Ugonjwa wa Kuota Vinyama Sehemu za Siri (Bawasiri/ Hemorrhoids): Chanzo, Dalili, Tiba na Kinga

aende hospital....wajue..ni.nin.kwanza...haya maswala ya kutulia na uvimbe mda mrefu sio dili.....ushauri...tu... Coz wagonjwa weng wanakuja hospital baada ya miti shamba kugoma
Hospitali ameenda sana mkuu. Madaktari walimshauri atumie tiba mbadala tofauti na upasuaji kwa hoja ya kwamba hata akifanya upasuaji uvimbe utarudi.
Walimshauri abadili life style, asiwe na msongo wa mawazo na pia ale mlo kamili pamoja na mboga mboga kwa wingi.
 
Mimi pia ilinisumbua sana kama miaka miwili ila nilipo tumia dawa ya meno ikapona kabisaa maana usiombe ukawa na hii kitu afu upate haja ngumu utamwaga dam kama umetoka kujifungua
Dawa ya meno?[emoji15]
 
yeap..mkuu...ajitahidi kutumia high fiber diet
 
Hayo maji unapaka kwenye puru au unakunywa?
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] nimecheka kama mazuri
mtoa mada unajua bawasiri zinazababishwa na mambo mbali mbali hivyo ni vyema kujua sababu za kusababisha maana zinaweza kujirudia kama bado utaendelea na vihatarishi hivyo ikiwemo uzito Mkubwa,kina mama wajawazito,mazoezi mazito na kula vyakula vigumu sana
 
Mimi pia ilinisumbua sana kama miaka miwili ila nilipo tumia dawa ya meno ikapona kabisaa maana usiombe ukawa na hii kitu afu upate haja ngumu utamwaga dam kama umetoka kujifungua
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] zikipasuka ni shida kubwa maana maambukizi ya vidudu y anaweza kuwa juu
 
Tupatie formula jinzi ya kutengeneza kwani tatizo hili ni sugu kwa wengi
 
Mi huu ni mwaka wa 3 nahangaika na huu ugonjwa.... Nadhan kupitia uzi huu ntapata tiba
 
Nakushukuru sana kwa moyo wako wakujitoa kutuelimisha kuhusu tiba hii ya bawasili kwani itawasaidia watu wengi sana wenye matatizo haya.Umefanya jambo la uzalendo sana na naamini Mwenyezi Mungu atakulipa yaliyo mema.
 
Bikira latifa pole sana. Ila unaweza tambua ni nini sabbu ya wewe kupata ivyo viuvimbe kenye sehem ya kutolea haja kubwa.

Ungetusaidia kutueleza maana kinga ni bora kuliko tiba.
 
Pole na hongera kwa kupona na asante kwa taarifa tosherezi, dawa za kienyeji nazo zinaubaguzi sana, wewe inaweza kukuponya kabisa na mwingine ikagoma,
Si dawa za mitishamba tu hata za maabara pia huchagua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…