipo kubwa sana.zaidi ya ekari 100 hivyo nilifikili baadhi ya vyakula nivilime mwenyewe.
kwa sasa mm nipo dar maisha ya mjini kiasi flani yamenichosha nishakaa sana sioni mabadiliko zaidi ya umri kunitupa mkono.
nimejichanga mpaka sasa nakama milion 5 hivyo nahisi kwa kuanzia kama zinatosha.
nina mdogo wangu ambaye alimaliza form 4 miaka kama 3 iliyopita na sasa yupo tu mtaani nilikuwa na wazo lakumpeleka sehem wanapotoa elimu ya ufugaji wa nguruwe na.kuku ili tukiingia kwenye ufugaji tuwe na elimu kiasi flani na uelewa wa nn tunaenda kukifanya.
na huyo mdogo wangu ndio nategemea yeye ndio awe msimamizi na mwangalizi mkuu sababu mm nitakuwa naendelea na mchakato wa kujiingizia kipato kidogo ili niweze kukidhi majitaji madogo madogo kwa mda ambao tutakuwa hatujaanza kupata mavuno ya ufugaji.
mm nikijana mwenye umri wa miaka 27 kama kuna mdau atakuwa tayari kutaka kuungana na mm au kunisaidia kimawazo au kunipa elimu juu ya huu ufugaji plz asisite.