Ugonjwa wa Kuota Vinyama Sehemu za Siri (Bawasiri/ Hemorrhoids): Chanzo, Dalili, Tiba na Kinga

Ooooh!! Nimekosea sikukuelewa vizur
Hizo genital wart husababishwa na virus
Human papiloma virus
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dr mimi nilitaka kujua hiyo dawa inapatikana Madukani au nikwenye Clinic yako tu
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dawa inaitwa..

Podophyllin.

Unaipaka sehemu husika,
Hii dawa itakuwa ikivichoma na kutoa maji yake, kwahiyo ukimaliza unajisafisha na kujikausha. Mala nne kwa siku.
Mkuu kama tiba yake unaifahamu unaweza nisaidia Maana naamini kabisa me ndio niliyemuambukiza mpenz wangu nakuna mtu aliniambia kwamwanamke vinamadhara makubwa

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimesahau bei ya hiyo dawa, ila ndio inavokua, kwa sababu virus hiwa hawana dawa, unachotakiwa ni kutibu tu eneo hilo lenye tatizo na unapona kabisa.
Mkuu kama tiba yake unaifahamu unaweza nisaidia Maana naamini kabisa me ndio niliyemuambukiza mpenz wangu nakuna mtu aliniambia kwamwanamke vinamadhara makubwa

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kunywa maji lita kumi kwa siku?!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…