Mbona walioondoka ni wachache walobaki ni wengi?Basi uganda wako na bahati sana kanda yetu, maana hata israel ya leo kama wasingekataa ungekuta wako uganda kwa sasa.
Hata matukio mengi yamewahi kutokea uwanja wa ndege wa entebe, na hata la sasa litawainua mno!
Ajabu kwangu hao waasi hawaoni aibu kukombiwa na wananchi wao?
Lakini pia ni jinsi gani africa isivyo na thamani mbele ya wenzetu, tunafanywa kama jalala!
bro Uganda ni kuzur mara kumi ya huko unakotajaYaani wamewabeba wale raia Afghanistan kwa mbwembwe utafkiri wanawapeleka Marekani au Canada mwisho wa siku kwa kuwakomoa wamewamwaga Entebbe na Museveni kakubali kuwapokea aise nahisi hao raia wanatamani hata wangepelekwa Jalalabad Pakistan au warudi Kandahar yaani wanajuta kudandia pipa.
Lazima wafanyiwe assessment unaweza Kuta Taliban ndio walidandia ndege Ili waje kufanya ugaidi Us ,vetting lazima
Wale waliodandia karibia wote wamekufa kijinga, nilikuwa naangalia clip moja wakati huu kuna maiti imebanwa na Landing gear inamevunjwa vunjwa na upepo wa huko 39000ftSipati picha Mange anajisikiaje huko Instagram 😂😂😂😂😂😂 ,hata hivyo sio mbaya kikubwa bado wanaendelea kuishi
Ndio ujue Watu hawataki na Wamechoka kutawaliwa na Sheria za Kidini.Wangewapeleka hata Alaska huko au Hawii
Museveni ana sheria zake kali kuliko sharia, wakae mkao wa kula 🤣Wanaogopa Sharia
Itume hapa tuiangalieWale waliodandia karibia wote wamekufa kijinga, nilikuwa naangalia clip moja wakati huu kuna maiti imebanwa na Landing gear inamevunjwa vunjwa na upepo wa huko 39000ft
Ndege alipeleka kwaajili ya mamluki wake... Hao waliopanda bahati mbaya kwasababu za umasikini ndio wanakuja kubwagwa Uganda
Itume hapa
Ngoja nione kama nitaipata tena.
Itume hapa tuiangalie
if u have studied a lot about Refugees and Asylum seekers u couldn't say that...Basi uganda wako na bahati sana kanda yetu, maana hata israel ya leo kama wasingekataa ungekuta wako uganda kwa sasa.
Hata matukio mengi yamewahi kutokea uwanja wa ndege wa entebe, na hata la sasa litawainua mno!
Ajabu kwangu hao waasi hawaoni aibu kukombiwa na wananchi wao?
Lakini pia ni jinsi gani africa isivyo na thamani mbele ya wenzetu, tunafanywa kama jalala!
Nimeona anatapatapa duuh
Yaani we ulitegemea zile sura wazipeke Washington?