Ugomvi barabarani ni ushahidi Dar es Salaam watu wengi wenye magari wanastress au levo ya mapepo iko juu barabarani msimu huu

Ugomvi barabarani ni ushahidi Dar es Salaam watu wengi wenye magari wanastress au levo ya mapepo iko juu barabarani msimu huu

matunduizi

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2018
Posts
7,968
Reaction score
19,368
Leo tu nimeshuhudia ugomvi usiolazima zaidi ya mara tano. Hapa Jamaa ni wakali, hawataki suluhu nq hawaelewi.

Bajaji, bodaboda, daladala na wenye magari madogomadogo ya kijapani wanaongoza.

Hapa jamaa kaguswa kidogo tu kifaa chenye thamani ya sh 3000, anapewa 4,000 hataki anataka ngumi tu.

Bodaboda wawili wamepisha kidogo tu lakini hawajaumizana, wamepigana vibaya sana.

Kwa utafiti wangu nimegundua watu wengi kama sio mapepo yanawasumbua basi kuna level ya stress kubwa sana hapa jijini hasa ukiangalia wengi tunaishi kwa kulazimisha (kufosi) maisha.

Tuwe watu wa sala, tuwakumbuke sana ndugu zetu wa jiji la dar es salaam hasa wanaomiliki vyombo vya moto. Ni wakali sana na kila mtu amekaa tayari kwa mapambano.
 
Aisee kuna siku nimepanda daladala la tabata kinyerezi kwenda town.

Nikageuza na gari nikapata siti, dirishani alikaa mdada ana mimba mdada alikuwa na kisirani huyo sio powa me huku naegemewa bega na yeye nikimuegemea kutokana na mwendo wa gari na ule mbanano (wapanda daladala watanielewa).

Yeye akawa ananisukuma ile kishari shari kabisa nikamvumilia kama mara 4 hivi nikaona huyu mjinga na mimba yake anataka kunipanda kichwani nilimwashia moto(maneno makalil) mpaka akaanza kulia anampigia bwana wake.

Nyie sio powa sema nyie jamaa watia mimba muwe mnawapa mademu zenu pesa za uba mimba zitakuja kushuka kwenye madaladala.
 
Bado kwenye daladala na mwendokasi , wanawake ukiwagusa inakuwa ugomvi.
Tandale gari za mawasilano masaki kwa bahati mbaya sana nikamkanyaga dada fulani kwenye mguu aisee alinisema yule dada😂 Hadi tunakaribia kinondoni bado hajamalizana na Mimi

Nilikasirika nikachoka ikabidi nitafute namna ya kumuongelesha. Nikampa elfu mbili mambo yakaisha
 
Tandale gari za mawasilano masaki kwa bahati mbaya sana nikamkanyaga dada fulani kwenye mguu aisee alinisema yule dada😂 Hadi tunakaribia kinondoni bado hajamalizana na Mimi

Nilikasirika nikachoka ikabidi nitafute namna ya kumuongelesha. Nikampa elfu mbili mambo yakaisha

😀 😀
 
Leo tu nimeshuhudia ugomvi usiolazima zaidi ya mara tano. Hapa Jamaa ni wakali, hawataki suluhu nq hawaelewi.

Bajaji, bodaboda, daladala na wenye magari madogomadogo ya kijapani wanaongoza.

Hapa jamaa kaguswa kidogo tu kifaa chenye thamani ya sh 3000, anapewa 4,000 hataki anataka ngumi tu.

Bodaboda wawili wamepisha kidogo tu lakini hawajaumizana, wamepigana vibaya sana.

Kwa utafiti wangu nimegundua watu wengi kama sio mapepo yanawasumbua basi kuna level ya stress kubwa sana hapa jijini hasa ukiangalia wengi tunaishi kwa kulazimisha (kufosi) maisha.

Tuwe watu wa sala, tuwakumbuke sana ndugu zetu wa jiji la dar es salaam hasa wanaomiliki vyombo vya moto. Ni wakali sana na kila mtu amekaa tayari kwa mapambano.
Hali ya hewa imebadilika kutoka msimu wa baridi kuingia msimu wa joto, watu temprecha (temperature) ziko juu.
 
Sio hasira bali hakuna nidhamu katika uendeshaji wa vifaa vya moto
Wengi ni washamba waliovamia jiji, mpaka wanaoongoza magari wengi ni washamba aidha hawakukariri sheria au ni uzwazwa tu mradi wamevaa uniforms
Angalia takwimu za magari yanavyouwa watu nchini ukiangalia ulaya vifo ni vichache sana kwa mwaka ila kwetu kila siku ni vifo
Sababu ni kutokufuata sheria
Sasa mpaka vichaa wamo barabarani, walevi, bangi, viroba, unga kila mmoja hayuko sawa
Na alie na akili nae anakuwa mwehu pia
 
Leo tu nimeshuhudia ugomvi usiolazima zaidi ya mara tano. Hapa Jamaa ni wakali, hawataki suluhu nq hawaelewi.

