MalafyaleP
Senior Member
- May 23, 2013
- 187
- 387
nadhani ile iliyokuwa pale dagaa dagaa(sinza lego) kwa sasa pamevunjwa ilikuwa tamu sana... ukitaka choma, kavu roast wewe tu...dah enzi za chuo kila weekend ilikuwa lazima nikapate kitu pale, now bado yapo baadhi ya majiko ila hapajachangamka kama zaman, siku hizi nakulaga huku mtaani tu muda unabanaMkuu nchi
Ile kiti moto ya Sabasaba Kwaminchi pale wewe acha. Kwahiyo hukumuoa mtoto mzuri?
Sinza kiti moto ndiyo kwao, kuna bar moja baada ya Mwika pale ma kaburini kwenye corner kupelekea kanisa la walokole. Kuna roast na nyama choma.nadhani ile iliyokuwa pale dagaa dagaa(sinza lego) kwa sasa pamevunjwa ilikuwa tamu sana... ukitaka choma, kavu roast wewe tu...dah enzi za chuo kila weekend ilikuwa lazima nikapate kitu pale, now bado yapo baadhi ya majiko ila hapajachangamka kama zaman, siku hizi nakulaga huku mtaani tu muda unabana
kumbe nawe ni mdau mzuri safi sana....Sinza kiti moto ndiyo kwao, jina bar moja baada ya Mwika pale ma kaburini kwenye corner kupelekea kanisa la walokole. Kuna roast na nyama choma.
Marafiki hadi selfi wanapiga pamojaWewe sikuizi paka na panya wanacheza pamoja, paka wengi wamezoea kula rost, na vi chipsi chipsi. Hawahangaiki kabisa na panya kwanza ni marafiki mno, na saa ingine utaona kabisa paka anamkimbia panya wanafukuzana.
kama kichwa cha habari kisemavyo.
kila mnyama ambaye anafugwa na binaadamu anafugwa kwa faida zake, na matumizi yake hayajifichi.
mf.
1.paka ni kukamata panya
2. kuku,kanga na bata kula nyama na mayai pia
3.mbuzi, ngombe,na kondoo, ni nyama,maziwa na mafuta
4.mbwa kutusaidia ulinzi na uwindaji
5.punda kubeba mizigo na kuna baadhi ya makabila ni nyama pia
6.sunguru, na pimbi na njiwa ni kitoweo pia.
7. farasi nae matumizi yake yanajulikana na kuna baadhi ya watu ni nyama pia
8.ngamia ni usafiri anajulikana toka zamani sana
9.sasa kuna huyu pig/mbuzi katorik/ kitimoto/noah/nguruwe/mdudu na majina mengine mengi je aliumbwa na Mwenyezi Mungu kwa ajili gani na anafaida gani kuwa mnyama wa kufugwa? maana wanyama wote wafugwao tumeona faida zao
my take.
tunaoamini tuliingizwa chaka tuendelee kumtafuna maana hana faida nyingine zaidi ya hiyo
Ktk uislamu wanaamini kuwa mwanamke hana dini!Wale ma sister do wanakwambia ' I'm not a strict Muslim any way'.
hahahahaMarafiki hadi selfi wanapiga pamoja
View attachment 677795 View attachment 677796
Na hili limewahi ripotiwa hapa JF
Rejea: Paka wangu analea mtoto wa panya.
kwa mtazamo wa haraka naona ni kitoweo harali kabisaTuulize wakulima faida ya ufugaji Wa nguruwe!
vp kwa msosi si wanafaa sanaWanaongeza uchumi na mbolea yao inakuwa mboga na matunda
ahsante sana bibieUtamu wake unazidi hao wote hapo juu, so anajitosheleza kwa nyama tu hahahaaa!!!!
kwa hiyo wachawi hawali nguruwe, nimeanza kuelewaFaida za kufuga nguruwe:
• unapata nyama
• mafuta yake utumika kupikia
• kinyesi chake ni mbolea nzuri kwa bustani na mimea
• product za ngurue kama mifupa inazuia wachawi ukiiweka ndani
• nguruwe ni mlinzi
[emoji736][emoji736][emoji736][emoji736][emoji736][emoji736][emoji736][emoji736][emoji736]
[emoji3] [emoji3] [emoji3]Utumika kama tusi (Swine) for a contemptible or unpleasant person.