Unahatari gani?Wakuu alichosema huyu jamaa mleta mada sio kigeni kwangu maana niliwahi kusikia kitu kama hicho. Nilisikia kwamba ugali wa dona la mahindi linatengeza sumu ikiwa utakuwa unakula kila siku pamoja ya kwamba unga wa dona una virutubisho vya kutosha. Pamoja na hayo, unga wa sembe ni hatari zaidi.
Ah! Mnatuchanganya bana.Watu wengi kwa sasa wamependelea kula ugali uliopikwa kwa unga wa mahindi usiokobilewa, maarufu 'dona'. Pamoja na kwamba mahindi uhifadhiwa kwa madawa ili yasiharibike (athari kwa fedha) kuna tatizo lingine kwa afya zetu yasemekana.
Tahadhali na unga wa dona, ni hatari kwa afya kwa sababu ya sumu inayoitwa 'aflatoxin" ambayo huwa ndani ya kiini cha mbegu ya mhindi. Ukikobolewa kiini uondolewa na kubaki unga mweupe (sembe).
Wengi sasa hawependi kula ugali wa sembe kwa sababu ya kukosa protini (iliyomo kwenye kiini). Lakini hasara ya kukosa hiyo protein ni ndogo sana kulinganisha na madhara ya "aflatoxin" itakayosababisha "cancer" mwilini mwa binadamu.
TAFAKARI CHUKUA HATUA
ni goviTeheeee we jamaa mgovi wewe
Mkuu tarttiib usiwe na jazba mleta mada kasema ni dokezo kwa hiyo ni nafasi muafaka kwa wenye taaluma hiyo kutujuza ukweli.Ni upumbavu kuweka kitu cha Google hapa! ni kiwango gani cha hiyo sumu ndo kinakuwa na madhara kwa binadam, namaanisha katika kipimo cha ppm?
Wanaofahamu kuhusu kuyaacha mahindi yaishe dawa ni wachache sana..wengi huwa hawazingatii hlo....kwani ww unaponunua mahindi huwa unauliza yamepuliziwa dawa lini ili uyahifadhi kwanza?Jamaa anashawishi tule sembe tuharibu office... Kiukweli sioni mantiki hapo sumu inakuwa juu sio ndani ya Kiiini. Pili dawa hizi za ku preserve nafaka zina muda wake wa ku expire. Hivyo muda wa Matumizi ufiki zitakuwa hazina makali. Mbali na hapo unashauriwa kuyaosha kabla ya kwenda kuyasaga. Wanaume tuleni dona sembe ni majanga.
Daah!...kama na dona sumu basi hakuna chakula tena
Ila hata kama kuna huyo "aflatoxin" kwenye dona bado virutubisho vya dona vinaweza kua ni vingi kuliko hiyo sumu. Aflatoxin iko kwenye karanga na siyo mahindi.You are doing business ya sembe. Very hopeless.
Na kabla ya kusonga ugali ule uji hua unachemka kwa centigrade nyingi sana hiyo sumu bado inabaki salama?
Haya karib sana mkuu na majibu halisi kutoka maabara.Nimesoma post zote zioni ushahidi wa utafiti wa kueleweka.
After one month nitakuja na majibu ya hili baada ya kuingia maabara mwenyewe.
Samahani jana nikikosea kidogo kiwango cha aflatoxini B1 hakitakiwi kuzidi 5ppm na total aflatoxin haitakiwi kuzidi 10ppm...iwish this will be helpful to to uNi upumbavu kuweka kitu cha Google hapa! ni kiwango gani cha hiyo sumu ndo kinakuwa na madhara kwa binadam, namaanisha katika kipimo cha ppm?
Duh, mkuu nani alikwambia sumu inapunguzwa na joto?Daah!...kama na dona sumu basi hakuna chakula tena
Ila hata kama kuna huyo "aflatoxin" kwenye dona bado virutubisho vya dona vinaweza kua ni vingi kuliko hiyo sumu
Na kabla ya kusonga ugali ule uji hua unachemka kwa centigrade nyingi sana hiyo sumu bado inabaki salama?
Kwani ni wewe uanaeandaa hiyo sembe? Wary hawaoshi wanasaga hivyo hivyo, prepare yours vinginevyo hiyo ni tahadhari uichukuesumu hiyo haiwez penya kama mahindi yako yatakua yamekauka vizuri, vinginevyo itabaki ktk ganda la nje hivyo unapaswa kuyaosha vizuri na kuyaanika iliyakauke tayar kwa kusaga.
Unasababisha kansa ya ubongo, kupungukiwa na kinga, na kutokuwa na uwezo wa kujamiiana kwa mwanaume,Unahatari gani?
Kansa kivipi....kupungua kinga kivipi....kutokua na uwezo wa kujamiiana kivipi...then ni vipi dona uwe salama alaf sembe isiwe salama ilihali mahindi ni yale yale...?do you have any facts coz watu hapa wanaelezea ni vipi dona unaweza isiwe salama...na wewe tueleze ni vipi sembe unaweza sababisha hayo matatizoUnasababisha kansa ya ubongo, kupungukiwa na kinga, na kutokuwa na uwezo wa kujamiiana kwa mwanaume,
Wa dona hauna madhara, na kama yapo ni madogo sana ambayo yanadhibitiwa na hyo mahidi kwenye kinga..