Ugonjwa wa Kuota Vinyama Sehemu za Siri (Bawasiri/ Hemorrhoids): Chanzo, Dalili, Tiba na Kinga

umeshaambiwa ugonjwa wako ukapewa na dawa ya kutumia sasa unapoanza oooh kimewiva sana,mara oooh kilaini sana mara sijui nini....
Inawezekana wewe ni mke wa mjumbe wa shina la nyumba kumi ndio maana una kiherehere sana, umeona hapakufai mind your business period.
 
afadhali umeelewa na wewe,tena ugonjwa wenyewe umekaa pabaya basi mwenyewe anafurahi kunyanyamvua,oooh kando ya shimo,mara sijui tundu limewiva,mara sijui nikinya inakuwa hivi.....
Nikinyamvua si langu wewe unaumia nini? Kuliwa waliwe wengine wewe usikie maumivu, imbecile.
 
Wataalamu wanasema unaweza kutumia dawa inayoitwa.
Amoxicillin & Clavulanate Potassium Tablets USP
Pamoja na panadol ya kupunguza maumivu
Dozi ni ya wiki moja kidonge kimoja asubuhi kingine jioni, dawa hiyo inauzwa kati ya 21,000 na 25,000.
 
Wataalamu wanasema unaweza kutumia dawa inayoitwa.
Amoxicillin & Clavulanate Potassium Tablets USP
Pamoja na panadol ya kupunguza maumivu
Dozi ni ya wiki moja kidonge kimoja asubuhi kingine jioni, dawa hiyo inauzwa kati ya 21,000 na 25,000.
Nashukuru sana kwa ushauri mkuu, nimeandikiwa pirex gel pamoja na pirex tablets
 
Mmmmh,hapana mkuu. Hayo ni matango pori unatulisha.
 
Mkuu ukithubutu kupaka Yale majimaji ya vitunguu swaumu kwa siku 3 hivi utapata nafuu haraka sana!
 
Ila sidhani kama hii inaweza kuwa sababu kwa upande wangu kwasababu huwa najisafisha vizuri kila baada ya kujisaidia na pia sivai boxer siku mbili mkuu as long as nimeoa muda mrefu kidogo na wife anajua majukumu yake vizuri.
Duu umeoa muda wife anajua majukumu yake kufua boksa?
 
Huwa unatumia toilet paper instead of water?
 
umeshaambiwa tatizo ulilonalo iweje unaanza kuturingishia tena mara oooh nikishika laini laini ,mara sijui mafuta mbona tunaanza kupata hofu kama kweli we mgonjwa,zingatia dawa ulizopewa.case closed
[emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
mkuu pole sana hata mimi nilishawahi ugua huo ugonjwa nilienda hospital nikaambiwa ni nibadilishe mfumo ninaoishi nianze kufanya mazoezi diet nzurii bila kusahau mboga za majani na matunda kwa wingi pia nisipende kukaa chooni kwa mda mrefu wakati wa haja kubwa nihakikishe napata haja laini wallah unapona bila dawaaaaaa mpaka leo nadunda
 
Ngoja na mimi nizingatie hayo pengine hii kadhia itanitoka.
 
Nini madhara ya kutumia tishu?
Mi nafikiri kwamba matumizi ya tishu yanaweza kuacha uchafu ambao ndani yake una bacteria wanaoweza kushambulia maeneo waliyopo, tumia maji tu then unawe mikono (hii ni salama zaidi kuliko tishu)
 
Mi nafikiri kwamba matumizi ya tishu yanaweza kuacha uchafu ambao ndani yake una bacteria wanaoweza kushambulia maeneo waliyopo, tumia maji tu then unawe mikono (hii ni salama zaidi kuliko tishu)
Tatizo la kutawaza na maji ni kuacha mabaki ya kinyesi katika mikono.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…