Ugaidi Tanzania Unafanikiwa

Vyombo vya habari vinaogopa kuambiwa vinaandika uchochezi, je gazeti la serikali limeipa coverage hiyo habari ya Mapolisi 7 kuuwawa?
 
Uislam una uhusiano mkubwa sana na ugaidi
 
Mkuu wacha urongo na chokochoko,ushaambiwa kelele zenu abiria hazina maana,wacha roli lisonge

= lori


Umekurupuka na umefanya kiherehere. Laiti ungeusoma vizuri huu uzi usingekuja na comment hiyo.
 
"The world suffers a lot. Not because of the violence of bad people. But because of the silence of the good people"

Napoléon Bonaparte
 
Haha kwa ukilaza wako kitu kikiandikwa kwa kimombo tu ndio kipo credible,
Unajua ni kitu gani kilichotokea this week hapa Dortmund Germany??same week Stockholm Sweden and so and so

Nikupe hint tu ...bus la timu ya ujerumani inayoshiriki Champions league Borussia Dortmund limepigwa bomu na kujeruhi baadhi ya wachezaji waliokuwa wanakwenda kwenye mechi ya klabu bingwa ya ulaya,na kukutwa barua iliosomeka hivi

Allah is our God and Muhammad is our prophet,islam is our religion,we have a list of famous people tht are supposed to be killed among them are footballers,musicians etc.

Stockholm gaidi alichukua lorry na kuliendesha kwa dhamira ya kuua watu ndani ya shopping centre na kufanya mauaji na kujeruhi vibaya innocent people,dereva alioendesha hilo gari ni mkimbizi toka Syria ambae ni muislam na ni gaidi
 

Nami nimeshangaa ugaidi anaujua au anausikia?? Ghaidi anayeua askari kisha kuwaita wananchi waje wachukue mkaa au vithibiti vilivyokamatwa pale kituo cha polisi. Magaidi walojichimbia kibiti, rufiji na maeneo hayo. Lol Hanna ugaidi wa namba hiyo ndugu

Jaman tujiongeze tu hawa.... hawa watu kuna mambo hawakubaliani nayo hasa ktk ili Beria lililoko uko maeneo ya kibiti. Mkuranga. Na maeneo hayo bhana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…