Ugonjwa wa Kuota Vinyama Sehemu za Siri (Bawasiri/ Hemorrhoids): Chanzo, Dalili, Tiba na Kinga

Mtimkavu, nashukuru kwa message. Ila lugha uliyotumia hapa ni ya kidaktari? Au ndiyo shorthand? kwa kweli nimeungaunga tu na wala sijaelewa kabisa. Can you come back again in summaried simple information? Thank you in advance.
 
Mtimkavu, nashukuru kwa message. Ila lugha uliyotumia hapa ni ya kidaktari? Au ndiyo shorthand? kwa kweli nimeungaunga tu na wala sijaelewa kabisa. Can you come back again in summaried simple information? Thank you in advance.
Muungwana cha msingi procure huduma za daktari wa kueleweka mwenye caliber ya kujua anachofanya. Kuendelea kusubiria majibu ya copy & paste yaliyotafsiriwa na google za akina Mzizimkavu utapoteza muda wako.
 
You are a courageous man/woman Most people dont talk about such issues to public.

Hata hivyo tukianza kutoa maswali elekevu wakati mwingine yanasound Rather peculiar ,...au unaweza kujiona abused psychologically. Cha kufanya kama uko abroad Nenda kamuone Daktari anayeitwa Proctologist,...au endoscopist,...

Kama upo bongo basi nenda kamuone surgeon na ukifika mwambie ukweli na uombe kipimo cha Endoscopy AU proctoscopy kwanza. Halafu baadaye utayapata majibu.

ANYWAY KABIBU JFFFFFFFFF,..........Tunasubiri post zako siku zijazo
 

Tumia kipimo alichosema Bawa.
 
Je, tatizo ili limekupata baada ya kuwa na 'loose motion' yaani kuendesha? Kama ndiyo, loose motion uleta michubuko kwenye rim ya njia ya haja kubwa, choo kigumu pia uleta michubuko; hivyo basi jisafishe kila baada ya kutumia choo kwa maji safi, fanya 'sit-bath (sitting in the warm water in the water dish/ basin for at least five minutes twice a day after a shower - don't mix that water with dettol)', kula matunda hasa mapapai, mboga za majani na mikate aina ya 'brown', pia usiache kunywa maji ya kutosha kila siku, halafu anagalia baada ya wiki hivi kama bado inaendelea muone Dk na uombe kipimo cha 'endoscopy' kitaonyesha kila kitu kunanzia kwenye rim ya njia ya haja kubwa mpaka kwenye mlango wa tumbo - hapo utapata majibu ya uhakika kama ni hemorrhoids au minyoo au fissures nk.
 


KAKA naomba usitumie hiyo translator kweli imetuchanganya. Jaribu kuisummarize au ipost katika lugha ya Kingereza walau tunaweza kuambulia ila hiyo translator inaharibu.
 
Muungwana cha msingi procure huduma za daktari wa kueleweka mwenye caliber ya kujua anachofanya. Kuendelea kusubiria majibu ya copy & paste yaliyotafsiriwa na google za akina Mzizimkavu utapoteza muda wako.

Nakubalia nawe Abdulhalim. Ila kumbuka kuwa nimeshaenda hospital already kwa daktari mzuri sana lakini si bingwa. Nikapewa flagyls ambazo hazijasaidia. hapa JF kuna mabingwa wengi tu ambao wanaweza kutoa ushauri appropriately wa namna ya ku-approach hii issue. Kwa mfano, kuna mtu kaniambia jaribu Endoscopy AU proctoscopy. Saa hii nisingeweza fikiria hata siku moja kwani sijui. Then kutokana na ushauri wao na mimi pia nachanganya na za kwangu then naamua.
 
Pole sana mgeni wetu kwa kuumwa na hayo maumivu makali.

