Baba V
JF-Expert Member
- Dec 29, 2010
- 19,479
- 9,540
Malila nadhani ungem PM mkawasiliana na kumsaidia mkuu kwenye hio project yake. Najua wewe ni mtaalamu wa fani hiyo hivyo fanya kazi yako kwa kumsaidia vizuri na kumpa maelekezo yote juu ya ufugaji samaki wa aina mbali mbali na maeneo mbali mbali.
nadhani anachokifanya Malila ndio muafaka zaidi, hata sie wengine tunajifunza kupitia hapa.
Last edited by a moderator: