Drinker moja nguruwe wangapi?Drinkers bado zipo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Drinker moja nguruwe wangapi?Drinkers bado zipo
watatu, unapatikana wapi mkuu? ulikuwa unahitaji ngapi? karibu sana ufurahie ufugaji wa kisasaDrinker moja nguruwe wangapi?
Sijaanza bado. Lakini nitakutafutawatatu, unapatikana wapi mkuu? ulikuwa unahitaji ngapi? karibu sana ufurahie ufugaji wa kisasa
niko dar arifishiveti..kwan ww upo mkoa gan mkuu
mbeya sio mbali ntakuja kutembea nione mazingira ya kuwekeza,,niko dar arif
Karibu sana mkuu, namba yangu ni 0625504952Sijaanza bado. Lakini nitakutafuta
Mkuu inategemea na Sehemu lkn ni kuanzia 45000-50000!Huko kwenu ambapo kitoto cha nguruwe huuzwa sh 20,000 ni wapi? Ninampango wa kuanza ufugaji wa nguruwe shambani kwangu.
Ila nyama yake taaamuuuuharamu!YESU wa nazareti aliyatupa mapepo machafu yakaingia kwa nguruwe!kila nguruwe ana pepo mchafu
Mtoto wa nguruwe wa miezi miwili iringa ni 65000Mkuu inategemea na Sehemu lkn ni kuanzia 45000-50000!
Mkuu amoeba mimi naomba unijuze kuhusu kilimo cha Alizeti.Thanks Mpwa Amoeba.