Sasa kama umefuatilia vizuri niliwahi kuleta mada kama hii kuhusiana na tatizo la mshikaji wangu. Kupitia hapa JF alipata ushauri na alielekezwa kwenda zahanati moja ipo maeneo ya Banana eneo linaloitwa Bonanza ambayo wanatumia dawa za mitishamba. Jamaa yangu huyo kwasasa aanaendelea na matibabu na kuna maendeleo makubwa sana tofauti na mwanzoni. Jitahidi kufuatilia tiba hii nawe kama vipi. Jina la hospitali yenyewe silikumbuki ila nitamuuliza mshikaji na nitalipoti hapa.
 
Jaribu pia kuacha kula vyakula vya nafaka zilizokobolewa yaani kila siku badala yake ongeza kula nafaka ambazo hazijakobolewa, maji kwa wingi, matunda na pia tumia Juisi ya Ukwaju nzito glass mbili mara tatu kwa siku kwa muda wa siku tatu utaona mabadiliko.
 

SCABULA UNAMSHAURI MSHIKAJI KUHUSU UKWAJU,,..MATE YAMENITOKA,..huku hamna mzeee,,..namiss na ubuyu pia,..du bora nikanywe bia,...ina uchachu,...mzee
 
Muungwana cha msingi procure huduma za daktari wa kueleweka mwenye caliber ya kujua anachofanya. Kuendelea kusubiria majibu ya copy & paste yaliyotafsiriwa na google za akina Mzizimkavu utapoteza muda wako.
Unaona wivu akitaka ushauri wangu? wewe Abdulhalim unaleta ubishi hata huku?
 
Mtimkavu, nashukuru kwa message. Ila lugha uliyotumia hapa ni ya kidaktari? Au ndiyo shorthand? kwa kweli nimeungaunga tu na wala sijaelewa kabisa. Can you come back again in summaried simple information? Thank you in advance.
Kinachotakiwa uende kwa doctor Mtaalamu wa haya Maradhi ya Hemorrhoids akufanyie Uchunguzi na hata ikiwezekana ufanyiwe Operation ndogo kwa kuikata hicho kinyama kilichotoka sehemu yako ya siri. Huo ndio ni ushauri wangu.
 
Unaona wivu akitaka ushauri wangu? wewe Abdulhalim unaleta ubishi hata huku?
Wewe ni mngoni au mtu wa Kigoma nini? lol

Yaani unaweka post ya google translator ambayo hata sentensi moja haileti mantiki halaf ukiambiwa unaanza kubisha na kuleta visingizio !
 
Wewe ni mngoni au mtu wa Kigoma nini? lol

Yaani unaweka post ya google translator ambayo hata sentensi moja haileti mantiki halaf ukiambiwa unaanza kubisha na kuleta visingizio !
Naona wewe utakuwa ni Mzanzibar tena mtu wa CUF kama ni Mtu wa Bara utakuwa ni Mchaga wewe. kila Mahali upo tulia Mkuu
 


Mkuu, hata minyoo inaweza leta hii kero? Sasa inakuwa inafanya nini huku chini badala ya ku-concentrate kwenye food kwenye utumbo wa juu? Sijanywa dawa za minyoo miaka kadhaa!
 

Ndugu KN,pole sana kwa maradhi.

I like and enjoy the science of diagnosis..maana sometimes huwa inaleta wonders,inaweza kupelekea kugundua kitu ambacho was once not in mind of anyone.Na ndio maana daktari mzuri ni yule mwenye kipaji cha diagnosis..maana hapo ndio mwanzo wa tiba.

Binafsi ningependa kujua:

Jinsia,una umri gani,unaishi maeneo gani,your health status,(hii ni general history)

Present illness:Maumivu wakati kujisaidia haja kubwa;je inaambatana na damu(u can think of hemorrhoid,rupture etc),umesema ulipata food poisoning(severeness,the consequence thereof,wht relieved the poisoning etc),wht aggravate the illness,wht alleviate the symptoms.Umetaja kuhara na choo kigumu vyote vinatoa maumivu;je wahara mara ngapi a day,umesha observe chakula gani ukila au usipokunywa maji kwa muda ya kutosha unapata choo kigumu.

