Kama ipo ipo
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 1,119
- 1,728
Isipokuwa Mimi tu na familia yangu.Mwafrika ni nyani aliyechangamka,
Kwanza tunamfundisha adabu adui atuheshimu halafu tuna mdunda kisawasawa kisha tuna Mfurusha hadi aikimbie nchi yake hahahaahaTanzania hatuna tamaa lakini ukituletea tamaa tunakupiga mpaka ukimbie nchi yako
+Mimi mkuu na ukoo wangu wa pande mbiliIsipokuwa Mimi tu na familia yangu.
Africa Mashariki? 🤣 🤣 🤣 ... kama nchi mbili za hiyo Africa Mashariki ndio wadau wa uvamizi Congo, huku mwingine akifaidi yatokanayo, unabaki na nani?Hawa wasipothibitiwa watazidi kusonga kila mara. Sijui huu ujinga kwanini nchi za Afrika Mashariki zinawalea hawa wapuuzi.
Leo DRC kesho ni sisi, kama hamuoni huu upuuzi unaoendelea na kuushabikia watoto wenu wataona.
Intercastline region (Bahima&Banyamulenge region)Hapa DRC hawana makosa ni wanaonewa TU
Hi yote ni Nia ya kuanzishwa bahima Empire.
Stay tuned
HahahahaWAchaga watajitangaza ni nchi kamili, pwani itaungana na zenj ili sultan wa oman aje kuichukua pia. Tanzania itabaki mikoa ya kati kati humo
Watu wanapigania haki na usalama wao nyie bado mko na garbage za hima empire conspiracy, kaeni kimya tuu maana hamna idea na kinachoendelea CongoHapa DRC hawana makosa ni wanaonewa TU
Hi yote ni Nia ya kuanzishwa bahima Empire.
Stay tuned
Wabongo na njaa zenu na ujinga mnajipa umuhimu ambao hamna, vita sio bongofleva, namsifu sana President Samia kwa kukaa mbali na hii vitaHapa ndio huwa nathibitisha jinsi akili ya mtu mweusi ilivyo duni , poor Iq no tatizo kubwa aisee , sasa huyu msenge na yule fala mwenzake Kagame anawaza kuvamia na kujikatia kipande cha nchi nyingine
Hawaangalii uharibifu na majanga mengine yanayosababisha kwa raia ,mali na amani , huu mzigo wa wakimbizi unabebwa na Tanzania
Na nina shangaa kwanini Tanzania nchi inayoongozwa na vilaza inashindwa kutake active role na kuzuia huu upumbavu unaoendelea huko Congo ,ukiangalia mzigo mkubwa wa kuhudumia wakimbizi tunabebeshwa sisi ,halafu hawa machoko wa kihima wanavuna mali tu na kuharibu hiyo nchi
Jenerali Muhoozi Kainerugaba, ametoa angalizo la mwisho kwa vikosi vya jeshi UPDF huko Bunia, mji mkuu wa Jimbo la Ituri la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kuwa tayari kwa operesheni kabambe ya kuikabili AD