Ugomvi barabarani ni ushahidi Dar es Salaam watu wengi wenye magari wanastress au levo ya mapepo iko juu barabarani msimu huu

Ugomvi barabarani ni ushahidi Dar es Salaam watu wengi wenye magari wanastress au levo ya mapepo iko juu barabarani msimu huu

Leo tu nimeshuhudia ugomvi usiolazima zaidi ya mara tano. Hapa Jamaa ni wakali, hawataki suluhu nq hawaelewi.

Bajaji, bodaboda, daladala na wenye magari madogomadogo ya kijapani wanaongoza.

Hapa jamaa kaguswa kidogo tu kifaa chenye thamani ya sh 3000, anapewa 4,000 hataki anataka ngumi tu.

Bodaboda wawili wamepisha kidogo tu lakini hawajaumizana, wamepigana vibaya sana.

Kwa utafiti wangu nimegundua watu wengi kama sio mapepo yanawasumbua basi kuna level ya stress kubwa sana hapa jijini hasa ukiangalia wengi tunaishi kwa kulazimisha (kufosi) maisha.

Tuwe watu wa sala, tuwakumbuke sana ndugu zetu wa jiji la dar es salaam hasa wanaomiliki vyombo vya moto. Ni wakali sana na kila mtu amekaa tayari kwa mapambano.
Watu wanatafuta mitaji kwa nguvu. Banks ziko barabarani eti. Au pengine ni kuchanganyikiwa na maisha.
 
Hizo tisa kumi ni pale unafika home bi kidawa naye alianzisha! 😀😀
Anataka umpige vitano vya nguvu,, hekaheka za dar zinamaliza nguvu za kiume wake zenu wawahurumie tu,

Mi siku hizi nikiona watu wamegongana nawapita km siwaoni, barabarani kuna stress za bei yote
 
Back
Top Bottom