Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Wanafahamu kila kitu, ila tamaa zao binafsi na ulafi unawatia kiburi na upofu.
Ndyo haya tunayopigia kelele kila siku, mwisho wa siku deni ni la Taifa Wala sio la CCMNa watasaini mkataba na kuuza bagamoyo
Tatizo ni hela kuna binadamu wanatamaa sana
Hapo wakiwekewa hela kwenye acc wanasaini tu wala hawajali na wanajua hatuwafanyi kitu
Hivi deni la bomba la gesi limefika kisi gani pamoja na riba yake? Kwa sababu nalo tumepewa na EXIM hao hao wanaokomaa kuchukua Uwanja wa ndege wa Entebbe na wamekomaa kuendesha SGR ya Kenya hadi watakaporejesha hela yao.Wakuu, wahenga walisema " mwenzio akinyolewa, zako tia maji' hawakukosea!!
Kumekuwa na malalamiko mengi mno kutoka kwa wadau wenye mapenzi mema na nchi yetu pendwa Tanzania( Nikiwemo Mimi mshale21 ), juu ya mikopo na kupanda kwa Kasi kwa deni la Taifa, huku kukiwa na viuluzo vingi namna ambavyo fedha hizo zinatumiwa katika kutekeleza miradi mbalimbali, matokeo yake, waziri Mwigulu simple tu antoka hadharan anadai tuangalie miradi inayoendelea nchini!!
Tunaporaise doughts juu ya ukuaji wa deni la Taifa hatukurupuk, tunapoonesha kutia mashaka kwenye mikopo tunayoipata kimataifa hatukurupuk, pamoja na kwamba mikopo inakuja na mashart yake na kwamba ni masharti magum au laah, ikumbukwe deni la Taifa linapanda daily, na ni muhim kuonyesha umakini mkubwa katika suala hili!
Bila shaka Rais Samia na Rais wa muda wote wa uganda , Rais Museveni ni marafiki sana, na wanashirikiana sana, na wanapongezana sana , sasa Uganda uwanja wa ndege mchina kapita nao kwa kushindwa kulipa deni, huku kwetu deni linakua kwa Kasi sana!
Kwa kuwa tumeona exactly madhara ya kushindwa kulipa deni kwa kujifunza kwa majirani zetu, ni muhimu Rais Samia aongeze umakini sana kwenye maswala ya mikopo!
Deni la Taifa ni kubwa , Bado mnang'ang'ana mikopo na miradi inayozidi uwezo wa uchumi tulio nao, hii ni hatari sana, na kwa mfumo huu ipo siku tutasikia mbuga Fulani au ziwa au mgodi fulan sio Mali ya Tanzania!!
Punguzen matumiz yasiyo ya lazima
Ndyo haya tunayopigia kelele kila siku, mwisho wa siku deni ni la Taifa Wala sio la CCM
Bandari ya Bagamoyo sio mkopo ni tri Gvt financing kuna Oman TZ na China.
Bado majadiliano yatafanyika .
Hii Bandari ni 4th generation port na megaships zitakuwa zinatumia bandari ya Dar itakuwa inatumiwa na meli za kawaida.
Lamu na Beira ni bandari za kisasa tukibaki na Dar port tutaachwa nyuma sana.
Ujenzi wa Bagamoyo port uharakishwe baada ya kuweka win win situation.
Bagamoyo port project ni part ya mega project za kuiweka TZ juu kiuchumi kuna BSEZ Bagamoyo Special Economic Zones hundreds of Industries will built na kuna South Korea Institute of Science and Technology itakuwepo pia.
But bagamoyo port siyo loan,, ni investment
Kwa mawazo yako uganda haina tsh bilioni 500?,, Huo si sawa na utajiri wa Rostam aziz tu?, Kwa mawazo yako unataka kusema nchi kama uganda haina hiyo hela?
Bandari ya Bagamoyo sio mkopo ni tri Gvt financing kuna Oman TZ na China.
Bado majadiliano yatafanyika .
Hii Bandari ni 4th generation port na megaships zitakuwa zinatumia bandari ya Dar itakuwa inatumiwa na meli za kawaida.
Lamu na Beira ni bandari za kisasa tukibaki na Dar port tutaachwa nyuma sana.
Ujenzi wa Bagamoyo port uharakishwe baada ya kuweka win win situation.
Bagamoyo port project ni part ya mega project za kuiweka TZ juu kiuchumi kuna BSEZ Bagamoyo Special Economic Zones hundreds of Industries will built na kuna South Korea Institute of Science and Technology itakuwepo pia.
Endelea kulia
nililia siku moja,kwa sasa niko naangali unavyopigwa mwingi.
