T14 Armata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 12,362
- 41,886
[emoji23] halafu ampige nani?Hivi hku bongo hatuwez pata walinzi wa hivo?
Hivi kumbe wewe ni mpuuzi kiasi hiki?, mie nilifikiri kushangilia kwako kwa kifo cha jpm ni bahati mbaya!, kumbe ni tabia yako kushangilia mauaji?,Aiseee hongera kwa Mlinzi
Na jiliman lutihinda?, kanal endrew shija?Hapo Uganda viongozi kupigwa risasi sio jambo la kawaida maana walishalianzisha. Sisi bongo tangu Mwamwindi amuue RC wa Iringa miaka ya 70 hakuna kiongozi aliwahi kuuwawa. Badala yake Ditopile aliua mchana kweupe pe na akashinda kesi
Wahuni lazima wauawe.Hivi kumbe wewe ni mpuuzi kiasi hiki?, mie nilifikiri kushangilia kwako kwa kifo cha jpm ni bahati mbaya!, kumbe ni tabia yako kushangilia mauaji?,
Pengine alikuwa anamfanyia kazi za kando za siri kwa makubalino yao ila mh. Akakiuka terms za kulipana.Askari wa UPDF alipwe na waziri badala na jeshi au serikali, au ni kama wale walinzi wa SUMA JKT ambao ni tofauti mfumo wao wa uaskari .
Isije ikawa alikuwa anachapiwa pia [emoji1]Inasemekana mlinzi alisikika akisema hajalipwa mshahara wake muda mrefu. Huenda pamoja na sababu zingine, hiyo ndo sababu kuu (The authorities wont state this).
acha kukurupuka chanzo kimeelezwa ni kwamba mlinzi hajalipwa mshahara kwa muda mrefu. hawa viongozi ni wakatili sana, yeye anakula maisha mwenzako hata ule mshahara wake mdogo halipwi. Amevuna alichopanda na iwe fundisho kwa wenye tabia km hizo.Waziri wa Nchi, Kazi, Ajira na Mahusiano ya Viwanda, Kanali Mstaafu Charles Okello Engola ameuawa kwa kupigwa risasi asubuhi ya Mei 2, 2023 na mlinzi wake akiwa nyumbani kwake Kyanja, Kampala
View attachment 2607030
Mlinzi huyo baadaye alifyatua risasi kadhaa hewani kabla ya kujiua
Sababu ya mauaji hayo bado haijafahamika
===
The Minister of State for Labour, Employment and Industrial Relations, Col (rtd) Charles Okello Engola has been shot dead by his bodyguard attached to Uganda People’s Defence Forces (UPDF).
The Minister, 64 was shot while at his home in Kayanja, a Kampala suburb.
The guard later fired shots in the air before taking his own life in a nearby salon.
The motive behind the murder remains unclear.
Source: Daily Monitor
---
View attachment 2607036
Amekufa kiumeAiseee hongera kwa Mlinzi
Siyo vzr kuwauwa viongoz lkn siyo afya kbsa nch itayumbaa sna na kukimbiwa na waekezajiHapo Uganda viongozi kupigwa risasi sio jambo la kawaida maana walishalianzisha. Sisi bongo tangu Mwamwindi amuue RC wa Iringa miaka ya 70 hakuna kiongozi aliwahi kuuwawa. Badala yake Ditopile aliua mchana kweupe pe na akashinda kesi
Himars Ni mpumbavu aliye tukukaHivi kumbe wewe ni mpuuzi kiasi hiki?, mie nilifikiri kushangilia kwako kwa kifo cha jpm ni bahati mbaya!, kumbe ni tabia yako kushangilia mauaji?,
Inasemekana alimcheleweshea mshahara wake kumlipa kwa wakt jmn jmnWaziri wa Nchi, Kazi, Ajira na Mahusiano ya Viwanda, Kanali Mstaafu Charles Okello Engola ameuawa kwa kupigwa risasi asubuhi ya Mei 2, 2023 na mlinzi wake akiwa nyumbani kwake Kyanja, Kampala
View attachment 2607030
Mlinzi huyo baadaye alifyatua risasi kadhaa hewani kabla ya kujiua
Sababu ya mauaji hayo bado haijafahamika
===
The Minister of State for Labour, Employment and Industrial Relations, Col (rtd) Charles Okello Engola has been shot dead by his bodyguard attached to Uganda People’s Defence Forces (UPDF).
The Minister, 64 was shot while at his home in Kayanja, a Kampala suburb.
The guard later fired shots in the air before taking his own life in a nearby salon.
The motive behind the murder remains unclear.
Source: Daily Monitor
---
View attachment 2607036