TheDreamer Thebeliever
JF-Expert Member
- Feb 26, 2018
- 2,490
- 3,584
- Thread starter
-
- #181
viwanda ni mipango ya muda mrefu havioti kama uyoga ,hao kila Mo Dewji tunaowategemea kuanzisha viwanda vikubwa wamekuwa hawazalishi bidhaa badala yake wanafanya udalali tu.Great thinker? Unajibu kirahisi kabisa. Duuh Nchi yangu
Nani atapoteza muda kumkumbuka dikteta mshamba na muuwaji,,Kutoka Tanganyika, JMT hadi MIKURUPUKO state.
Tusubirie zile sukari kutoka Brazil zilizoisha muda(expire) wake zikafanyiwa PACKAGE zikiwa na made in UGANDA zikiwa SOKONI. Tanzania kweli failed state, kweli tunashindwa kujenga hata kiwanda cha SUKARI?
Alisema tutamkumbuka kwa kweli tutamkumbuka
Hivu mnajua na kufuatilia uhaba wa sukari nchini??? Au Ni lawama tu??Huyu mama ni mkurupukaji sana, sijui hana washauri au hao washauri ndo wanamuingiza chaka, mweeeeeh
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Hivyo viwanda vya sukari hapa nchini vimeshindwa kutupatia unafuu, wanataka 'monopoly' tu na kutuongezea bei kila siku... wacha Uganda na nchi zingine watuletee, kiburi chako kipungue, na labda bei iwe nzuri kwa wananchi tumechoshwa na ubabaishaji.Yaani mnataka kuua viwanda vya sukari vya ndani! kagera sugar na kilombero wana uwezo wa ku-saturate soko la sukari ingawaje kuna kipindi unaweza kutokea upungufu. Hivi viwanda vya sukari na mashamba ya miwa vimetoa ajira lukuki kwenye viwanda vyenyewe na wakulima wanaouza miwa. Utaratibu tunaokwenda nao ni kwamba ili kulinda viwanda vya ndani na ajira, serikali iwe inatoa vibali kuagiza bidhaa zinazozalishwa na kutumika kwa wingi nchini kama sukari endapo tu kutakuwa na upungufu.....chode chonde tusifanye nchi yetu gulio kwa kila kinachozalishwa huko nje, tutaua ajira za vijana wetu.
Yaani mnataka kuua viwanda vya sukari vya ndani! kagera sugar na kilombero wana uwezo wa ku-saturate soko la sukari ingawaje kuna kipindi unaweza kutokea upungufu. Hivi viwanda vya sukari na mashamba ya miwa vimetoa ajira lukuki kwenye viwanda vyenyewe na wakulima wanaouza miwa. Utaratibu tunaokwenda nao ni kwamba ili kulinda viwanda vya ndani na ajira, serikali iwe inatoa vibali kuagiza bidhaa zinazozalishwa na kutumika kwa wingi nchini kama sukari endapo tu kutakuwa na upungufu.....chode chonde tusifanye nchi yetu gulio kwa kila kinachozalishwa huko nje, tutaua ajira za vijana wetu.
Habari wadau!
Sasa kilio cha upungufu wa sukari kitapungua maana mama amefungua milango na kuamuru sukari iingie nchini.
Mubashara toka Kololo Uganda kupitia TBC 1 kwenye uapisho wa Rais Museveni .Rais wa Uganda Yoweri Kaguta Museven leo katika hotuba yake amemshukuru Rais wa JMT mheshimiwa Samia Suluhu Hassani kwa kumruhusu kuuza sukari nchini Tanzania.
Asante mama tuna imani na wewe endelea kufungua milango yote iliyofungwa ili kazi iendelee.
Mitano tena kwa mama🙏🙏🙏
Acha ujinga wewe utopoloHuyu mama ni mkurupukaji sana, sijui hana washauri au hao washauri ndo wanamuingiza chaka, mweeeeeh
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Kuna usanii ulikuwa unafanywa na mmoja wa mawaziri wa viwanda, akiita cherehani ni kiwanda, mtambo wa kufyatua tofali ni kiwanda.Katika vile viwanda 3000 na ushee hakuna vya sukari?
