Mkuu ujue nilitokewa navisundosundo pale yanapootea mavuzi nilikaa navyo sana badae vikaanza kupotea vikabakia kama viwili hivi, sasa nashangaa mpenzi wangu kimemtokea kwenye kiharage kabisa ndio nimepata wasiwasi, kuna mtu nilimuelezea akaniambia ni vagina wart ndio sasa tiba yake nilihitaji kuifahamu me nimwanaume
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kama tiba yake unaifahamu unaweza nisaidia Maana naamini kabisa me ndio niliyemuambukiza mpenz wangu nakuna mtu aliniambia kwamwanamke vinamadhara makubwaOoooh!! Nimekosea sikukuelewa vizur
Hizo genital wart huaababishwa na virus
Human papiloma virus
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji269] *SIRAAJUL MUNIYR HERBS MEDICINE* [emoji269]
[emoji298] *UTWAARID* [emoji298]
NI DAWA MUJARABU KWA MATATIZO YAFUATAYO
[emoji117]BAWASIRI
[emoji117]KUKOSA CHOO
[emoji267] *MATUMIZI* [emoji267]
[emoji117]KOROGA KIJIKO KIDOGO(CHA CHAI) KWA MAJI MOTO AU MAZIWA AU UJI KIKOMBE KIMOJA KUTWA X 3 SIKU 14.
*NB* :UTATUMIA PAMOJA NA MAFUTA YA NYONYO KUPAKA SEHEMU HUSIKA
Kwa ushauri na tiba za maradhi mbalimbali wasiliana nasi
+255 655 821 550
Sulayman Sangida---Dar es Salaam
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kama tiba yake unaifahamu unaweza nisaidia Maana naamini kabisa me ndio niliyemuambukiza mpenz wangu nakuna mtu aliniambia kwamwanamke vinamadhara makubwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kama tiba yake unaifahamu unaweza nisaidia Maana naamini kabisa me ndio niliyemuambukiza mpenz wangu nakuna mtu aliniambia kwamwanamke vinamadhara makubwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu vipi nahuyu mwenzangu ambaye kimemtokea sehemu hiyo nilokwambia?Dawa inaitwa..
Podophyllin.
Unaipaka sehemu husika,
Hii dawa itakuwa ikivichoma na kutoa maji yake, kwahiyo ukimaliza unajisafisha na kujikausha. Mala nne kwa siku.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu vipi nahuyu mwenzangu ambaye kimemtokea sehemu hiyo nilokwambia?
Sent using Jamii Forums mobile app
Vipi upatikanaji wahiyo dawa naweza kuipata kwenye maduka yamadawa?Nimesahau bei ya hiyo dawa, ila ndio inavokua, kwa sababu virus hiwa hawana dawa, unachotakiwa ni kutibu tu eneo hilo lenye tatizo na unapona kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu vipi nahuyu mwenzangu ambaye kimemtokea sehemu hiyo nilokwambia?
Sent using Jamii Forums mobile app
Vile vile huyu bibie anaujauzito wamiezi mitatu hiyo dawa haina madhara kwake?
Vipi upatikanaji wahiyo dawa naweza kuipata kwenye maduka yamadawa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Vile vile huyu bibie anaujauzito wamiezi mitatu hiyo dawa haina madhara kwake?
Sent using Jamii Forums mobile app
Vile vile huyu bibie anaujauzito wamiezi mitatu hiyo dawa haina madhara kwake?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawasawa mkuuTena kama hato kuelewa jinsi ya kutumia,
mwambie aende clinic amuombe nesi aumuelekeze jinsi ya kutumia hiyo dawa.
Coz clinic ni bure tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kunywa maji lita kumi kwa siku?!!![emoji256] *BAWASIRI/MGOLO* [emoji256]
[emoji298]Bawasiri ni ugonjwa unaotokea katika njia ya haja kubwa, hujitokeza kama uvimbe au kijinyama ambacho huweza kuonekana hadi nje.
[emoji298]Kwa kiingereza hujuliakana kama piles.
