Ufugaji wa Nguruwe: Fahamu faida, hasara na mbinu bora za ufugaji

Ufugaji wa Nguruwe: Fahamu faida, hasara na mbinu bora za ufugaji

Kwa ushauri wa ufugaji nguruwe wenye tija wasiliana nasi kwa 0789412904 pia tunapatikana kwa whatsap kwa hiyo namba.

Waweza pia tembelea page yetu ya instagram kwa taarifa zaidi: malafyalepigfarms
 
Mkuu nchi

Ile kiti moto ya Sabasaba Kwaminchi pale wewe acha. Kwahiyo hukumuoa mtoto mzuri?
nadhani ile iliyokuwa pale dagaa dagaa(sinza lego) kwa sasa pamevunjwa ilikuwa tamu sana... ukitaka choma, kavu roast wewe tu...dah enzi za chuo kila weekend ilikuwa lazima nikapate kitu pale, now bado yapo baadhi ya majiko ila hapajachangamka kama zaman, siku hizi nakulaga huku mtaani tu muda unabana
 
nadhani ile iliyokuwa pale dagaa dagaa(sinza lego) kwa sasa pamevunjwa ilikuwa tamu sana... ukitaka choma, kavu roast wewe tu...dah enzi za chuo kila weekend ilikuwa lazima nikapate kitu pale, now bado yapo baadhi ya majiko ila hapajachangamka kama zaman, siku hizi nakulaga huku mtaani tu muda unabana
Sinza kiti moto ndiyo kwao, kuna bar moja baada ya Mwika pale ma kaburini kwenye corner kupelekea kanisa la walokole. Kuna roast na nyama choma.
 
Hahaaa Sky Eclat nani amuoe yule? nilimtorokaga usiku amelala, asaiv yupo huko huko nahc anakula mpaka ngamia.
 
Wewe sikuizi paka na panya wanacheza pamoja, paka wengi wamezoea kula rost, na vi chipsi chipsi. Hawahangaiki kabisa na panya kwanza ni marafiki mno, na saa ingine utaona kabisa paka anamkimbia panya wanafukuzana.
Marafiki hadi selfi wanapiga pamoja
upload_2018-1-17_12-35-20.png
upload_2018-1-17_12-36-3.png


Na hili limewahi ripotiwa hapa JF
Rejea: Paka wangu analea mtoto wa panya.
 
kama kichwa cha habari kisemavyo.
kila mnyama ambaye anafugwa na binaadamu anafugwa kwa faida zake, na matumizi yake hayajifichi.
mf.
1.paka ni kukamata panya
2. kuku,kanga na bata kula nyama na mayai pia
3.mbuzi, ngombe,na kondoo, ni nyama,maziwa na mafuta
4.mbwa kutusaidia ulinzi na uwindaji
5.punda kubeba mizigo na kuna baadhi ya makabila ni nyama pia
6.sunguru, na pimbi na njiwa ni kitoweo pia.
7. farasi nae matumizi yake yanajulikana na kuna baadhi ya watu ni nyama pia
8.ngamia ni usafiri anajulikana toka zamani sana
9.sasa kuna huyu pig/mbuzi katorik/ kitimoto/noah/nguruwe/mdudu na majina mengine mengi je aliumbwa na Mwenyezi Mungu kwa ajili gani na anafaida gani kuwa mnyama wa kufugwa? maana wanyama wote wafugwao tumeona faida zao
my take.
tunaoamini tuliingizwa chaka tuendelee kumtafuna maana hana faida nyingine zaidi ya hiyo

Sijaona point ilipo ila kukusaidia hapo namba 6
Ilibidi isomeke hivi
=sungura, nguruwe, pimbi na njiwa ni kitoweo pia
 
Kwanza na wewe taja kazi nyengine ya paka kama unaijua!!!kama paka hana faida zaidi ya kukamata panya inakuwaje utake na nguruwe awe na faida nyengine tofauti na kuwa kitoweo.
 
Faida za kufuga nguruwe:
• unapata nyama

• mafuta yake utumika kupikia

• kinyesi chake ni mbolea nzuri kwa bustani na mimea

• product za ngurue kama mifupa inazuia wachawi ukiiweka ndani

• nguruwe ni mlinzi

[emoji736][emoji736][emoji736][emoji736][emoji736][emoji736][emoji736][emoji736][emoji736]
kwa hiyo wachawi hawali nguruwe, nimeanza kuelewa
 
Back
Top Bottom