Njaa inawatesa wadau hawa remember kila mtu ana hofu na hatima ya maisha yake kwenye kupata mkate wa siku, hivyo hakuna jinsi.Kwenye kuchambua hizo siku 100 sasa,waandishi wetu wa habari. Karibia kila media itakuwa ni kusifia tu kwamba kafanya mazuri,kajitahidi. Kutakuwa hamna hata mmoja kuweka fact ubaoni
Ok, uhitaji wetu ni kiasi gani?, Tunapungukiwa na kiasi gani?, Waganda wataingiza kiasi gani?....umakini ukikisekana viwanda vyetu vyaweza kufungwa.Viwanda Vyetu Vyote vya Ndani so far Kiwango chao cha Juu cha Uzalishaji hakikidhi soko/Mahitaji yetu ya Ndani.
Ndio maana tangu soko lilivyoyumbishwa kipindi fulani Bei imebaki juu hadi leo.
Hivyo haikwepeki kwa Sasa kuagiza Sukari nje huku tukiwa tunaboresha viwanda vya Ndani ili viongeze uzalishaji kulingana na mahitaji yetu.
Ni Bora Kuagiza Sukari Kutoka Uganda kwa Majirani zetu EA kuliko ilivyo sasa ambapo Sukari inayoingizwa kutoka nchi za Nje inatoka Brazil na Nchi nyingine za Asia.
Acha upoyoyo.Hili Taifa linageuzwa soko badala la kiwanda.
Kila anakoenda Mama badala ya kuwela wawekezaji yeye analeta wachuuzi.
Unaweza ukawa umepiga ndefu na hadi saa hizi hujui hatima yako juu ya maisha yako.Nani atapoteza muda kumkumbuka dikteta mshamba na muuwaji,,
Utamkumbuka wewe na bibi zako
Dikteta lishaozeana ukoUnaweza ukawa umepiga ndefu na hadi saa hizi hujui hatima yako juu ya maisha yako.
Ikitoka Brazil wee unaona ni sawa?Huyu mama ni mkurupukaji sana, sijui hana washauri au hao washauri ndo wanamuingiza chaka, mweeeeeh
Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
Sukari ni kama simenti wenye viwanda wanataka faida ndefu sana ili hela yao irudi kwa haraka nadhani utakumbuka Dangote alivyopigwa vita na mpaka sasa bei ya siment naona ni sawa na viwanda vingine.Kama sukari ya kutosha ipo ni nani ataangaika na sukari toka nje? Ila pamekuwepo na ujanjaujanja wa kurebag sukari, sukari inatengenezwa Brazil lkn mifuko imeandikwa kiwanda cha hapa nchini na wanaofanya hivyo ni wale waliopewa vibali vya kuingiza sukari nchini ili kukidhi mahitaji wakati mwingine unakuta ni haohao wenye viwanda nchini, ila mwenda zake alikuwa amekomesha ujinga huo.Hao akina Bagamoyo Sugar Ltd kama walianzisha viwanda kisa tu wamehakikishiwa soko lipo kisa sukari ya nje imezuiwa basi wajiandae kisaikolojia.
Juni hii kiwanda kinatarajia kuanza uzalishaji halafu bimkubwa kapiga fungulia mbwa!
BTW:Bakhresa ana uzoefu na ushindani wa kibiashara naamini haitakuwa issue sana kupenya sokoni.
Sukari ilikuwa inatoka Uganda kwa magendo inauzwa shilingi 2500/= lakini ya Kagera inauzwa 2800/= naamini uhitaji wetu ni mkubwa na uzalishaji ni mdogo sana...bora Waganda watuletee sukari na tupate unafuu wa maisha...pia watu wanapinga importation ya sukari kutoka Uganda lakin wanasahau Uganda pia ananunua vyakula kwa kiwango kikubwa kutoka kwetu...Ok, uhitaji wetu ni kiasi gani?, Tunapungukiwa na kiasi gani?, Waganda wataingiza kiasi gani?....umakini ukikisekana viwanda vyetu vyaweza kufungwa.
Kwahiyo.....!!Museveni asema Rais Samia ameruhusu Sukari ya Uganda kuuzwa Tanzania. Amesema mida hii kwenye hotuba yake. Source TBC LIVE
Lini ulikosa sukari au uko mkoa gani ambako hakuna sukari Hadi tuanza kuagiza toka jirani?Sasa kama uzalishaji wa ndani haukidhi mahitaji tutafanyaje? Tuendelee kunywa chai bila sukari?
Wawaruhusu na wazanzibar watuuzie sukari maana kiwanda chao kinazalisha Tani elf 3 wanataka kutuuzia Tani elf 18.Sukari itatoka Brazil, Asia, itapita Mombasa au Dar es salaam port itaenda Uganda itakunja kona kurudi kuuzwa TZ.