Mkuu sio dar pekee yake hata mikoani huu ugonjwa upo, jana kuna mtu nmekutana nae ana kesi kama hii,anzeni kuogea sabuni za tiba msituletee madude yenu! nyie wa dar mnapenda sana kulambana!
yameanzia dar mtakuja kutuua nyinyi!Mkuu sio dar pekee yake hata mikoani huu ugonjwa upo, jana kuna mtu nmekutana nae ana kesi kama hii,
Ngozi inawasha akijikuna vinatoka vipele katumia kila dawa ila hamna matokeo
Huyo daktari wako alikwambia huo ugonjwa unaitwaje?Hapa kwenye taasisi nayofanyia kazi karibu kila mtu analalamika ugonjwa wa kuwashwa ngozi na kujikuna as if mtu anapiga gitaa .
Huko mitaani nako hali sio hali watu wanajikuna sio mchezo sana na leo nilikuwa hospitali (kitegule) Dk akaniambia kuna huo ugonjwa na watu wengi wanafika hapo wakiwa ndio kesi kubwa sana kwa sasa .
Waziri Ummy Mwalimu upo kimya sana na wizara yako
USSR
Mkuu ni Scabies hiyo nafikiri imetoka Ulaya maana ipo sana huku ila ni ugonjwa mbayaUkurutu huo huenda umetokea kwenye Majela yetu yenye msongamano kupita kiasi.
Sio Mpox?Huyo daktari wako alikwambia huo ugonjwa unaitwaje?
Kutokuoga kwako usisingizie dar nzima hawaogiHapa kwenye taasisi nayofanyia kazi karibu kila mtu analalamika ugonjwa wa kuwashwa ngozi na kujikuna as if mtu anapiga gitaa .
Huko mitaani nako hali sio hali watu wanajikuna sio mchezo sana na leo nilikuwa hospitali (kitegule) Dk akaniambia kuna huo ugonjwa na watu wengi wanafika hapo wakiwa ndio kesi kubwa sana kwa sasa .
Waziri Ummy Mwalimu upo kimya sana na wizara yako
USSR
Watakuwa wawekezaji wameanza yao, niliwaambia hii nchi wanaitaka kwa udi na uvumbaHapa kwenye taasisi nayofanyia kazi karibu kila mtu analalamika ugonjwa wa kuwashwa ngozi na kujikuna as if mtu anapiga gitaa .
Huko mitaani nako hali sio hali watu wanajikuna sio mchezo sana na leo nilikuwa hospitali (kitegule) Dk akaniambia kuna huo ugonjwa na watu wengi wanafika hapo wakiwa ndio kesi kubwa sana kwa sasa .
Waziri Ummy Mwalimu upo kimya sana na wizara yako
USSR