Ugali unaopikwa kwa Unga wa mahindi (dona) hatari kwa afya ya binadamu

Ugali unaopikwa kwa Unga wa mahindi (dona) hatari kwa afya ya binadamu

Dunia Ya Sasa Ujuzi mwingi mpaka Sisi wenyewe tunajiona sumu


Jigo
 
Aaah! kwenda zenu huko tumechoka na porojo za kila kitu sumu, tukila sembe akina mzizimkavu wanatwambia tunakosa nguvu za kiume. sasa tunakula dona tena inasumu? kuna wazee wako vijijini huko wameanza kula dona we mtoa mada hujazaliwa na mpaka leo wapo wanadunda tu. . . . peleka huko matetesi yako. . . pumba kabisa
 
Mimi nadhani sio kweli kuwa ''kansa nyingi huku kwetu zimekuja juzi juzi tu''. Zilikuwepo ila kwa sababu ya uhaba wa hospital na utibabu wenye utaalam mdogo basi watu wengi walifariki bila watu kujua ni nini kimewaua. Mawazo yako ni kama ya waafrika wengi wanaosema eti wazungu wengi wana macho mabovu kwa sababu ya kuvaa miwani. Kumbe ukweli ni kuwa huku kwetu hakuna madaktari wa macho wengi na watu wengi wanazeeka bila kupata huduma ya macho.



soka za mchangani bila data hazifai sijaongelea kansa pekeake
chukua statistics za miaka ya 90 nakitu na saivi uone tofauti kama sio mfumo wa maisha ya usasa yanayoleta hayo yote

maraya mwisho umekula mboga za majani lini na kutafuna caroti sema ukweli kutoka moyono mwako
kama mmojawapo wa walachipsi wazuri unaongelea macho macho na daktari kamatatizo la macho si la kurithi basi sababu ni wewe mwenyewe angalia hata viumbe wala majani wanaishi zaidi ya wanaokula nyama afu unaongelea tatizo la macho .
 
"Mawazo yako ni kama ya waafrika wengi wanaosema eti wazungu wengi wana macho mabovu kwa sababu ya kuvaa miwani. Kumbe ukweli ni kuwa huku kwetu hakuna madaktari wa macho wengi na watu wengi wanazeeka bila kupata huduma ya macho".



mimi ni mwafrika na mawazo lazima yawe ya kiafrika wewe mzungu mweusi una mawazo ya kizungu
nahisi ulizaliwa Africa accidentally VIVA AFRICA N I LOVE AFRICA ILL DIE IN AFRICA,NAUKUBALI UAFRIKA

BILA AFRICA HAO WAZUNGU WANGEKUWA WAPI HUKUSOMA HATA history @ macho_mdiliko said
 
soka za mchangani bila data hazifai sijaongelea kansa pekeake
chukua statistics za miaka ya 90 nakitu na saivi uone tofauti kama sio mfumo wa maisha ya usasa yanayoleta hayo yote

maraya mwisho umekula mboga za majani lini na kutafuna caroti sema ukweli kutoka moyono mwako
kama mmojawapo wa walachipsi wazuri unaongelea macho macho na daktari kamatatizo la macho si la kurithi basi sababu ni wewe mwenyewe angalia hata viumbe wala majani wanaishi zaidi ya wanaokula nyama afu unaongelea tatizo la macho .
Sikatai kuwa maisha ya sasa i.e. vyakula, mazingira na life style vimechangia kuongezeka kwa magonjwa mengi. Nachosema ni kuwa hata zamani yalikuwepo tena sana ila diagnosis ndio ilikuwa shida. Bila kusahau upashanaji habari. Zamani watu walikuwa wanajua matukio yanayotokea kijijini na maeneo ya karibu, lakini siku hizi mtu unapata matukio ya nchi nzima kwa urahisi zaidi.
 
Mi Naendelea Tu Kugonga Donna Mixed Ngano Na Uwele, Kama Kawa Tu!! Sembe Haipandi Kabisa!!!
 
jamani hivi kweli nitaweza kuacha maana mimi nachanganyaga dona na unga wa muoga yaaan sidhani kama nitaweza kuacha kuula naupenda sana yaaan hii ni taarifa mbaya kwangu
 
Daah!...kama na dona sumu basi hakuna chakula tena

Ila hata kama kuna huyo "aflatoxin" kwenye dona bado virutubisho vya dona vinaweza kua ni vingi kuliko hiyo sumu

Na kabla ya kusonga ugali ule uji hua unachemka kwa centigrade nyingi sana hiyo sumu bado inabaki salama?
We mtu umenichekesha sana. Kwa hiyo unaamini sumu ikipikwa haileti tena madhara. Kama vile vimelea vya magonjwa?
 
Huyu jamaa katuona wa dodoma tuanze kula viwavi jeshi? Dona udaga na mtama nikupiga huo na sato wangu najisikia vzr kimwili kiafya na kiakili mkuu
 
Watu wengi kwa sasa wamependelea kula ugali uliopikwa kwa unga wa mahindi usiokobilewa, maarufu 'dona'. Pamoja na kwamba mahindi uhifadhiwa kwa madawa ili yasiharibike (athari kwa fedha) kuna tatizo lingine kwa afya zetu yasemekana.

Tahadhali na unga wa dona, ni hatari kwa afya kwa sababu ya sumu inayoitwa 'aflatoxin" ambayo huwa ndani ya kiini cha mbegu ya mhindi. Ukikobolewa kiini uondolewa na kubaki unga mweupe (sembe).

Wengi sasa hawependi kula ugali wa sembe kwa sababu ya kukosa protini (iliyomo kwenye kiini). Lakini hasara ya kukosa hiyo protein ni ndogo sana kulinganisha na madhara ya "aflatoxin" itakayosababisha "cancer" mwilini mwa binadamu.

TAFAKARI CHUKUA HATUA
Mkuu umenirudisha form two kwenye disadvantage of kingom fungi ha ha ha
 
Tangazo la shetani hilo, huko vijiji kuna vizee vimekula dona tokea utoto hadi wamezeeka hakuna hiyo canser sasa kizazi hiki ndio kizazi chakutangaziwa kila tangazo la kifo ili kuwaogopesha watu, hayo mambo ya cancer ni yako dona kama kawaida ingekuwa ni kweli tungrpoteza wafungwa wote na magerezani na madent wa boarding schools
 
Du walisema tusile Sembe! leo wanasema tusile dona! Sasa tule nini?
 
Back
Top Bottom