Past medical history:Una historia yoyote ya physical trauma maeneo husika or any,una historia yoyote ya Hepatitis or any liver disease(hapa tunataka ku relate na varicose in the portal-systemic anastomoses especially anal-rectal anastomosis which may lead to hemorrhoid),any history of Colitis(idea hii naipata kwa kuwa daktari alikupa flagyls),kama ni mwanamke:ushazaa mtoto,na una historia yoyote ya vagino-rectal fistula.Ulipata infection yoyote in the lower large intestine in any time in your life.

Personal life:Umeoa/kuolewa,umeshazaa(kama ni she)-if yes,watoto wangapi,any delivery complications,sexual habit:anal sex,toy sex etc,occupation-je ni kazi ambayo inakulazimu ukae kitako kwa muda mrefu,any hazardous work enviroment.

Family history:health status ya wazazi,ndugu wa karibu,watoto,spouse.Je wana matatizo yanayo fanana na ya kwako?

In short ndugu,nenda katafute a thorough medical attention kwa mtaalam wa hiyo kitu,kama uko Bongo,ma dakatri wetu wengi hawana muda ya kumsikiliza mgonjwa kwa kila kitu,kwa hiyo tafuta means ya kuhakikisha daktari anafuatilia hiyo issue kwa ukamilifu ili kujua hasa tatizo ni nini.

Get well soon

Qadhi
 
Naona wewe utakuwa ni Mzanzibar tena mtu wa CUF kama ni Mtu wa Bara utakuwa ni Mchaga wewe. kila Mahali upo tulia Mkuu
Inaelekea mkuu una damu ya Sheikh Yahya Hussein...... unatabiri kwa kuhisia. Atakuwa mzanzibari tena mtu wa CUF au wa Bara tena mchagga (hujasema kama atakuwa CHADEMA au CCJ). Sisi wafuasi wa utabiri tuchukue lipi kati ya hayo mawili?
 

Leo nimerudi tena. Zamu hii ni kuwashukuru wote waliotoa ushauri mwema kuhusu maradhi yangu. Kabla ya kwenda kumwona daktari, niliona kwamba labda nifanye trouble shootings kwangu mwenyewe badala ya kujiweka katika wakati mgumu wa kujaribu jaribu madawa, kitu ambacho kwa hakika huwa sikipendi kabisa. Mpasa sasa sijatumia dawa yoyote bali ni kubadilisha menu na kula sana matunda pamoja na vitu vya maji maji kwa wingi. Muda mwingi baada ya chakula nilikuwa nakunywa maji sana. Mpaka leo nayanywa sana. Awali nilikuwa nakunywa maji nikisikia kiu tu. Sasa hivi niko safi kabisa kama nilivyokuwa awali. Asanteni sana.
 
Inaelekea mkuu una damu ya Sheikh Yahya Hussein, unatabiri kwa kuhisia. Atakuwa mzanzibari tena mtu wa CUF au wa Bara tena mchagga (hujasema kama atakuwa CHADEMA au CCJ). Sisi wafuasi wa utabiri tuchukue lipi kati ya hayo mawili?
Utajaza wewe mwenyewe kama ni Mtu wa Chadema au CCM. lakini mimi namuona Mkuu Abdulhalim Ni Mlokole sio Mzanzibar
 
Bawasiri inayojulikana ni ile ya tupu ya nyuma, bawasiri huwa ni mfano wa tutu kwa ugumu wake, na udogo wake na mviringo wake au huwa mwekundu huenda ikatoa damu na pengine isitoe damu.

Namna ya kuifanyia dawa:

1. Ipake mafuta ya mbono mara nyingi, na baada yake itawezekana kuirudisha ndani.

2. Iponde habbasouda kisha changanya na sukari kiasi kama cha habbasouda, ule siku moja mara moja kila mara nusu kijiko kisha na unywe maji.

Inshallah huenda dawa hizi 2 zikakusaidia na Inshallah tunamuomba Allah S.W awaondoshee maradhi wagonjwa wote inshallah.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…