Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Wewe hukukosea kujiita jingalao yaani kubwa la majinga yote.CCM inajenga Reli....Inajenga Meli...Inanunua ndege na kujenga barabara kiwango cha lami kila kona ya nchi....huo ndio utofauti kati ya ukoloni na uongozi madhubuti wa CCM!
Miradi karibu yote ya maendeleo ina mkono wa wafadhili. Hii kipande cha Tanzania ni wajibu wa serikali ya ccm isimamie ikamailike kwa wakati. Na ndicho walichofanya.Mradi wa EA huu acha uongo wa kipuuzi.
Hao ADB mbona hawaendi kujenga Congo? Mhhh Kweli mihemko ni balaa!Wapuuzi kweli hela ya ADB mradi wa EA sifa mnawapa wapuuzi CCM
Iko cnini ya kiwango mkuu. Sasa hiyo ndiyo lugha gani unaitumia kwenye mijadala. Kwani tuna ugomvi? Hayo si maoni na mtizamo wangu? Kama unaona assessnent yangu siyo sahihi kuna haja gani kutumia ya kashfa bamna hiyo. Hivi ndivyo unavyoongea hata katika familia yako? Najaribu ku figure out utakuwa ni mtu wa aina gani. Badala ya kujibu hoja kwa hoja imekuwa hoja kwa matusi? Sikufahamu lakini kusema kweli nimelazimika kukushusha sana. Any way this was an open discussion kama nimekukera wewe binafsi, I am sorry!Mimi napita hiyo barabara kila wiki,acha kutudanganya fala we. Before nilikuwa natumia 6 hours sasa hivi 2hours unaleta story za kiku**ma hapa. Kafungue nawewe bikin yako usilete maada za kichonganishi kama huna data
Uongo wangu ni nini hapo?Sasa unalinganisha Voi na Arusha?Nenda Nairobi ukaone maajabu kuanzia Kajiado,Kitengela,Athriver kuingia Mombasa road,Mlolongo nk.Wewe ni MUONGO, umepita njia ya voi- Taveta ambayo ni part ya hiyo miradi, haifikii hata robo ya huu mradi wa Tanzania.
Hizo story fake za BBC ziliishia wapi?hao wakimbizi walirudi lini?walipitia wapi?
UNHCR ina takwimu za hao wakimbizi?
Zinasimamiwa na wanaCCM...Kumbuka mwenyekiti wenu ni mmoja wa wakwepa kodi kwa hiyo usitake kujisifia unalipa kodi ilhali unaongozwa na mwenyekiti mkwepa kodi!
UKWELI LAZIMA USEMWEUkweli lazima usemwe na ukweli lazima usifiwe!!
Tuliahidi ...tunatekeleza!!
Hiyo barabara ni kali balaa tupu..
Arusha ni kama Ulaya
Mkuu uko sawa wachina walilipua vibaya sana, barabara ya Arusha sijaiona ila kati ya barabara iliyosukwa vizuri kwa Tanzania, ni barabara ya Iringa- MafingaBarabara ya Dodoma Iringa ni moja ya barabara zilizojengwa hovyo kabisa. Yaani barabara hata haijamaliza mwaka imeanza mashimo na viraka. Nitashangaa kama atakubali kuizindua hivi ilivyo maana nayo ilianza kujengwa akiwa waziri wa ujenzi enzi za JK. Wamedanganya kuijenga vizuri urefu fulani kama km 15 kutoka mjini kutoka pande zote za miji lakini baada ya hapo haina tofauti na barabara za mitaani.
Hii barabara imejengwa kwa ufadhili wa ADB na WD sio CCMBaada ya mradi huu kukamilika kwa zaidi ya asilimia 95 ...inatarajiwa barabara hii kubwa na ya aina yake iliyobadilisha sura ya jiji la Arusha na kulipa hadhi ya Jiji itafunguliwa rasmi hivi karibuni.
Hongera Serikali ya CCM kwa kuwekeza katika miundombinu ya barabara kwa kipindi cha miaka takribani 20.
Hongera JPM kwa usimamizi mzuri ukiwa Waziri na sasa Rais wa JMT.
Utakula barabara? We juha kwelisasa x- mass italika vizuri.
Labda kama register unayotumia wewe ni ile yenye majina mpaka ya Mwl Nyerere, Salome Mbatia, Kawawa, Kapteni Komba nk ndio utapata idadi hiyoIdadi ya wanachama wa CCM ni milioni 12
Huna akili hivi ukikopeshwa hela!!! bado hizo hela ni za benki? au wewe utalipa?Wapuuzi kweli hela ya ADB mradi wa EA sifa mnawapa wapuuzi CCM