vijana wa siku mmeharibiwa na siasa sana sijui kwa ninindio mbinu mpya ya ccm hiyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
vijana wa siku mmeharibiwa na siasa sana sijui kwa ninindio mbinu mpya ya ccm hiyo
Mkuu Sumu Ikipikwa Haiondoi Sumu Iliyopo, Sema Kwa Dunia Ya Leo Mi Naona Kila Kitu Sumu Sa Sijui Tufanyeje, Coz Mpaka Mboga Za Majani Huwa Zinamwagiwa Dawa Sasa Hapa Tunaenda Wapi Ndugu.Daah!...kama na dona sumu basi hakuna chakula tena
Ila hata kama kuna huyo "aflatoxin" kwenye dona bado virutubisho vya dona vinaweza kua ni vingi kuliko hiyo sumu
Na kabla ya kusonga ugali ule uji hua unachemka kwa centigrade nyingi sana hiyo sumu bado inabaki salama?
Mtoa Uzi Amesema Sumu Hukaa Ndani Ya Kiini Cha Mahindi So Ukiosha Inatoka Vipi Hapo Mkuu?.Najua wewe si mwehu,wala Juha,Huenda labda ulichanganyiwa kiroba udanganye watu hapa,Hivi kwa sisi hapa namanyere tunaolima mahindi wenyewe hiyo sumu inatokea wapi,na je vipi kwa wanaoosha mahindi kabla ya kukoboa?Na utafiti wako hmefanyia wapi?
Sili dona ..
Sasa inakuwaje tetesi wakati data umeshaweka dhahiri
Dona ya kazi gani wakati siku hizi kuna virutubisho vinaongezwa kwenye sembe?? DONA ni hatari kwani mahindi yanapigwa dawa sana kukomesha vijidudu.Watu wengi kwa sasa wamependelea kula ugali uliopikwa kwa unga wa mahindi usiokobilewa, maarufu 'dona'. Pamoja na kwamba mahindi uhifadhiwa kwa madawa ili yasiharibike (athari kwa fedha) kuna tatizo lingine kwa afya zetu yasemekana.
Tahadhali na unga wa dona, ni hatari kwa afya kwa sababu ya sumu inayoitwa 'aflatoxin" ambayo huwa ndani ya kiini cha mbegu ya mhindi. Ukikobolewa kiini uondolewa na kubaki unga mweupe (sembe).
Wengi sasa hawependi kula ugali wa sembe kwa sababu ya kukosa protini (iliyomo kwenye kiini). Lakini hasara ya kukosa hiyo protein ni ndogo sana kulinganisha na madhara ya "aflatoxin" itakayosababisha "cancer" mwilini mwa binadamu.
TAFAKARI CHUKUA HATUA
Watu wengi kwa sasa wamependelea kula ugali uliopikwa kwa unga wa mahindi usiokobilewa, maarufu 'dona'. Pamoja na kwamba mahindi uhifadhiwa kwa madawa ili yasiharibike (athari kwa fedha) kuna tatizo lingine kwa afya zetu yasemekana.
Tahadhali na unga wa dona, ni hatari kwa afya kwa sababu ya sumu inayoitwa 'aflatoxin" ambayo huwa ndani ya kiini cha mbegu ya mhindi. Ukikobolewa kiini uondolewa na kubaki unga mweupe (sembe).
Wengi sasa hawependi kula ugali wa sembe kwa sababu ya kukosa protini (iliyomo kwenye kiini). Lakini hasara ya kukosa hiyo protein ni ndogo sana kulinganisha na madhara ya "aflatoxin" itakayosababisha "cancer" mwilini mwa binadamu.
TAFAKARI CHUKUA HATUA
Dona haina tatizo ww ndo unatatizo, panya hawal mahindi yaliyokobolewa iweje sisi tulioambiwa kuwatawala tule yaliyokobolewa? Sasa nakwambia fanya mpango uaze kula dona kwan wanaokula sembe wanajiua wenyewe taratibu lkn kwa uhakika!kama nilijua vile dona inatatizo maana nikila zile pumba hunisumbua sana tumbo sijui kwanini lakini nikila sembe najisikia vizuri salama salimini nina miaka zaidi ya 20 siujui ugali wa dona