Na mkilala mnaweka mpaka wa pillows kati yenu si unajua mkishazoea kulaliana mara wife anajisahau analeta kichwa kifuani halafu akistuka anajitoa ghafla utafikiri kagusa nini sijui hehehe
My dia shukuru mungu umebadilika maana,sio vizuri kulala mmenuniana maana hadi kesho mnaamuka na mamoods ya ajabu!
Mie siwezi kbs coz nina weakness ya kumaintain mnuno,naweza jisahau nikamuongelesha au hata kumkumbatia so its better tuyamalize kabla ya mida hiyo lol!
Watu wengine wanaweza ku "do" halafu wakishamaliza wanaendelea kunununiana...
wanawake wa kizungu wamezoea mkigombana
anakufukuza unaenda lala kwenye coach
utasikia 'to the coach'
wanawake wetu wakiiga hiyo tumekwisha lol
Hehehe Mi naona kwenye coach itakuwa bomba, kama wkend natengeneza pop corn nakesha na makelele ya TV hadi morning.
Halafu siku ya pili muda wa kulala hata hajaniambia naelekea kwenye kochi.
Watu wengine wanaweza ku "do" halafu wakishamaliza wanaendelea kunununiana...
tena sex mmenuniana sometimes ni tamu mno....
ukipata mwanamke mjanja ndo anakuongezea ufundi ili uzungumze
na wewe unabaki kujifanya umenuna huku kimoyo moyo unasema
duh mbona leo tamu hivi lol
hahahahaha lol u made my day unanikumbusha mbali sanaNa mkilala mnaweka mpaka wa pillows kati yenu si unajua mkishazoea kulaliana mara wife anajisahau analeta kichwa kifuani halafu akistuka anajitoa ghafla utafikiri kagusa nini sijui hehehe
Watu wengine wanaweza ku "do" halafu wakishamaliza wanaendelea kunununiana...
Unawezaje ku do wakati hata concentration haipo tena ?
jumatatu hafanyi management ya mbu, utarudi mwenyewe kitandani kudaaadeki
My dia shukuru mungu umebadilika maana,sio vizuri kulala mmenuniana maana hadi kesho mnaamuka na mamoods ya ajabu!
Mie siwezi kbs coz nina weakness ya kumaintain mnuno,naweza jisahau nikamuongelesha au hata kumkumbatia so its better tuyamalize kabla ya mida hiyo lol!
Cantalisia zamani nilikuwa naweza kununa more than 2 days ila sasa nimepunguza naweza kununa kwa masaa kadhaa then nakuwa ok ...
Freema,
Ukishajua kwamba wewe ni wa kwenye kochi unandaa mazingira na comforter/shuka unakuja nalo pale hehehe
On a serious note, tatizo kubwa la wanawake ni "COMMUNICATION" yani anaweza kukuta unaangalia mpira umenoga Man U Vs Arsenal kama yaliyonikuta mimi jana , huku timu yangu ishafungwa yeye kasimama umbali wa mita tano ananipa maagizo mpira umeisha ndio naanza kujiuliza " alikuwa anasemaje vilee..."
On a serious note, tatizo kubwa la wanawake ni "COMMUNICATION" yani anaweza kukuta unaangalia mpira umenoga Man U Vs Arsenal kama yaliyonikuta mimi jana , huku timu yangu ishafungwa yeye kasimama umbali wa mita tano ananipa maagizo mpira umeisha ndio naanza kujiuliza " alikuwa anasemaje vilee..."
Khaaaaa!Watu wengine wanaweza ku "do" halafu wakishamaliza wanaendelea kunununiana...
Ndio inakuwaje sasa,
Bora kumalizana kbs kabla ya kufika huko kitandan maana huwa nahitaji kustarehe na sio kutimiza wajibu lolo
Si ndio inakuwa km wanyama jaman lol!
kuhangaika kote na comforter sijui blanket gani kwa nini, ni rahisi kusema s o r r y na kuishi kwa amani na mahaba.
wewe usibishane nae
mwambie sawa nimesikia
mpira ukiisha muulize ulikuwa unasemaje?
akili itamuingia
Inabisdi nikupongeze,Cantalisia zamani nilikuwa naweza kununa more than 2 days ila sasa nimepunguza naweza kununa kwa masaa kadhaa then nakuwa ok ...
Ila jitahidi japo uweze kuacha maana sio nzuri hasa ukiamin kununa hakusaidii kitu maana mwisho wa siku lazm muongee na mlale pamoja!
one word "EGO"
khaaa!!!!!!!!!!!11 hii kali.hiyo ya kuandikiana vi note.
kuna mtu alimuandikia mkewe ki note
'niamshe saa kumi na mbili ni muhimu'
mke ilipofika asubuhi na yeye akamuandikia ki note
'saa kumi na mbili imefika amka sasa'
jamaa kaamka saa mbili ndo anaona ki note pembeni lol
kama unaamini itakupa furaha maishani; kwa aliye conscious atapigana nayo ashinde na kuongeza muda wake wa kuishi kwa kupunuza unnecessary stress.