Mama timmy
JF-Expert Member
- Jan 2, 2013
- 656
- 212
- Thread starter
-
- #61
Bluetooth vp tena?wiki imeisha tena ndugu yangu.nina moto wa kufuga usiniache mpaka nipoe.nasubiri kusikia kwakoMama timmy
nina vitabu vidogo viwili raising and keeping rabbits part 1&2 ... nilipewa na mtu mmoja wa FAO telefood program .... maelezo yote from A to Z utayapata in very simple and understanding language
kama unahitaji do not hesitate to contact by pm ...
available free of charge
Kivipi?naomba ufafanue ndugu yangu.
Nashukuru sana ndugu yangu.sasa nimekuelewa vzr sana.asbh njema mkubwaAina Hiyo Ni Angola Ambao Huwa Na Umbo Na Uzito Mdogo!
Habari wanajamii?kupitia hapa hapa jamvini nilionao maelekezo ya wapi pa kupata sungura mbegu kubwa na nikafuatilia nimepata ni wa kubwa waziri.pia hapo hapo dar es salaam zoo nimeona mabanda ya sungura yalivyo.sasa naanza ufugaji wa sungura wa kubwa.kama ukipata nafasi nawe jaribu kutembelea huko.
Mama timmy nataka na mimi mbegu ya sungura jike na dume lakini kama yakwako ,je umenunua wapi na ni shilingi ngapi?Habari wanajamii?kupitia hapa hapa jamvini nilionao maelekezo ya wapi pa kupata sungura mbegu kubwa na nikafuatilia nimepata ni wa kubwa waziri.pia hapo hapo dar es salaam zoo nimeona mabanda ya sungura yalivyo.sasa naanza ufugaji wa sungura wa kubwa.kama ukipata nafasi nawe jaribu kutembelea huko.
hii ni kigamboni huko kisarawe mkuu,Ni wapi huko na sisi tutembelee.
Ni kweli ni kigamboni kisarawe ila ni kisarawe ya kupitia mbagala na si kisarawe ya puguhii ni kigamboni huko kisarawe mkuu,
Nivea ndugu yangu nimewapata dar es salaam zoo na wanauza mpaka simbilisi Ukitaka.nimekupmMama timmy nataka na mimi mbegu ya sungura jike na dume lakini kama yakwako ,je umenunua wapi na ni shilingi ngapi?
Mkaguzi nimepata mbegu Nzuri ya sungura.namimi nipo interested sana na sungura. Naomba mkipata mbegu mnijulishe na mimi
Mkaguzi nimepata mbegu Nzuri ya sungura.
Nimekupata ndugu yanguAhsante kwa taarifa Mama Timmy, naomba details then ni wapi, aina, bei na nawapataje pls. Unaweza weka hapa ama ukanipm. Chaguo ni lako
Kumbe huku jf kuna vitu vzr na vya maendeleo.nimechelewa sana kujua.mimi hata kufuga sijui ila nit anazaa na njiwa.kwani na hii ni raisi zaidi kuwafuga.
Jamani kaka shossi mbona umemjibu kwa kumtisha?mpe moyo aanze halafu pagumu lazima atawatafuta wazoefu Kama kweli anamaanisha kufuga njiwa kibiashara.😛eace:Rahisi? haya fuga uone....
Karibu na nimekupmBosi nami ninafuga sungura ila dume lilikufa je unaweza niuzia dume mmoja? plz
Jamani kaka shossi mbona umemjibu kwa kumtisha?mpe moyo aanze halafu pagumu lazima atawatafuta wazoefu Kama kweli anamaanisha kufuga njiwa kibiashara.😛eace:
Lakini si umeona amekiri kuwa haujui kufuga.nahisi a nataka kufuga kienyeji yaani anajenga mabanda halafu anaweka njiwa na anawaacha wakazurure .akihitaji njiwa bora Kama Hao wakwako nadhani atakutafutaMimi wa kwangu wananishinda sasa maana anaewahudumia hajakuja jana na leo inabidi nichelewe kazini kwa ajili ya kuwahudumia asubuhi. Kwahiyo mtu akisema ni rahisi kuwafuga mhnnn haya.