Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi nadhani nguruwe...ingawa sijaulizwa mimiKwani mkuu kati ya hizi Dini mbili na nguruwe kipi kilianza kuwepo Duniani?
Wakuu ninauza Nguruwe wa saizi zote, kuanzia Mtoto wa miezi mitatu hadi nguruwe mkubwa mwenye Mimba...mbegu ni large white. Bei ya kawaida sana, kuanzia 45,000/=....shamba lipo kigamboni karibuni sana
0688407542
Nami pia naomba kuingizwa ktk group la wafugaji NguruweMkuu naomba uniunge kwenye hilo group kama bado lipo...nimejaribu kuingia kwa link imeshindikana 0767 420 464
0655340002 nami pia0765866446 na mimi
Ma namba 0655340002Nami pia naomba kuingizwa ktk group la wafugaji Nguruwe
Asante mkuuUwezo wa nguruwe kuhimili (ku_regulate body temperature) katika mazingira ya jua kali ni mdogo ukilinganisha na wanyama wengine kama vile ng'ombe.
Hali hiyo inamfanya asiwe comfortable na ikapelekea ama akapunguza kiwango cha chakula anachokula (feed intake) au kiwango cha umeng'enywaji wa chakula mwilini kikapungua (reduced digestibility) kwa sababu mwili unafanya kazi kwa ufanisi zaidi katika kiwango chake cha kawaida cha joto (optimum temperature).
Hali hii kimsingi itasababisha kupungua kwa kiwango cha ukuaji (ambako ndio kudumaa).
Kwa maelezo hayo, jibu langu kwa swali lako ni NDIO.
Na ndio maana huwa tunashauri banda lijengwe sehemu angalau yenye kivuli, na juu liwe na paa la kuzuia jua kali, usiwaanike nguruwe (na mifugo mingine pia) kama solar panels.
Ufugaji mwema.
Nguruwe ndo walianzaMi nadhani nguruwe...ingawa sijaulizwa mimi
Hao wa wiki 8 bei ganiHii mbegu ni adimu na order ni ndefu. Shamba ipo morogoro na ukinunua unawafuata hapo at your own costs.Sehemu zingine za nchi bado hawajazalishwa.Waweza wasiliana nasi kwa 0789412904 kwa order za July,August na September. Hatuna wenye mimba bado,tunauza wakiwa na umri wa week 8-10.
Bangi mbaya sanaFellaini anakosa bao la wazi
Anawauza kwa kiloHao wa wiki 8 bei gani