Ufugaji wa Nguruwe: Fahamu faida, hasara na mbinu bora za ufugaji

Ufugaji wa Nguruwe: Fahamu faida, hasara na mbinu bora za ufugaji

Sky Eclat umenena, nilishawah kula kitimoto na mtoto wa kiislam, maeneo ya sabasaba tanga huko, pale ndo inapikwa kwa wingi sana, akiamini hata akijizuia baadae atakula tu mana aliamini nitamuoa atabadilisha dini. Hahaaaa haya maisha hayaaa, tusamehewe tu.
heee kumbe
 
nadhani ile iliyokuwa pale dagaa dagaa(sinza lego) kwa sasa pamevunjwa ilikuwa tamu sana... ukitaka choma, kavu roast wewe tu...dah enzi za chuo kila weekend ilikuwa lazima nikapate kitu pale, now bado yapo baadhi ya majiko ila hapajachangamka kama zaman, siku hizi nakulaga huku mtaani tu muda unabana
kumbe sio dhambi kama watu walivyoaminishwa
 
kama kichwa cha habari kisemavyo.
kila mnyama ambaye anafugwa na binaadamu anafugwa kwa faida zake, na matumizi yake hayajifichi.
mf.
1.paka ni kukamata panya
2. kuku,kanga na bata kula nyama na mayai pia
3.mbuzi, ngombe,na kondoo, ni nyama,maziwa na mafuta
4.mbwa kutusaidia ulinzi na uwindaji
5.punda kubeba mizigo na kuna baadhi ya makabila ni nyama pia
6.sunguru, na pimbi na njiwa ni kitoweo pia.
7. farasi nae matumizi yake yanajulikana na kuna baadhi ya watu ni nyama pia
8.ngamia ni usafiri anajulikana toka zamani sana
9.sasa kuna huyu pig/mbuzi katorik/ kitimoto/noah/nguruwe/mdudu na majina mengine mengi je aliumbwa na Mwenyezi Mungu kwa ajili gani na anafaida gani kuwa mnyama wa kufugwa? maana wanyama wote wafugwao tumeona faida zao
my take.
tunaoamini tuliingizwa chaka tuendelee kumtafuna maana hana faida nyingine zaidi ya hiyo
Huyu mnyama anafukuza MAPEPO na MAJINI, mlaji wa kitimoto jini pepo linamuogopa vibaya mno ata mchawi anakuwa detected vibaya mno...!
 
mmh kwani zile dawa za kisukari insuline si na sikia zinatokana na nguruwe?



People also ask

Which insulin is made from pigs?
As the name suggests animal insulin is taken from the pancreases of animals, usually pigs (porcine or pork insulin) and cows (bovine or beef insulin). The insulin is purified which reduces the chance of the insulin user developing a reaction to the insulin.










How is animal insulin produced?
As the name suggests animal insulin is taken from the pancreases of animals, usually pigs (porcine or pork insulin) and cows (bovine or beef insulin).

The insulin is purified which reduces the chance of the insulin user developing a reaction to the insulin.
Kumbe hata wanaosema nguruwe ni haramu wanamtumia kupitia insulin injection wanapougua kisukari !!!
 
Back
Top Bottom