Ugonjwa wa Figo wazidi kuwatesa vijana, Hospitali zapokea wanne hadi 9 kila siku

Ongezeko la wagonjwa wa figo nchini limeanza kujitokeza miongoni mwa vijana.

Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH) imetangaza kuwa inapokea wagonjwa wapya wanne mpaka tisa kila wiki wenye umri kati ya miaka 24 mpaka 40.
Labda chanzo ni 👇
 
Nimeona watu wengi wakielezea hii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…