Ugonjwa wa Selimundu (Sickle Cell anaemia): Dalili na matibabu yake

sijapotosha ndugu mimi sio doctor otherwise niulize then nipate jina lake..ila yeye alijua anachoma Aghakan..

wewe hizo sindano zipo ila hazihusiani na sicklecell directly ni mambo -ve or +ve kwenye rh's kwa wazazi huwa mwanamke ashiki mimba kila akishika inaweza misscarry mpaka wachomwe hizo sindano so sio sickle cell tu ndo husababishwa na hizo rh.
 
Wadau,

Naomba kueleweshwa kama ukioa mtu mwenye sickle cell, kuna uwezekano wa watoto kurithi huo ugonjwa?
Na kuna kinga yoyote ambayo mtu mwenye sickle cell anaweza kupewa ili asimrithishe mtoto kama ugonjwa huo unarithishwa?
 
Huu ugonjwa ndiyo unarithiwa hata mtu asipoonyesha anakuwa carrier. Ngoja waje wataalam
 
Ugonjwa wa kisukari umegawanyika ktk sehemu kuu mbili(1)kisukari cha kurithi (2)kusukari kinachotokana na matatzo(magonjwa)mbalimbali ktk mwili.ndiyo tiba ya ugonjwa huo ipo na mtu anapona kabisa,nina dawa za kutibu ugonjwa huo,kwa anayeitaji na anasumbuliwa na ugonjwa huo anitafute.0759217720.
 
Wadau,

Naomba kueleweshwa kama ukioa mtu mwenye sickle cell, kuna uwezekano wa watoto kurithi huo ugonjwa?
Na kuna kinga yoyote ambayo mtu mwenye sickle cell anaweza kupewa ili asimrithishe mtoto kama ugonjwa huo unarithishwa?
Sickle cell ni ugonjwa wa kurithi,na hakuna kingia kuzuia watoto wako wasiupate.Kuna 50% chance kwamba mtoto atakayezaliwa anaweza kurithi.
kama tukichanganya
XX na XY =XX XY XX XY
XX=mtu asiye na sickle cell anemia
XY=mtu mwenye sickle cell anemia
 

Umenena vyema gorgeousmimi natumaini amekuelewa vizuri
 
Last edited by a moderator:

Thanks mkuu.
 
Mimi nn sickle cell na nn umri wa miaka 28 so ukiongea kitu iwe unakielewa kiundani na si kulopoka. Pia nna mtoto mmoja wa kike ambaye hana ugonjwa
 
Mimi nn sickle cell na nn umri wa miaka 28 so ukiongea kitu iwe unakielewa kiundani na si kulopoka. Pia nna mtoto mmoja wa kike ambaye hana ugonjwa

dizain kama wewe ndio unayelopoka maana uliyem-quote ameandika kuwa yeye sio dokta wala mtaalamu wa haya mambo, hivyo ye katumia uzoefu tu, sasa kosa lake lipi au kalopoka vipi?
 

mkuu kwanza pole...
kiukweli kutibu kabisa huu ugonjwa ni ngumu.
Njia pekee yenye yenye matokea chanya kwa mda mrefu ni BONE MARROW TRANSPLANT.
hapa itabidi awepo mtu wa kujitolea hizo bone marrow kisha ndio zisafishwe na kupandikizwa kwa mgonjwa, zile za mgonjwa zinazozalisha cycle cells zitaondolewa..
Hii op ni ghali sana na kupata hizo bone marrow toka kwa mtu mwingine pia ni vigumu..kwa hapa tz hii haifanyiki.
wagonjwa wengi huishia kupewa dawa za kupunguza madhara ya cycle cells,ni vema kuwasiliana na madaktari ili wawe wanawapa ushauri hata mnapopanga kupata mtoto.
pia ni vyema kumfanya huyo mtoto mwenye hilo tatizo ajielewe mapema hali inayomkabili, akiwa mkubwa kwenye kapata partner inabidi apimwe kwana ili dokta ajue kama huyi partner wake ana genes za huo ugonjwa... hii itasaidia kuepuka na yeye kupata mtoto mwenye tatizo hilo..

Tiba kwa maana ya dawa hakuna iliyothibitishwa kutibu ila zipo ninazosaidia tu kupunguza ndio kama hizo anazopewa muhimbili.
 
Sikuwahi kusikia tiba za ugonjwa huu kwa kweli zaidi umlikie Mungu maana yeye ndie mmponyaji mkuu na anaweza kumuondolea mwanao hilo tatizo
 
 
Habari gan ndgu, naombeni ushauri ktk hii kitu(sickle cell anaemia) maana inanipa utata kdgo,
Kwa kawaida n ugonjwa wa kurithi ila inakuaje kama :-

1) Mwanamke ndiye mwenye hvyo vimelea ila mwanaume hana na mwanamke n Carrier wa Sickle cell?

2)Baba ndiye mwenye hvyo vimelea vya sickle cell ila mama hana na kwa upande wa mwanaume kuna wenye huo ugonjwa?

3)Je kuna hatari gan endapo kutakua na familia ya wenye ugonjwa huo?

4)Kuna hatari gan ktk kutunga mimba kwa mwanamke Mwenye sickle cell had kujifungua?

5)Watu wenye sickle cell huwa wana madhaifu gan kiafya?


Naomben[emoji120] mnisaidie katika hayo machache wandugu
 
Mkuu kheri

Iko hv ili mtoto azaliwe na sickle cell anaemia disease ni lazma wazaz wote wachangie traits au sifa.

Kama maana hyo mzaz mmoj akiwa hana genes za ugonjwa huo hawez kuzaliwa akiwa na sickle cell anaemia disease. Ila anaweza kuzaliwa kama carrier

Kuhusu mama mwenye sickle cell kushika ujauzito na kulea ni kwamba complication atakayopata kubwa ni Anaemia kwa maana ya upungufu wa damu hvyo anahitaji care kubwa sana
 
Thanks ila akiwa carrier ndo yupo ktk hali gan, huwa sijui maana ya CARRIER
 
Carrier anakuwa na genes au traits za ugonjwa huo lakin unakuwa haumpi madhara wala kumsumbua

Kwake yeye havina madhara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…