Ufugaji wa Nguruwe: Fahamu faida, hasara na mbinu bora za ufugaji

wakuu kwanza natanguliza shukrani zangu kwa wote wanao toa michango changamoto na mawazo juu ya kilimo na ufugaji.kwa mda mrefu nimekuwa msomaji tuu hapa na nikapata wazo ambalo kadri siku zinavyokwenda naona kama harafu ya kuwa na maisha angalau bora inanukia kwa karibu sana.

nimekuwa na wazo hili la ufugaji kwa mda mrefu sana.aina ya mifugo ambayo naifikiria kufuga ni NGURUWE KUKU WA KIENYEJI na hivi karibuni na wazo la kware.

ila hasa ni nguruwe na kuku wa kienyeji lkn hasa hasa nguruwe.

nataka nifanye ufugaji huu kwa kiwango cha kusasa kidogo kwa uhakika sio ubabaishaji lkn kabka sijaanza ufugaji kuna mambo nilikuwa nahitaji kuyakamilisha pamoja na kuyafanyia uchunguzi na kupata ujuzi na utaalam wa kutosha.

kwanza kabisa kupata elimu ya ufugaji wa nguruwe ili niweze pata matokeo mazuri ya ufugaji wangu.

elimu juu ya malazi bora na matunzo chakula kinga na tiba.

kuhusu eneo lakufanyia ufugaji huu kwa kweli lipo kubwa sana.zaidi ya ekari 100 hivyo nilifikili baadhi ya vyakula nivilime mwenyewe.

kwa sasa mm nipo dar maisha ya mjini kiasi flani yamenichosha nishakaa sana sioni mabadiliko zaidi ya umri kunitupa mkono.

nimejichanga mpaka sasa nakama milion 5 hivyo nahisi kwa kuanzia kama zinatosha.

nina mdogo wangu ambaye alimaliza form 4 miaka kama 3 iliyopita na sasa yupo tu mtaani nilikuwa na wazo lakumpeleka sehem wanapotoa elimu ya ufugaji wa nguruwe na.kuku ili tukiingia kwenye ufugaji tuwe na elimu kiasi flani na uelewa wa nn tunaenda kukifanya.

na huyo mdogo wangu ndio nategemea yeye ndio awe msimamizi na mwangalizi mkuu sababu mm nitakuwa naendelea na mchakato wa kujiingizia kipato kidogo ili niweze kukidhi majitaji madogo madogo kwa mda ambao tutakuwa hatujaanza kupata mavuno ya ufugaji.

mm nikijana mwenye umri wa miaka 27 kama kuna mdau atakuwa tayari kutaka kuungana na mm au kunisaidia kimawazo au kunipa elimu juu ya huu ufugaji plz asisite.
 
Angalia kwenye ujasiriamali thread inaitwa:uzoefu wa ufugaji nguruwe wenye faida
 

safi sana mkuu wazo la nguruwe nami ninalo mda mrefu sana ni wazo zuri sana japokua nguruwe anachukua mda mrefu mpaka awe mwenye kilo za kutosha na kuzaa pia ngoja wenye elimu waje watoe hapa..
 

Ufugaji ni muunganiko wa mambo mengi sana.
1. Ujue unataka kufuga nini?
2. Unafugia wap?
3. Unafugaje?
4. Unafuga kwa ajili gani?
5. Soko lipo wapi?

Kabla hujaanza hiyo project yako jiulize hayo maswali hayo hapo juu.
Unatakiwa kupata taarifa ya kila hatua utakayopitia.
Unahitaji mbegu bora ya nguruwe, unahitaji wataalamu wa mifugo, unahitaji ku-link na soko etc.

Kwa ushauri wangu mwepesi fanya utafiti kwanza then ndo uingie ukiwa unajua kila kitu.
 

Hongera kwa wazo zuri na maono. Mimi niafuga hao vitimoto, na mpaka sasa nimefikisha kama 250 hivi. Kitu muhiimu sana nachoweza kukuambia ni chakula, hao wanakula usiombe, madawa, yaani kuwepo na mtaalam ambaye anakuja kuwaona angalau after every two weeks, minyoo inawafanya wadumae sana, ingawaje ni wavu,ulinu saana! Ila ukitaka kufuga vizuri, watunze, vizuri, usafi wa mabanda, upatikanaji wa maji ya uhakika ni lazima. jitahidi na sakafu iwe imara sana, huwa wanachimba hawa utapata kazi ya ku repair kila baada ya miezi 6 usipoimarisha sakafu yao.

Ukifikia idadi kubwa, uanze kufikiria ka bajaji, au pick up, au ka canter, kulingana na uwezo. Mimi nina ka canter tan 1.5, kananisaidia sana kufuata vyakula masokoni nk.

Sina picha, ntapiga niweke inaweza kuhamasisha wengine pia.

Soko ni kuubwa huwezi kulimaliza. na wakijua unauza utawachoka, huwezi kusupply watatosheka.

Vinginevyo, nipo Mwanza, ukipenda kuja kuwaona, ni PM
 
Idea ni nzuri but huyo mdogo wako unaetaka awe msimazi una uhakika na yeye anataka hiko hiko?
Asije kuwa na ndoto zingine kabisa
wewe unapanga yako na yeye anapanga yake

Muhimu wewe ujifunze kila kitu
halafu msimamizi umfunze wewe
akiharibu unatafuta msimamizi mwingine unamfunza
 
hello team
nataka kufuga nguruwe dar

naomba mwongozo niaze na wangap sehem gan nzuri kwa dar
 
Masikini_Jeuri ulifikia wapi mkuu na hii project?
 
Last edited by a moderator:
Mheshimiwa nimefuatilia sna thread zako, nimekuwa interested sana kwa kweli, ila mimi naomba contacts zako nataka kuja uko kwa ajili ya kujifunza ufugaji wa nguruwe plz, kama utapata hii mesg naomba unitafute kwa kupitia(nestoryedward@yahoo.com )
 
Nnauza wa nyama 40-50 nguruwe every 2 months,sometimes every month.nauza pia significantly wenye mimba kwa wafugaji wapya
 





mkuu mm ni mgeni kidogo humu nmemekua nikipitia huu mjadala tangu mwanzo mpaka sasa na nmetokea kuuelewa sana na ningependa kufanya hii project.......ubarikiwe sana
 
Naomba mtu aliye mkoa wa Kilimanjaro hususani Wilaya ya Hai....anipm tufanye hii project kwa Share...akiwa na eneo lenye mabanda itakuwa ni vizuri zaidi...niko na mtaji wa 2.5m
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…