T14 Armata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 12,362
- 41,886
Uganda wanasiasa waliostaafu jeshi kule wengi, ni kama ilivyo Pakistan. Ubishi na kulazimisha mambo huwa ni kawaida, ubabe na ugomvi especially nchi zao zinavyoendeshwa kijeshi. Kama bongo ambavyo wana CCM ndio hawaguswi na wana uhuru wa kusumbua na hizo nchi retired military men ndio walivyoNa jiliman lutihinda?, kanal endrew shija?
DuuuuhBigup kwa afande
Viongozi wazinguaji kama kina Nape, Mwigulu etc
Gilman Rutihinda gavana wa BOT hakupigwa risasi. Ni ugonjwa ndio ulikatisha maisha yake.Na jiliman lutihinda?, kanal endrew shija?
Ni kama yule aliyemuua pm japanMlinzi alikuwa na msongo wa mawazo (mental health) wa muda mrefuu
Aaah wapiWatakua washachapiana,ugomvi mkubwa kwa wanaume ni pesa na wanawake
Yeah ni kweli kaahidiwa watoto wake na wazazi na ndugu zake wa damu wataishi vizuri. Kajitoa kafaraAmeahidiwa familia yake itaishi vizuri
Ila si alishafariki? Je, alifariki kwa kuuawa?Hapo Uganda viongozi kupigwa risasi sio jambo la kawaida maana walishalianzisha. Sisi bongo tangu Mwamwindi amuue RC wa Iringa miaka ya 70 hakuna kiongozi aliwahi kuuwawa. Badala yake Ditopile aliua mchana kweupe pe na akashinda kesi
Wewe ni shetani?Rest In Peace wazuri na mlinzi wake [emoji19] jamani!
Shoga hilo. Ku. Ndoo lakeHivi kumbe wewe ni mpuuzi kiasi hiki?, mie nilifikiri kushangilia kwako kwa kifo cha jpm ni bahati mbaya!, kumbe ni tabia yako kushangilia mauaji?,
Wewe ni m@tuckle? Umeandika vitu gani?Siyo vzr kuwauwa viongoz lkn siyo afya kbsa nch itayumbaa sna na kukimbiwa na waekezaji
Marehemu Dito kesi yake hakushinda ila alifariki wakati kesi haija anza kusikilizwa.Hapo Uganda viongozi kupigwa risasi sio jambo la kawaida maana walishalianzisha. Sisi bongo tangu Mwamwindi amuue RC wa Iringa miaka ya 70 hakuna kiongozi aliwahi kuuwawa. Badala yake Ditopile aliua mchana kweupe pe na akashinda kesi
Hapo Uganda viongozi kupigwa risasi sio jambo la kawaida maana walishalianzisha. Sisi bongo tangu Mwamwindi amuue RC wa Iringa miaka ya 70 hakuna kiongozi aliwahi kuuwawa. Badala yake Ditopile aliua mchana kweupe pe na akashinda kesi
acha kukurupuka chanzo kimeelezwa ni kwamba mlinzi hajalipwa mshahara kwa muda mrefu. hawa viongozi ni wakatili sana, yeye anakula maisha mwenzako hata ule mshahara wake mdogo halipwi. Amevuna alichopanda na iwe fundisho kwa wenye tabia km hizo.
Aliyeuwawa sio Rutihinda Governor wa Benki kuu.Na jiliman lutihinda?, kanal endrew shija?