moneytalk
JF-Expert Member
- Jan 23, 2017
- 7,976
- 16,769
Ooh sawa kungwiDawa flani hivi inauzwa buku ya unga unamix kwenye mafuta ya kupakaa mwilini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ooh sawa kungwiDawa flani hivi inauzwa buku ya unga unamix kwenye mafuta ya kupakaa mwilini
😂😂😂 kungwi tenah??Ooh sawa kungwi
Hii inauzwa wapi maduka ya asili ?😂😂😂 kungwi tenah??
ndio ndio kungwi😂😂😂 kungwi tenah??
Unadhani hakuna miongozo kwenye mahospital pale wanapoona ugonjwa mpya?Huyo daktari alipaswa kutoa taarifa kwa Mganga mkuu wa mkoa nae atoe taarifa kwa waziri husika...
Msipoandamana nyie hamtosikilizwa
Ukute mashuka machafu,hahahaha!!Wewe kuwashwa kidogo tu unataka Serikali itoe tamko?
Yaan sasaiv uende MarekaniEbay ndiyo wapi huko Chifu, naomba unichoree location kiusahihi niende hata sasa hivi.
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Na hela zimeadimika sana mwezi huu, Waziri wa fedha yuko kimyaaNa ugonjwa wa kikohozi nao umeshamiri sana Dar na waziri yupo kimya. Nchi ya kikwuma sana hii
Ni balaaaa !!Dar watu wanaishi maisha ya ajabu sana kuanzia misosi mpaka sehemu za kulala.
Hawafui mashuka na nguo za ndani hawbadilishi kwa wakati halafu mtu siriaz anataka msaada wa serikaliUchafu ndio chanzo chake,muwe mnaoga.
Ukipata huo ugonjwa utarudi hapa kutengua kauli.Hawafui mashuka na nguo za ndani hawbadilishi kwa wakati halafu mtu siriaz anataka msaada wa serikali
Hiyo ndio sababu kubwa ya kuwashwa Yani ukurutu ila Kuna sababu nyingine inayopelekea hali hiyo kama kutumia vyakula vya kukaanga kama miguu ya kuku au viazi haya makachori watu wanayokula njiani wawe makini wauzaji wanayatumia mafuta muda mrefu bila kubadilisha matokeo yake ndio hayaUkipata huo ugonjwa utarudi hapa kutengua kauli.
Tunautafutia jina kwanza maana tukiwambia ni monkeypox mtaogopa labda tuuite KUJIKUNAPOX ila Sasa Ile dawa inayotibu monkeypox ndio hiyo hiyo inayotibu KUJIKUNAPOX.Hapa kwenye taasisi nayofanyia kazi karibu kila mtu analalamika ugonjwa wa kuwashwa ngozi na kujikuna as if mtu anapiga gitaa .
Huko mitaani nako hali sio hali watu wanajikuna sio mchezo sana na leo nilikuwa hospitali (kitegule) Dk akaniambia kuna huo ugonjwa na watu wengi wanafika hapo wakiwa ndio kesi kubwa sana kwa sasa .
Waziri Ummy Mwalimu upo kimya sana na wizara yako
USSR
JF bhana, anywayYaan sasaiv uende Marekani
Haya bhana 😂ndio ndio kungwi
Ugonjwa huu unanitesa sana hauna dawaMkuu sio dar pekee yake hata mikoani huu ugonjwa upo, jana kuna mtu nmekutana nae ana kesi kama hii,
Ngozi inawasha akijikuna vinatoka vipele katumia kila dawa ila hamna matokeo