Diva Beyonce
JF-Expert Member
- Mar 6, 2014
- 12,913
- 11,271
Nakaaya amejibu vizuri Sana katumia hekima kuficha ya nyumbani kwao,lakin mange asingeongea tusingejuaaa aiseee
Wenu katika umbea.........
Naona Linda anatumia fursa hapo
Huyo Gaidi CIA watamfata huku huku Tanzania.....Mtu mwenyewe Gaidi still wanatembea nae anahic atakuwa Mullah Omar aiseee wana roho ngumu sana hao wadada
Wenu katika umbea.........
Naona Linda anatumia fursa hapo
Chembe ya uhalisia si uhalisia hata kidogo. Ulitaka akae kimya hata kama ni ya uongo? Hujui kwamba uongo ukirudiwa mara nyingi watu wajinga wajinga huanza kuuamini? Mtu anayechafuliwa jina na sifa kwa makusudi si busara kwake kukaa kimya. Huyo blogger hajatoa ushahidi wowote ule. Kaandika tu. Kuandika tu si kutoa ushahidi.
Utofauti katika familia ni jambo la kawaida sana....kama alikuwa na nia nzuri yakuwapatanisha angewatafuta nakuwaeleza A,B,C lakini nahisi kuchafuana zaidi na lengo hasa ukiisoma ile post ni kuwatawanyisha kundi la Nancy
Hivi kuna yule aliyeandika kuwa Faraja katangaza kuwa klyn na Machache walifungishwa ndoa na mfanyakazi wa hotel mhhh mi nahisi ni mzushi wa kugombanisha. Ila watu wana mambo makubwa.
Hyo ndo mission yake....ila imeabbot.Nakaaya kaandika simple lakini kaeleweka,na hataki malumbano
Kwani hao kina Nancy ndo wa kwanza kuandikwa mitandaoni jamani. Naona ukiwa celebrity kubali kuandikwa kwa yote mazuri na mabovu.
Hyo ndo hasara ya kujulikana mastar wengi tu huandikwa mitandaoni vitu vyao hadi wanasiasa huandikwa negative zao. Sema tu yeye ndo aka publish ka blogger yoyote mi hiki kitu niliskia mda. Sema hao watu hawakupeleka kwa shingongo tu.
Nakaaya amejibu vizuri Sana katumia hekima kuficha ya nyumbani kwao,lakin mange asingeongea tusingejuaaa aiseee
Hyo ndo mission yake....ila imeabbot.Nakaaya kaandika simple lakini kaeleweka,na hataki malumbano
shosti simple,clear and good good
ila kamsuta kisomi sana...!!!
ndo aruhusu hadi comments za kina kyln kweli na ndoa yao?
Lakini damage tayari hapo kila mtu atamwangalia mwenzake kwa jicho la tatu . Watu wamejua A to Z.
Sanaaa....nmependa sana.Mpaka kajishtukia na alivyo hana aibu akamsifia.Nakaaya ameelimika na akili imetulia ktk swala hili.
A to Z hapana aliyejua ingawa katika hili jambo Nancy litamsumbua.Na lile kundi litakuja sarambatika....tulipe muda.
ngoja kesho mamaa evidences na mamavivid examples aje live na encycleopidia
watajuta nancy na nakaaya