Out of topic labda urudie kusomawewe ulikuwa na matatizo ya pesa tu
ulijuaje una vidonda vya tumbo wakati hujapima
kuharisha kunaletwa na mawazo, maisha magumu uliyoyatarajia hayakuwa
kudaiwa, kufilisika nk
umepona kwa imani tu hata ungetumia majani ya mpera kusaga au maganda ya chungwa ungepona bila ya kupima
Asante sana.Aiseeeeh.
Pole na hongera sana kwa kupona.
wewe ulikuwa na matatizo ya pesa tu
ulijuaje una vidonda vya tumbo wakati hujapima
kuharisha kunaletwa na mawazo, maisha magumu uliyoyatarajia hayakuwa
kudaiwa, kufilisika nk
umepona kwa imani tu hata ungetumia majani ya mpera kusaga au maganda ya chungwa ungepona bila ya kupima
Asali si nzuri,inatibua vidondaInawezekana ukapona kwa cabbage lkn napata wasiwasi kama asali inaweza kutibu maana asali yenyewe inadhuru sana kwa wenye vidonda vya tumbo au labda ni asali maalum
Sent using Jamii Forums mobile app
Asali na mdalasini au asali ya mdalasini? Contradiction ya wazi kabisa hiyo.Umeambiwa asali ya mdalasini
Magome ya mdalasini huwa yanasagwa na kua unga lain then utachukua certain amount unachanganya na asali ndo inakua asali ya mdalasiniAsali na mdalasini au asali ya mdalasini? Contradiction ya wazi kabisa hiyo.
Ukizungumzia mdalasini, unazungumzia magome ya mti.
Sasa hapo magome kuwa na asali ama kuwa ni asali, wapi na wapi?
Poa mkuu ntajitahidiVinaweza vikatulia kwa muda tu cha msingi ni kwenda kupima ili ujilidhishe. Pia ni muhimu upunguze kula vyakula vyenye acid kwa wingi ili uepuke kuvitonesha
wewe ulikuwa na matatizo ya pesa tu
ulijuaje una vidonda vya tumbo wakati hujapima
kuharisha kunaletwa na mawazo, maisha magumu uliyoyatarajia hayakuwa
kudaiwa, kufilisika nk
umepona kwa imani tu hata ungetumia majani ya mpera kusaga au maganda ya chungwa ungepona bila ya kupima
Hizi ni akili ama matopeJaribu kunywa whisky kama John walker black label au golden label kama hukusikia maumivu itakuwa umepona
wewe ulikuwa na matatizo ya pesa tu
ulijuaje una vidonda vya tumbo wakati hujapima
kuharisha kunaletwa na mawazo, maisha magumu uliyoyatarajia hayakuwa
kudaiwa, kufilisika nk
umepona kwa imani tu hata ungetumia majani ya mpera kusaga au maganda ya chungwa ungepona bila ya kupima
Hizi ni akili ama matopeJaribu kunywa whisky kama John walker black label au golden label kama hukusikia maumivu itakuwa umepona
Mnapenda kuwadanganya watu kuwa hata nanyi ni wagangaHizi ni akili ama matope
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]Aiseeeeh,
Kweli wewe ni [HASHTAG]#ukwaju[/HASHTAG]!!!
Maana, ukwaju ni mchahcu sana kama haya mawazo yako.
Habari?MKUU dawa ya vidonda vya tumboNimekutumia private sms. icheki
Mi nilitumia H pylori kit sijui ndio hiyo ama lah ila Niko poa.Ilikuwa ni dozi ya siku kumi na nne