Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeanza na laki 5 kwa sasa nna nguruwe 30. Nimefungua baa yenye duka la vinywaji pia hapo hapo baa nimemwajiri kijana anayechoma nyama ya kitimoto. Kila siku nachinja nguruwe mwenye uwezo wa kutoa kilo 200-250. kilo moja sh. 10,000.
Hawezi kukujibu kamweBaa yako iko maeneo gani hapa Kigoma na inaitwaje? Nataka nije kula kitimoto hapo kila weekend.
Good newsGuuud news
watu chuo kikuu wanalia na ajira kumbe ni kukosa mtazamo na uthubutu. wengi wakihitimu ni waoga mno. pia huwa hawana despline ya fedha kipindi wawapo chuoni. hakuna ajira nzuri kama kujiajiri.
Mkuu,
Pamoja na kebehi zao, nakuunga mkono kuwa weye unajua unalo litenda. Nakuhakikishia kuwa, mimi ni mfugaji wa hicho kitu. Nina zaidi ya miaka 20 hakuna hata siku moja nimekosa kuwa na nguruwe 10m kwa banda langu.
Kifupi tu ni kwamba, nimejenga house, nimenunulia "magari", nimesomeshea watoto 3 wakafika chuo kikuu. Kama kuna mtu anayedharau mradi huo, atembee aone.
Nimewahi kufuga mpaka nguruwe 300 kwa mara moja
Asante kwa mchango wako mkuusafi sana kijana mwenzangu hata mm nipo kwenye hyo project ya kufuga nguruwe Nina eneo kama heka 4.mm nipo mbeya lakn nataka niwafugie huko kijijn kwetu njombe.nguruwe wanastawi sana ukiwafugia polini.kikubwa we hapo uangalie chakula kama upatikanaji wake ni waraisi
ni chuma fulani.sasa mkuu ninavyofaham mm nguruwe ni mualibifu..hcho kidude si ataanza kukivunja vunja.. alafu hili nguruwe akue vizur ni vizur akiwa kwenye banda ambalo chini limechapiwa zege au banda la juu la mabanzi
Mkuu, pamoja na uharibu wa nguruwe lakini hakuna nguruwe anayeweza kutafuna chuma kwakuwa hivyo ni vyuma tena vigumu. Hizo drinkers unaweza kuzitumia hata ukiweka mabanzi hakuna shida kabisa, karibu sana mkuu.sasa mkuu ninavyofaham mm nguruwe ni mualibifu..hcho kidude si ataanza kukivunja vunja.. alafu hili nguruwe akue vizur ni vizur akiwa kwenye banda ambalo chini limechapiwa zege au banda la juu la mabanzi
mkuu hivi bei ya kuuzwa nguruwe mkubwa ni shi ngapi?Asante kwa kukumfahamisha. Ukihitaji au unaweza mwambia ndugu jamaa au rafiki anayefuga kuwa zinapatikana kwa bei nafuu kabisa
Namba yangu: 0625504952
kama kitu hakikuhusu, unakiacha kama kilivyo. periodnajisi teh teh
sorry wadau.