Bajaji, bodaboda, daladala na wenye magari madogomadogo ya kijapani wanaongoza.

Hapa jamaa kaguswa kidogo tu kifaa chenye thamani ya sh 3000, anapewa 4,000 hataki anataka ngumi tu.

Bodaboda wawili wamepisha kidogo tu lakini hawajaumizana, wamepigana vibaya sana.

Kwa utafiti wangu nimegundua watu wengi kama sio mapepo yanawasumbua basi kuna level ya stress kubwa sana hapa jijini hasa ukiangalia wengi tunaishi kwa kulazimisha (kufosi) maisha.

Tuwe watu wa sala, tuwakumbuke sana ndugu zetu wa jiji la dar es salaam hasa wanaomiliki vyombo vya moto. Ni wakali sana na kila mtu amekaa tayari kwa mapambano.
Mkisalimiana utasikia nipo napambana, mapambano yenyewe ndio hayo.
 
Stress ni kali mnoo Wakuu kuna siku nimepita mtaa wa Congo na Tandamti ule mtaa una pilikapilika sana sasa nilikuwa nimekunywa maji nikatia ile chupa empty kwenye dustbin kumbe lilikuwa la dada alikuwa anawekea vitu alivyokuwa anauza na Mimi sikujua aisee alinifuata kwa hasira akanishika bega kama anataka kupigana na mahasira juu maneno mengiii We kaka tuheshimiane tafadhali tena sana njoo utoe chupa lako na hapo nilikuwa nimeshapiga hatua nne akawa amenikimbilia kwa shari nyingi mnoo. Aisee nilijiuliza sana. Nikarudi mpaka kwenye lile dustbin nikatoa lile chupa huku bado ameumuka na hasira bado.
 
Ni kweli barabarani kuna mengi na ninashauri kama unamiliki chombo cha moto, usitembee na silaha ya namna yoyote hata kiwembe.

Mi leo mnginisikia kwenye vyombo vya habari kuwa kuna mtu kammalizia kumnyonga bodaboda au kumvunja viungo vyake baada ya bodaboda kumgonga kwenye gari lake.

Natoka kazini jioni hii nikiwa naendesha gari. Kuna kona kali na nikiwa upande wangu ninamuona bodaboda kwa mbali anakuja nyuma yangu tena kwa spidi ya hatari.

Mi kwa kuwa nipo kwenye site hangu, nikakata ile kona inayoenda kushoto, Hahahaha boda akaniovertake akiwa speed upande ule ule wa kushoto. Ghafla huyu hapa anataka kuingia kwenye buti La gari.

Mungu tu alinisaidia hajanigonga kwa nyuma. Leo kama angeniginga kwa speed ile, kama hajafa ningemmalizia na kama angekuwa amevunja miguu au mikono ningeimalizia. Alinikwaza sana kwani angenisababishia ajali bila sababu ya msingi.
 
Leo tu nimeshuhudia ugomvi usiolazima zaidi ya mara tano. Hapa Jamaa ni wakali, hawataki suluhu nq hawaelewi.

Bajaji, bodaboda, daladala na wenye magari madogomadogo ya kijapani wanaongoza.

Hapa jamaa kaguswa kidogo tu kifaa chenye thamani ya sh 3000, anapewa 4,000 hataki anataka ngumi tu.

Bodaboda wawili wamepisha kidogo tu lakini hawajaumizana, wamepigana vibaya sana.

Kwa utafiti wangu nimegundua watu wengi kama sio mapepo yanawasumbua basi kuna level ya stress kubwa sana hapa jijini hasa ukiangalia wengi tunaishi kwa kulazimisha (kufosi) maisha.

Tuwe watu wa sala, tuwakumbuke sana ndugu zetu wa jiji la dar es salaam hasa wanaomiliki vyombo vya moto. Ni wakali sana na kila mtu amekaa tayari kwa mapambano.
It is called road rage:

A motorist's uncontrolled anger that is usually triggered by an action of another motorist and that is expressed in aggressive or violent behavior (from Merriam-Webster)

Road rage is aggressive or angry behavior exhibited by motorists. These behaviors include rude and verbal insults, yelling, physical threats or dangerous driving methods targeted at other drivers, pedestrians or cyclists in an effort to intimidate or release frustration. Road rage can lead to altercations, damage to property, assaults, and collisions that result in serious physical injuries or even death. Strategies include (but are not limited to) cutting motorists off, inappropriate honking, using obscene gestures, flipping off another driver, swerving, tailgating, brake checking, and physical confrontation. (From Wikipedia)
 
Back
Top Bottom