Ufugaji wa Nguruwe: Fahamu faida, hasara na mbinu bora za ufugaji

Ufugaji wa Nguruwe: Fahamu faida, hasara na mbinu bora za ufugaji

mkuu hivi bei ya kuuzwa nguruwe mkubwa ni shi ngapi?
nataka kwanza kifahamu hiki labda kitanipa na mimi hamasa ya kuanza kufuga.
Ni kati ya laki mbili na nusu mpaka laki tatu na nusu, kuna mdau humu ndani anaitwa @MalafyaleP huwa anafuga na kuuza nguruwe. Karibu sana
 
fuga kisasa...nguruwe laki 2.5..labda hao nguruwe akuwatunza vizur..lakn ss huku mbeya nguruwe lak 3.5 kama mzuri zaid had lak 5 unauza vizur sana
 
Natamani kuwafuga hawa wanyama, kwa hiyo naomba kujua naanzia wapi.
 
fuga kisasa...nguruwe laki 2.5..labda hao nguruwe akuwatunza vizur..lakn ss huku mbeya nguruwe lak 3.5 kama mzuri zaid had lak 5 unauza vizur sana
Nguruwe wa MalafyaleP ni wazuri wana afya na ni wasafi sana, nimewaona kwa macho yangu. Pengine hiyo bei unayosema wewe ni kutokana na umri wake pia. Ukihitaji hizo nipple drinkers kwa huko Mbeya nitakutumia mkuu, piga 0625504952
 
Hivi suala la kulisha pumba mbichi nalo husababisha minyoo? nauliza hivi kwasababu nguruwe kwangu walidumaa ingawa nilikuwa nawachoma sindano na kuwapa virutubisho (pig mix) sasa mfugaji mwenzangu Fulani amenambia natakiwa kuchemsha chakula ili kusolve tatizo, ni kweli hili?
 
fuga kisasa...nguruwe laki 2.5..labda hao nguruwe akuwatunza vizur..lakn ss huku mbeya nguruwe lak 3.5 kama mzuri zaid had lak 5 unauza vizur sana
tuwasiliane nije kufuga huko 0713 2919 47
 
Hivi suala la kulisha pumba mbichi nalo husababisha minyoo? nauliza hivi kwasababu nguruwe kwangu walidumaa ingawa nilikuwa nawachoma sindano na kuwapa virutubisho (pig mix) sasa mfugaji mwenzangu Fulani amenambia natakiwa kuchemsha chakula ili kusolve tatizo, ni kweli hili?
Pole sana mkuu. Ngoja waje wataalam hapa wakuelimishe
 
Hivi suala la kulisha pumba mbichi nalo husababisha minyoo? nauza hivi kwasababu nguruwe kwangu walidumaa ingawa nilikuwa nawachoma sindano na kuwapa virutubisho (pig mix) sasa mfugaji mwenzangu Fulani amenambia natakiwa kuchemsha chakula ili kusolve tatizo, ni kweli hili?


Vyakula vya nguruwe vinavyotakiwa kuchemshwa ni mabaki ya vyakula vilivyopikwa au maganda ya viazi au na mabaki mengine ya mboga mboga na kadhalika kwani vyakula hivi huwa na kiasi kikubwa cha contamination ya bacteria na wadudu wengine kwenye athari katika mfugo huu ... Vyakula vya kuchanganya kama pumba, mashudu alizeti/pamba, soya meal, mifupa, chumvi pig mix na hata majani mabichi fresh haviitaji kuchemshwa
 
Vyakula vya nguruwe vinavyotakiwa kuchemshwa ni mabaki ya vyakula vilivyopikwa au maganda ya viazi au na mabaki mengine ya mboga mboga na kadhalika kwani vyakula hivi huwa na kiasi kikubwa cha contamination ya bacteria na wadudu wengine kwenye athari katika mfugo huu ... Vyakula vya kuchanganya kama pumba, mashudu alizeti/pamba, soya meal, mifupa, chumvi pig mix na hata majani mabichi fresh haviitaji kuchemshwa

Nashukuru sana kwa ushauri Mkuu, unadhani ni wapi nilikosea ili isijirudie hali ile kwani kizazi kile kilichodumaa nilikiondoa nimeanza upya, ninao wakubwa wawili na wadogo wa miezi 5 wapo 6, hawa wakubwa mmoja nimempandisha atazaa march 18, Niko nao makin sana nisije cheza mchezo ule ule wa awali.
 
Nashukuru sana kwa ushauri Mkuu, unadhani ni wapi nilikosea ili isijirudie hali ile kwani kizazi kile kilichodumaa nilikiondoa nimeanza upya, ninao wakubwa wawili na wadogo wa miezi 5 wapo 6, hawa wakubwa mmoja nimempandisha atazaa march 18, Niko nao makin sana nisije cheza mchezo ule ule wa awali.

Watoto Wa nguruwe sharti uwape sindano ya Madini ya iron at the age of 3 days and repeat at 21 days ..... unapoachisha watoto kunyonya huna budi kuwachoma Dawa ya sulphurdimadine kama chanjo ya mgonjwa ya bacteria mbali mbali, Maji ni uhai mkubwa sana Wa afya ya nguruwe .... minyoo ya ndani na Nje ni lazima ithibitiwe kwa Dawa ivomec super .... usafi Wa banda ni muhimu ..... Avoid inbreeding kwani ndiyo tatizo kubwa
 
Drinkers bado zipo
 

Attachments

  • 1454036265937.jpg
    1454036265937.jpg
    39.4 KB · Views: 97
Ni kati ya laki mbili na nusu mpaka laki tatu na nusu, kuna mdau humu ndani anaitwa @MalafyaleP huwa anafuga na kuuza nguruwe. Karibu sana
mbona bei ya hasara sana. Yaani uuze 350,000 nguruwe wa kilo 90 kwa mfano. Halafu bei ya rejareja ni 10,000/kilo. Huoni kama unawafinyia kazi wengine?
 
Back
Top Bottom