Uganda imekubali kuwapa raia wa Afghanistani hifadhi ya ukimbizi



Hao Pashtun wanayo asili ya Israel (ni bani Israel).
 


WATU HAWAJUI KWAMBA PASHTUNS NI BANI ISRAELI.

Hao ni wazao wa Israeli nao ni wakorofi jinsi walivyokuwa ndugu zao wa mashariki ya kati.
 

Tambua tu kwamba watapewa hadhi ya ukimbizi hivyo kugharamikiwa na UN. Japo siyo nchi iliyoendelea bado ni afadhali watapata uhakika wa kuishi bila milio ya risasi
 
Hapa ndipo utagundua nguvu na hila za Marekani. Leo unaweza ukaliona dogo hili. Ukawaza tu kwa kiwango sha kibinaadamu, yani kuwasadia ndug walio kwenye majanga. Keshokutwa, USA anaweza kutengeneza kikundi cha wanaharakati kupitia watu hawahawa, iwe kwa ajili ya kutumika Afghanstan , ndani ya nchi mwenyeji ama popote kwa maslahi ya USA na vibaraka wake. Tuhesabu siku tu!
 
Kabisa Uganda itapiga hela, na Museven atajenga mahusiano mazuri na marekani

Sent from my Infinix X653 using JamiiForums mobile app
 
USA ameishashituka,haya majitu hsyana shukrani,yapeleke USA,kesho yataamka yakuchinje yakitaka yajengewe msikiti kila kona,ila hapo UG,yatapewa kila kitu kama wakimbizi na US kupitia UN,watatoa msaada mkubwa
Na wanatembeaga na visu vikali vilivyopinda
 
Nineona BBC Jana,sasa m7 naye anakubalije kirahisi hivi
 
Duh ,kumbe[emoji848]
 
Aisee[emoji848]
 
Kila kitu unashindanisha?
Nilikuwa natoa ufafanuzi tu, kwa mdau mmoja anayesema Uganda haiwezi kubeba wakimbizi 2000 toka Afghanistan. Nikamjibu kwa takwimu. Pole kama umekwazika
 
Kapicha plzz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…