T14 Armata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 12,362
- 41,886
Uganda wanasiasa waliostaafu jeshi kule wengi, ni kama ilivyo Pakistan. Ubishi na kulazimisha mambo huwa ni kawaida, ubabe na ugomvi especially nchi zao zinavyoendeshwa kijeshi. Kama bongo ambavyo wana CCM ndio hawaguswi na wana uhuru wa kusumbua na hizo nchi retired military men ndio walivyoNa jiliman lutihinda?, kanal endrew shija?