Ufugaji wa Nguruwe: Fahamu faida, hasara na mbinu bora za ufugaji

Nilianza kufuga nguruwe Sep. 2019, nilianza na nguruwe 11 ila watatu ni kama wamedumaa naombeni msaada wa kuwafanya afya yao iwe vizuri?



NB: Ni mgeni kabisa kwenye ufugaji hata formula ya chakula huwa nagoogle ila nawachanganyia viru kama Pig boost hivi karibuni nimeanza kuwachanganyia pig extra.
 
Unawachanganyia kwenye chakula gani?
Au wana minyoo!
 
Unawachanganyia kwenye chakula gani?
Au wana minyoo!

Formula ya chakula huwa nachanganya vitu vifuatavyo
  1. Pumba za mahindi,
  2. Mahindi yaliyobaraswa,
  3. Mashudu ya Alizeti
  4. Dagaa
  5. Damu iliyokaushwa (Muda mwingine)
  6. Chokaa ya Wanyama
  7. Chumvi

Dawa ya Minyoo wamechomwa week 2 zilizopita
 
Formula ya chakula huwa nachanganya vitu vifuatavyo
  1. Pumba za mahindi,
  2. Mahindi yaliyobaraswa,
  3. Mashudu ya Alizeti
  4. Dagaa
  5. Damu iliyokaushwa (Muda mwingine)
  6. Chokaa ya Wanyama
  7. Chumvi

Dawa ya Minyoo wamechomwa week 2 zilizopita
Mkuu, huo mchanganyiko uko vizuri, na dawa ya minyoo umesema umewachoma wiki mbili zilizopita, subiri matokeo, au ndiyo miili yao tu,
Si unajua penye mamba na kenge hawakosi!
 
astaghafirllah wewe unaleta ukafir humu tutakutangazia expire date yako...naanza nimesema mwisho wa kupost haram zako ni mwaka huu....nitakushtakia kwa muumbaji wa vidole na mdomo wako ili aone unavyodhulumu watu
Haramu kwako halali kwa mwingine shekhe
 
Kwa wastani nguruwe anaweza kula kilo ngapi kwa mwaka ?
 
Habari wakuu, naomba kujua ukweli apa nasikia ukipandisha jike kwa dume waliozaliwa mama mmoja watoto watakao zaliwa wanakufa muda mfupi baada ya kuzaliwa.
 
Habari wakuu, naomba kujua ukweli apa nasikia ukipandisha jike kwa dume waliozaliwa mama mmoja watoto watakao zaliwa wanakufa muda mfupi baada ya kuzaliwa.
Ukipandisha jike na dume ambao ni ndugu, kuna uwezekano wa haya kutoke;
1, Mimba kuharibika.
2, Kuzaliwa watoto "goi goi" hawana nguvu wala afya! Watoto dhaifu.
3, Kimungu mungu, kimiujiza ujiza wakaishi na wakakua!
 
Huuu ugonjwa uliotangazwaa Leo umenitibulia biashara yangi ambayo kilasiku nakunyaaa laki moja mpk SAS nimeuzaa kilo 2 tu cjuii itakuaje watu wakisusa kbsa kulaa nguruwee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…