Vp kugegedana nako sio addicted kwa watu wengi maana wapo wanao waza kugegedana wakiwa ofisini na kiasi cha kipato chao wana kielekeza hukoHivi hili nalo linahitaji Kubisha kuwa tokea ujio wa ' Betting ' hapa nchini hata ' Ufanisi ' katika Maofisi mengi umepungua kwakuwa asilimia kubwa ya Wafanyakazi akili zao wameziweka katika kuwaza au kwenda ' Kubeti ' huku wengine hadi wakifikia hatua hadi ya Kudanganya Ofisini Kwao kuwa ' wanaumwa ' ili asiende Kazini na aende ' Kukesha ' katika Vibanda vya Kubeti? Utakuwa ni ' Mpumbavu ' wa Kimataifa.
Kumbe unazungumzia waajiriwa!!!?? Wengine ndo waajiri wenyewe (tumejiajiri)Ofisi ngapi za Siku hizi zinaruhusu Wafanyakazi wake kuwa ' online ' muda wote? Kumbuka kuna Ofisi zingine sasa hivi zimeweka Sheria kwamba zikimfuma tu Mfanyakazi wake ' anabeti ' hasa muda ule wa Kazi basi na Ajira yake nayo ndiyo itakomea / itaishia hapo hapo. Acha ubishi / bambi Watu wengi hasa Wafanyakazi huwa wanakuwa huru ' Kubeti ' wakiwa nje ya maeneo yao ya Kazini japo kuna wale ' Watukutu ' fulani ambao wanaweza hata ' Kubeti ' mbele ya ' Bosi ' wake.
Tanzania inajiendesha kwa kodi za kubet 18% inachukua kwa mshindi mfano jamaa aliyekula m90 unajua serikali imekwapua sh ngapi?Kuna nchi yoyote ile Kubwa duniani imeendelea kwa Kodi za Kubeti? Kuna Watu huwa mnanilazimisha niwe ' nawadharau ' kila Uchao hapa Jamvini / Jukwaani. Jifunze Kujenga Hoja tafadhali.
Binafsi naona hili la ' Betting ' hasa hapa Tanzania .
Ndo mimi nashangaa, nimeona hadi madaktari wanabeti sasa utasemaje watu hawafanyi kazi
Umeshapata cheti cha uganga?Hii ikitokea hapa Tanzania wananchi wataandamana na Zitto atawaunga mkono huku akiishambulia serikali kuwa haijali wananchi wake wababaishaji wa ku-bet kila kukicha ili tu apate kiki.
Ikiondoka Biko watu watafanya kazi, maana sasahivi watu hawafanyi kazi kila siku kutegemea bahati nasibu ya Biko
Kwenda zako, mlipiga marufuku watu kucheza pool table na kunywa pombe asbh what did you achieve? Vitu vingine ujinga tu mnafanya
kwa hili nakubaliana na mhe. Museveni , taifa haliwezi kujengwa na vijana wasiojibiidisha kufanya kazi na kutegemea kamari na michezo ya bahati nasibu kama ajira.
Serikali ya Tanzania inabidi ichukue hatua haraka kuwatoa vijana katika addiction hii ya kamari, ipige marufuku kabisa vijana kujihusisha na kamari.
Kama haitawezekana , serikali kupitia ofisi za wakuu wa wilaya iandae utaratibu wa kutengeneza vitambulisho kuwasajili vijana wanaotaka kucheza kamari au bahati nasibu na kijana atakayesajiliwa awe na kazi nyingine kama sifa ya kupewa kibali cha kucheza.
Njia nyingine kama suluhisho , kamari na bahati nasibu zote zichezwe kupitia huduma za simu kama tatu mzuka na biko. Hii itasaidia kuona flow ya pesa ambayo kijana anaitumia kwenye kamari na hivyo serikali kupitia TCRA kudhibiti pesa hiyo. serikali iweke sheria kuwa kwa wiki mtu yeyote anatakiwa kutumia 1000/ au 2000/ tu kwa michezo ya kubahatisha na si zaidi ya hapo.
Kubeti ni kucheza kamari, watanzania tumeingia mtegoni na kamari. Vijana siku hizi hawafanyi kazi wamekalia kucheza kamari tu, sio vijana hata watu wazima wasiojitambua wako busy na mikeka kweli waafrika tunapaswa tutawaliwe tena ili tupate maendeleo!
HAPA TANZANIA WAFUTE BIKO, TATU MZUKA, VIBANDA VYA KUBET. WAACHE KUBET MTANDAONIHatimaye Rais wa Uganda Mwanamume ' Mwamba wa Mbarara ' au ' Mwamba wa Kinyankole ' Yoweri Kaguta Museveni amefuta rasmi na kuzuia kabisa michezo yote ya Kubahatisha ( Betting ) nchini humo kwa kusema kwamba imesababisha Waganda wengi wawe Wavivu na Kuirudisha nchi nyuma Kimaendeleo kwakuwa hawajitumi katika Kuwajibika na Kuijenga nchi hiyo.
Haya na wale Marais ' Watoto ' wengine igeni hili upesi ili nchi zetu nazo zipige hatua haraka.
Nawasilisha.
GENTAMYCINE Mbona unatumia nguvu kubwa unapojibu maoni ya wadau kwenye uzi wako? Jitahidi kuwavumilia, usitumie lugha kali kuwakosoa, ndiyo maoni yao ati. Binafsi sijawahi kuingia chumba chochote cha kubeti.
Kubet kumeharibu akili za watu wengi kazi hawafanyi wanashinda kwenye mashine kubet tu
GENTAMYCINE Mbona unatumia nguvu kubwa unapojibu maoni ya wadau kwenye uzi wako? Jitahidi kuwavumilia, usitumie lugha kali kuwakosoa, ndiyo maoni yao ati. Binafsi sijawahi kuingia chumba chochote cha kubeti.
ww fara sijui unajiona una IQ gani yaan unashangaza sanUjengaji wako wa ' Hoja ' ni wa ' Kitoto ' sana hivyo siwezi Kuishughulisha ' IQ ' yangu ama Kukuelekeza au Kujibizana nawe.