hazole1
JF-Expert Member
- Jan 3, 2015
- 4,319
- 3,916
Duniani kila kila mtu ni mtaalamu leo mwingine kaja na utaalamu wa ugali.
Wakati huo ugali wa dona yeye mwenyewe ndio kakulia tena na maharage alikua wapi kuufanyia utafiti miaka yote kisa leo kapata tuhela kila kitu anakula cha supermarket ugali wa dona anauona sio inshu tena.
Wakati huo ugali wa dona yeye mwenyewe ndio kakulia tena na maharage alikua wapi kuufanyia utafiti miaka yote kisa leo kapata tuhela kila kitu anakula cha supermarket ugali wa dona anauona sio inshu tena.