Ugonjwa wa Vidonda vya Tumbo (Peptic Ulcers Disease): Kinga, tiba na ushauri

Ugonjwa wa Vidonda vya Tumbo (Peptic Ulcers Disease): Kinga, tiba na ushauri

Castle,

Kwanza mpe pole sana. Mimi siyo Daktari ila ninajua dawa ya kienyeji ambayo niliwahi kuelekezwa kwa ajili ya my wife wangu, na alipoitumia akapona kabisa na ninatamani siku moja nimpate Daktari aliyebobea katika ugonjwa huu anielezee kwa undani.

Dawa yenyewe ni hivi, chukua kokwa la parachichi, likatekate vipande vidogovidogo kisha anika juani mpaka likauke. Baadae saga ili kupata unga laini. Chukua yai la kuku wa kienyeji, pasua utoe kile kiini chenye rangi ya njano, changanya na ule unga ambao umeandaa awali, koroga ili kupata mchanganyiko mzuri.

Kisha mpe mgonjwa wako anywe kijiko kimoja mara tatu, baada ya siku tatu atakuwa amepona.

Baada ya hapo akitaka kujua kama amepona au la, anaweza kufanya test ya kawaida kabisa kwa kula maharage, au chakula chenye pili*2 au akaenda kupima hospitali kabisa.

Ukifanikiwa ni PM.



sante lakini kwenye kula kiini cha yai mmmh! Wacha na mimi nijaribu.
 
Lusajo Kyejo Waeleze wewe ndio labda watamini wanafikiri mimi ninawadanganya kuwa Mkojo wako mwenyewe unatibu Maradhi ya Vidonda vya Tumbo? wanafikiri ninasema maneno ya uongo jaribu kuwaeleza wewe labda wataelewa vizuri asante sana ndugu Lusajo Kyejo


Kiongozi siyo madonda ya tumbo tu nahisi kuna maradhi mengi sana hii kitu inatibu ila watu bado hawajatambua, maana kuna story nilisikia kuhusiana na mkojo yaani hadi nilishtuka.
 
Mwenye tatizo la vidonda vya Tumbo Naomba anitafute PM Kuna dawa ya mitishamba ni Nzuri sana Mimi imenisaidia sana kamwe hutojutia kutumia Hii dawa..
 
Mwenye tatizo la vidonda vya Tumbo Naomba anitafute PM Kuna dawa ya mitishamba ni Nzuri sana Mimi imenisaidia sana kamwe hutojutia kutumia Hii dawa..


Sasa Mkuu Kama Unafanya Biashara ungeliandika tu Kuwa Unauza dawa! Na Kama Huuzi Si Ungeweka tu Hapa Maelezo ya Hiyo Dawa wakafaidika Wengi, Yanini Kuwavuta watu Private?
 
Sasa Mkuu Kama Unafanya Biashara ungeliandika tu Kuwa Unauza dawa! Na Kama Huuzi Si Ungeweka tu Hapa Maelezo ya Hiyo Dawa wakafaidika Wengi, Yanini Kuwavuta watu Private?
Mwenye uhitaji anitafute pm.. Nipo Kahama ni dawa hasa.
 
Dawa ya vidonda vya tumbo Mfahamishe huyo jamaa anayeumwa na Vidonda vya Tumbo atumie Dawa ya Hii ya Kienyeji Akiamka Asubuhi kabla ya kula kitu akojowe mkojo wake mwenyewe kwa kipimo cha Glasi moja awe anakunywa mkojo wake kila siku Asubuhi kabla ya kula kitu kwa muda wa Siku Saba kisha Aende kupima hivyo Vidonda vya Tumbo Vitapona na kukauka kabisa Mwambie ajaribu kutumia hiyo Dawa itamsaidia Sana.

Tahadhari:
Kabla ya kunywa huo Mkojo wake aende kupima Hospitali huo mkojo wake je unayo maradhi ya Zinaa au hauna? Ahakikishe Mkojo hauna Maradhi yoyote yale ndio anaweza kuutumia kwa kunywa .

Mzizimkavu salama,

Baada ya kusoma comment yako niliamua kutafuta zaidi kuusu mkojo na nimenunu kitabu kutoka marekani kwa amazon kinacho husu tiba za mkojo (Urine therapy),naendelea kukisoma lakini mpaka sasa wameonyesha kwamba mkojo unatibu magonjwa mengi sana. thx for bringing up this idea.

unaweza kuja PM unieleweshe mawili matatu, please.
 
Habari WanaJF,

Nina rafiki yangu huu mwaka wa pili anasumbuliwa na ulcers (vidonda Vya tumbo).

Ameshazunguka sanitarium clinics nyingi tu ikiwemo G...... sanitarium clinic Mwanza ila ameishia kudhurumiwa kwani tatizo liko pale pale..

Kanywa Aloe vera mpaka basi, kala kabeji hadi wenye bustan wanamchukia hivi sasa kachoka anasubiri rehema za Mwenyez Mungu.

Msaada jamani natanguliza shukrani kwenu..
 
Atumie juizi ya parachichi kwa uwingi hakika atapona na azingatie muda wa kula
 
Back
Top Bottom