Wachina wanajenga infrastructure ya silk road duniani ile kurahisisha uuzaji wa bidhaa zao lengo ni pure business,, wala hawana haja ya kuwawekea masharti ya kisiasa kama nchi za magharibi wafanyavyoTanzania inatakiwa kulipa compasation ya hela itakayotumiwa na China kuchimba bandari ya bagamoyo.
We hujiulizi kwa nini China wanaitaka sana hiyo bandari kuliko sisi tunavyoitaka? Wachina wako tayari kuuwa kiongozi yoyote anayepinga bandari hiyo.
Sio kweli,, ilikua bonge la propaganda yaani,, ilivyoelezwa sivyo ilivyotokeaWaulize sri lanka kwanini wamepoteza bandari yao. je kwenye hiyo investiment wachina wanapata faida gani? Kwenye hizo dola bilioni 10 tukishindwa inamana china wameweka pesa zao bure kama vile wanatupenda sana na kutupatia trilion 21 for free
Kwa sri lanka mradi ulikataliwa kwa mara ya kwanza hadi mchina alipo badili mkataba.Wachina wanajenga infrastructure ya silk road duniani ile kurahisisha uuzaji wa bidhaa zao lengo ni pure business,, wala hawana haja ya kuwawekea masharti ya kisiasa kama nchi za magharibi wafanyavyo
Lengo lao ni pure business that is why huoni kelele za kupinga ujenzi wa bandari kama hiyo kwenye nchi ambazo raia wao wako educated kama kenya,,
Nchi za magharibi wanajua china wakimaliza kuweka miundo mbinu yao,, US as a super power ndo itakua bye bye. That is why kuna propaganda chafu sana kuhusu miundombinu ya china,
US wako tayari kufund watu ili waendeshe kampeni za kupinga uwekezaji wa china ama Russia duniani, na wanatumia hadi uongo mwingi sana,
Jaribu kuresearch suala la ile bandari ya sri lanka ili ujue uongo tuliodanganywa kabla haijasanuka,,
Hata bandari ya bagamoyo inapigwa vita sana, na kuna watu wakamfanya JPM aamini eti serikali itakopa dola bilioni 10 kujenga bandari ya bagamoyo kitu ambacho ulikua ni propaganda chafu
Eee Zamu kwa Zamu Tulieni dawa iwaingie
Halafu hiyo bank ya exim si ndo walasaini mkataba wa kujenga sgr kipindi cha kikweta halafu magu akaja kuupiga chiniUganda. Maafisa wakuu wa Uganda wamejikuta kwenye tafrani baada ya wakopeshaji nchini China kukataa ombi lao la kujadili tena mkopo wa Dola za Marekani 200 milioni uliochukuliwa miaka sita iliyopita ili kupanua Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Entebbe.
Baadhi ya masharti yasiyofaa katika mkataba wa mkopo huo ambao Uganda ilitia saini na Benki ya Export-Import (Exim) ya China Machi 31, 2015, ikiwa hayatarekebishwa, yanaweka wazi mali huru ya Uganda kwenye viambatisho na kuchukua tuzo baada ya usuluhishi huko Beijing.
Kesi dhidi ya mali ya Mamlaka ya Usafiri wa Anga ya Uganda (UCAA) na mkopeshaji hazitalindwa na kinga ya mtu binafsi kwani serikali ya Uganda, katika makubaliano ya 2015, iliondoa kinga hiyo kwa mali ya uwanja wa ndege
[emoji1312][emoji1312][emoji1312][emoji1312][emoji1312][emoji1312][emoji1312][emoji1312][emoji1312]
Mwambieni Bikubwa Bandari Bagamoyo ASITUINGIZE CHAKAView attachment 2024159
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] na kwenye Dowans au Escrow walikuwepoHalafu hiyo bank ya exim si ndo walasaini mkataba wa kujenga sgr kipindi cha kikweta halafu magu akaja kuupiga chini
Ndo huww mnadangsnywa hivyoBandari hiyo ni full package, inakuja na special economic zone, patakuwa na viwanda na pia maduka technology hub, etc
Wasipopata faidi ndani ya kipindi husika mtalazimka kuwa fidia investment cost zao au kama vip muongezea tena miaka 40. yaani mtu huna control naye anafsnya anavyotaka bila kumwingilia hakuna hata siku moja atasema amepata faidaBut bagamoyo port siyo loan,, ni investment
Uzuri Mama ni muelewa sana na anasikiliza ushauri wa wataalam hii bandari inahitajika haraka sana awamu ya 5 ilifanya makosa makubwa sana badala ya kurenegotiate masharti wakaleta siasa Mama yetu ataharakisha hii mega project itakayo tuweka TZ juu sanaWaulize sri lanka kwanini wamepoteza bandari yao. je kwenye hiyo investiment wachina wanapata faida gani? Kwenye hizo dola bilioni 10 tukishindwa inamana china wameweka pesa zao bure kama vile wanatupenda sana na kutupatia trilion 21 for free