Ugonjwa wa Kuota Vinyama Sehemu za Siri (Bawasiri/ Hemorrhoids): Chanzo, Dalili, Tiba na Kinga

Jaribu hii, inaweza kukusaidia:
1. Iweke sehemu yenye uvimbe kwenye maji ya moto kwa muda wa kama nusa saa hivi asubuhi na jion,usiku.
2. Paka sehemu yenye tatizo(MNDUKUNI) mafuta ya mnyonyo kila baada ya kutoka kuiweka sehemu hiyo kwenye maji ya moto kila siku asubuhi na jion/usiku. Paka na lala nayo.
3. Jenga tabia ya kutawdha kwa kutumia maji ya moto.
4. Tumia kijiko kimoja kila siku kutwa mara tatu, mchanganyiko uliotengenezwa na asali, habal soda na mdalasini.
5. badili mfumo wako wa kula, kula vyakula vyenye kambakamba, epuka vyakula vya aina ya Chipsi.
6. na acha kutumia pilipili.

Inshallah
 

Ahsante sana kwa kutufahamisha dawa hii.
Maradhi haya yanatesa watu wengi sana hivyo utakuwa umewasaidia na hakika utalipwa heri nyingi.
Amiin
 
Hayo mafuta unakunywa au unapaka mkuu. Mimi nina mgonjwa.
 
Kuna mti unaitwa mlonge jaman, kama mtu anashida hiyo ajaribu kunywa mlonge, achemshe majani yake anywe tena anywe kwa wingi, siku moja tu maumivu yatapungua na matumaini atayaona
 
Pamoja na hio dawa ya mgomba jitahidi unywe maji ta kutosha kwani wengi wetu ni wavivu na matokeo yake ni choo kigumu(constipation)utachubuka tu na kuota hizo haemorrhoids ama bawasili..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…