Ukwaju
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 13,383
- 11,197
wewe ulikuwa na matatizo ya pesa tu
ulijuaje una vidonda vya tumbo wakati hujapima
kuharisha kunaletwa na mawazo, maisha magumu uliyoyatarajia hayakuwa
kudaiwa, kufilisika nk
umepona kwa imani tu hata ungetumia majani ya mpera kusaga au maganda ya chungwa ungepona bila ya kupima
ulijuaje una vidonda vya tumbo wakati hujapima
kuharisha kunaletwa na mawazo, maisha magumu uliyoyatarajia hayakuwa
kudaiwa, kufilisika nk
umepona kwa imani tu hata ungetumia majani ya mpera kusaga au maganda ya chungwa ungepona bila ya kupima