UGANDA: Waziri wa Kazi apigwa Risasi na Mlinzi wake

UGANDA: Waziri wa Kazi apigwa Risasi na Mlinzi wake

Hapo Uganda viongozi kupigwa risasi sio jambo la kawaida maana walishalianzisha. Sisi bongo tangu Mwamwindi amuue RC wa Iringa miaka ya 70 hakuna kiongozi aliwahi kuuwawa. Badala yake Ditopile aliua mchana kweupe pe na akashinda kesi
 
Mlinzi huyo wakati anamtandika risasi waziri alikuwa analalamika hajalipwa Mshahara wake muda mrefu licha ya kumlinda waziri kila uchao. Alipomuua akakimbilia salon na kuwaambia waliokuwemo watoke na yeye akajipiga risasi.
 
Waziri wa Nchi, Kazi, Ajira na Mahusiano ya Viwanda, Kanali Mstaafu Charles Okello Engola ameuawa kwa kupigwa risasi asubuhi ya Mei 2, 2023 na mlinzi wake akiwa nyumbani kwake Kyanja, Kampala

View attachment 2607030

Mlinzi huyo baadaye alifyatua risasi kadhaa hewani kabla ya kujiua

Sababu ya mauaji hayo bado haijafahamika

===

The Minister of State for Labour, Employment and Industrial Relations, Col (rtd) Charles Okello Engola has been shot dead by his bodyguard attached to Uganda People’s Defence Forces (UPDF).

The Minister, 64 was shot while at his home in Kayanja, a Kampala suburb.

The guard later fired shots in the air before taking his own life in a nearby salon.

The motive behind the murder remains unclear.

Source: Daily Monitor

---
View attachment 2607036
acha kukurupuka chanzo kimeelezwa ni kwamba mlinzi hajalipwa mshahara kwa muda mrefu. hawa viongozi ni wakatili sana, yeye anakula maisha mwenzako hata ule mshahara wake mdogo halipwi. Amevuna alichopanda na iwe fundisho kwa wenye tabia km hizo.
 
Hapo Uganda viongozi kupigwa risasi sio jambo la kawaida maana walishalianzisha. Sisi bongo tangu Mwamwindi amuue RC wa Iringa miaka ya 70 hakuna kiongozi aliwahi kuuwawa. Badala yake Ditopile aliua mchana kweupe pe na akashinda kesi
Siyo vzr kuwauwa viongoz lkn siyo afya kbsa nch itayumbaa sna na kukimbiwa na waekezaji
 
Waziri wa Nchi, Kazi, Ajira na Mahusiano ya Viwanda, Kanali Mstaafu Charles Okello Engola ameuawa kwa kupigwa risasi asubuhi ya Mei 2, 2023 na mlinzi wake akiwa nyumbani kwake Kyanja, Kampala

View attachment 2607030

Mlinzi huyo baadaye alifyatua risasi kadhaa hewani kabla ya kujiua

Sababu ya mauaji hayo bado haijafahamika

===

The Minister of State for Labour, Employment and Industrial Relations, Col (rtd) Charles Okello Engola has been shot dead by his bodyguard attached to Uganda People’s Defence Forces (UPDF).

The Minister, 64 was shot while at his home in Kayanja, a Kampala suburb.

The guard later fired shots in the air before taking his own life in a nearby salon.

The motive behind the murder remains unclear.

Source: Daily Monitor

---
View attachment 2607036
Inasemekana alimcheleweshea mshahara wake kumlipa kwa wakt jmn jmn
 
huyo ni waziri wa ajira then aliemuajiri hamlipi viongozi wa afrika tabu tupu
 
Back
Top Bottom