Venus Star
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 26,519
- 78,311
- Thread starter
- #21
Nchi ya Mungu huzungumza pamoja.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
6. Kugawana ulaji wa kodi za wananchi kwa njia ya posho!Baraza la Vyama vya Siasa limeundwa ndani ya Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa. Wajumbe wa Baraza hili hujumuisha viongozi wa kitaifa wawili wa kila chama cha siasa chenye usajili wa kudumu. Ofisi ya Msajili wa Vyama vya siasa ndio yenye jukumu la kisheria ya kuratibu shughuli za Baraza la Vyama vya Siasa.
Mwenyekiti wa Baraza la Vyama vya Siasa na Makamu Mwenyekiti huchaguliwa kwa kupigiwa kura na wajumbe wa Baraza.
Majukumu ya Baraza la Vyama vya Siasa
1. Kumshauri Msajili wa Vyama vya Siasa juu ya mgogoro inayotokea kwenye vyama vya siasa;
2. Kumsahuri Msajili wa Vyama vya Siasa juu ya masuala yenye maslahi kwa Taifa kuhusiana na vyama vya siasa au kuhusiana na hali ya kisiasa nchini;
3. Kuishauri Serikali kupitia kwa Msajili wa Vyama vya Siasa juu ya kupitishwa kwa marekebisho na utekelezaji wa Sheria ya Vyama vya Siasa na sheria zingine zinazohusu masuala ya vyama vya siasa;
4. Kushauri juu ya kanuni zinazosimamia masuala yanayohusu vyama vya siasa;
5. Kutoa taarifa kwa Msajili wa Vyama vya Siasa juu ya uendeshaji wa chama chochote cha siasa.
Utapeli mtupu! Vipi kuhusu tume huru ya uchaguzi na katiba mpya? Kuna hata moja mmefanikiwa? Sasa nini kipya zaidi ya posho kwa Wajumbe?Hekima, Umoja na Amani
Hizi ni ngao zetu.
Maneno haya ukiyatafakari kwa kina utajua sisi ni nchi ya kipekee sana hapa duniani.
Tanzania inaamini katikaUtapeli mtupu! Vipi kuhusu tume huru ya uchaguzi na katiba mpya? Kuna hata moja mmefanikiwa? Sasa nini kipya zaidi ya posho kwa Wajumbe?
Wazee wa wale ambao wako tayari kuanzisha chama kipya Cha upinzani,usajili wa mda mfupi ni 25,000 tsh na usajili wa kudumu ni 50000, baada ya kupata wafuasi 200 katika mikoa 10 ya Zanzibar na Tanzania bara,
Nipo mbioni kuanzisha chama changu Cha upinzani, mana Hivi vilivyopo sina Iman navyo,