Ugomvi wa Jirani na Mke/Mchepuko wake, Ulivyonigombanisha na Mke wangu

Mf angeenda. Akakutane na kisu kinarushwa, kimpate cha uso.

Angemlaumu nani?
Mke wake angebaki na majuto kwanini kamwambia aende.
Labda alitamani mme akafie pale abaki akichakatwa
 
Kaza zaidi ya sana Tena Anza Kumuonyesha ukoloni

Kwa akili zao zilivyo, Ataanza akumpa pole Kijana Jiran ,Kisha stamps Mbususu kijana anajilia kirahisiiiii Ivo Ivo yaan ivoivo.
 
Shida ni moja tu wanaume wa siku hizi hatuna vifua kabisa .. sisi kwetu ni miongoni mwa makatazo makubwa kutoa Siri za ndani, mpk wanangu wanasema baba mpole Sana kumbe Kuna muda nakiwasha na wife na watoto hawajui...moja ya watu walioharamishiwa pepo ni hawa wasioweza kutunza faragha hasa na mke na mume iwe kwa anonymous au vyovyote haifai...
 
Mind your own business bro shida wabongo wanataka kuishi kijamaa sana Wakati Dunia imebadirika kwa sasa, in short kama mambo hayakuhusu wewe moja kwa moja achana nayo na we fuata yako
 

Umeonesha tabia halisi za wana Daslam wengi, mtu anapigwa ngeta mbele yake anapita tuu.
 
Dah[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka mno[emoji23][emoji23]
Hataree baadae natoka ndani ....huku natembea upande upande kutokana na pain

Nawakuta wapo nje wanapiga stori.......walivoniona wakaanza kunicheka ......from there nliapa ata wakiuana fresh tu...bullshit
 
Ni kweli aisee, hapo mwanamke wako kwako amepigwa ndoinge. Wewe siyo kabisa kwa uliyofanya. Yani jirani zako wanauana wewe njemba umejilaza kitandani umeweka na pozi kabisa!
 
Wakuu kosa langu hapo ni lipi?
Unawezaje kuingilia ugomvi ambao hujui ulikotokea?
Naambiwa nina roho mbaya, kisa sikwenda na mimi dirishani kujaribu kuangalia kinachoendelea.
School mate wangu mwaka juzi nasikia alikufa kwa kuchomwa kisu, ulikua ugomvi kama huu akaenda kuamulia akaishia kuchomwa kisu Tena unaambiwa ni majirani wa muda mrefu tu
 
Na wewe Ungeenda kuamlia na kulala hukohuko asubuhi mwambia ulikuwa unamshauri mchepuko wa jamaa
 
Hataree baadae natoka ndani ....huku natembea upande upande kutokana na pain

Nawakuta wapo nje wanapiga stori.......walivoniona wakaanza kunicheka ......from there nliapa ata wakiuana fresh tu...bullshit
[emoji23][emoji23][emoji23]ulitembea kama umekata centerbolt[emoji23][emoji23][emoji119]

Kuna jamaa kwa ujinga wa kukimbilia ugomvi alitobolewa jicho.
 
mmekutana nyote akili mbovu
 
Wanaume wanazidi kupungua kabisa, yaani jamaa wengine wanataka jamaa ashindwe kusimama kama mwanaume katika nyumba yake aanze kurespond hovyo hovyo kwa emotions za mke wake.

Akienda nje akapata madhara, mke huyo huyo wa namna hiyo ndio atamgeuka na kusema kwani yeye alitokaje nje bila kufikiria kwanza. Tena akina xxx ndala ndefu utawasikia kwani Mimi nilimshika mkono nikamtoa nje si alitoka mwenyewe
 
Mwanaume hutakiwi kuendeshwa na emotions za mkeo, utatakiwa ufanye maamuzi logically. Mambo yakikuharibikia hata mke wako anakugeuka pia. Atatafuta weak point atakugeukia hapo hapo.
 
[emoji23][emoji23][emoji23]ulitembea kama umekata centerbolt[emoji23][emoji23][emoji119]

Kuna jamaa kwa ujinga wa kukimbilia ugomvi alitobolewa jicho.
Leo nmepata SoMo la maisha .coz hata Mimi nikiwa napigana ...then itokee nammudu mpinzani. Atakayekuja kuamua lazima nmpe kichapo heav....[emoji23][emoji23]
 
Leo nmepata SoMo la maisha .coz hata Mimi nikiwa napigana ...then itokee nammudu mpinzani. Atakayekuja kuamua lazima nmpe kichapo heav....[emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji119]
 
"Alitaka uwe mstari wa mbele kama wale mgambo wanaotangulizwa vitani ili wafe wa kwanza."

[emoji1787][emoji1787][emoji1787] daaah yaaani umeizungumza as if lengo la mgambo ni kufa wa kwanza
 
Mke wako ni mpumbavu tu na mbea. Alitaka uende ili ukapate taarifa rasmi. Hajui madhara ya wewe kwenda ingilia ugomvi wa watu usiowafahamu? Hajui unaweza uawa au jeruhiwa? Hajui unaweza patwa na dhahma hata kusingiziwa mauaji? Aache upumbavu. Leo kama ameendelea na hiyo tabia. Mtandike makofi mpaka alie asubiri kuja ona nani anakuja na kiherehere kuamulizia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…