[emoji298] Na kitaalam hujulikana kama hemorrhoids
[emoji261]AINA ZA BAWASIRI[emoji261]
[emoji117][emoji637] BAWASIRI YA NJE
Aina hii ya bawasiri hutokea katika eneo la mwisho kabisa la mfereji wa haja kubwa, na huambatana na maumivu, pamoja na kuwashwa kwa ngozi katika eneo hilo. Mara nyingine mishipa hiyo ya damu (vena) hupasuka na damu huganda na kusababisha aina hii ya bawasiri kitaalamu inaitwa Thrombosed hemorrhoid.
[emoji117][emoji638]BAWASIRI YA NDANI
Aina hii ya bawasiri hutokea ndani ya mfereji wa haja kubwa. Na huwa haimbatani na maumivu.
[emoji298]Aina hii imeainishwa katika mainisho ya madaraja manne yafuatayo:
[emoji117]Daraja la 1 - Bawasiri kutotoka katika mahali pake pa kawaida
[emoji117]Daraja la 2 - Bawasiri kutoka wakati wa haja kubwa na kurudi yenyewe baada ya haja.
[emoji117]Daraja la 3 - Bawasiri kutoka wakati wa haja kubwa na mtu kuweza kuirudisha mwenyewe baada ya haja.
[emoji117]Daraja la 4 - Bawasiri kutoka wakati wa haja kubwa na vigumu mtu kuirudisha baada ya haja.
www.sangidaherbal.blogspot.com
[emoji271]BAWASIRI HUSABABISHWA NA NINI?[emoji271]
[emoji117]Kufunga choo au kupata choo kigumu kwa muda mrefu
[emoji117]Ujauzito – wakati wa ujauzito watu wengine wanaweza kupatwa na bawasiri sababu ya msukumo wa mtoto karibu na sehemu ya kutolea haja kubwa
[emoji117]Kushiriki mapenzi kinyume na maumbile
[emoji117]Uzee – kadri miaka inavyosogea ndivyo inavyokuwa rahisi kwako kupatwa na ugonjwa huu kwa baadhi ya watu
[emoji117]Sababu za kurithi – baadhi ya watu wanaweza kurithi udhaifu wa ukuta huo wa njia haja kubwa ingawa ni asilimia ndogo sana.
[emoji117]Kuharisha sana kwa muda mrefu
[emoji117]Kutumia vyoo vya kukaa
[emoji117]Kunyanyua vyuma vizito
[emoji117]Mfadhaiko/stress
[emoji117]Uzito na unene kupita kiasi.
[emoji271]DALILI ZA BAWASIRI[emoji271]
[emoji117]Maumivu wakati wa kujisaidia haja kubwa
[emoji117]Damu kunuka kinyesi wakati wa kujisaidia
[emoji117]Muwasho sehemu ya tundu la haja kubwa
[emoji117]Uvimbe au kinyama kujitokeza sehemu ya tundu la haja kubwa
[emoji117]Haja kubwa yaweza kujitokea tu muda wowote
[emoji263]ATHARI ZA BAWASIRI[emoji263]
[emoji298] Upungufu wa damu mwilini
[emoji298] Kutokwa na kinyesi bila kijitambua
[emoji298]Kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa
[emoji298]Kupungukia nguvu za kiume (kwa wanaume)
[emoji298]Kupungukiwa na uwezo wa kufanya kazi kutokana na maumivu
[emoji298]Kupata tatizo la kisaikolojia
[emoji263]NJIA ZA KUJIKINGA DHIDI YA BAWASIRI[emoji263]
[emoji298]Kula mboga za majani na nafaka zisizo kobolewa kwa wingi
[emoji298]Kunywa maji mengi lita sita hadi kumi na mbili kwa siku
[emoji298] Acha kufanya ngono kwa kutumia tundu la haja kubwa (kulawitiwa)
[emoji298] Punguza kukaa chooni kwa muda mrefu, kunaweza kuongeza shinikizo katika njia ya haja kubwa.
Kwa ushauri na dawa za magonjwa mbalimbali wasiliana nami
+255 655 821 550
Sulayman Sangida
Sent using Jamii Forums mobile app
tumia majani ya mgagani kama tiba kwa Kuya ponda ponda alafu unapaka eneo husika kilasikuHabari wakuu,
Nimekuwa nikinywa sana maji, kula mboga za majani na matunda. Naomba kama mtu ambaye alishawahi kuumwa bawasiri/hemorrhoids na akapona kabisa, anijuze alifanya nini akapona.
Ahsanteni.
Sent using Jamii Forums mobile app