Kama ni hivyo kwanini umlaumu diamond?Wala sio nongwa mkuu
ila Kuna "shabiki na mpuuzi"
sasa wale wapuuzi ndio tunawazungumzia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ni hivyo kwanini umlaumu diamond?Wala sio nongwa mkuu
ila Kuna "shabiki na mpuuzi"
sasa wale wapuuzi ndio tunawazungumzia
hili jamaa ni boya sana...sijui mmemtoa wapiet Media za youtube hazipost show ya harmonize
we unaelewa unacho kiandika kweli hapa !?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndiyo maana nasema huyu jamaa ni boya sana....hajui kama bila Diamond hakuna Konde BoyMbona diamond kawasaidia wasanii wengi amempa connection shetta kufanya collabo na kcee, chege na run town, amemlipia video ya dully Sykes inde, kamsaidia dj ommy kumpa connection mpaka kumwezesha kufanya vizuri medani za kimataifa.Pia angekuwa ni mbinafsi Kama unavyosema harmo asingekuwa msanii wa kimataifa, Asingemtoa Rayvanny, Lavalava na mbosso
Hapo chachaUmeongea kitu kikubwa sana Mzee ila team Wcb watakuponda na watakukebei sana
Kama Diamond angebaniwa wakati anatoka sidhani kama angefika hapo alipo, Team ina meneja anajisifu kwa kujiita kamati ya Fitina
Duh duh!!! ama kweli tuna watu!!! sasa waachiane zamu au kila mtu anatakiwa apigane kubaki juu!! kwani wakongo man walikuwa wanaachiana zamu!!! zamu unataka ipangwe na nani! kwahiyo MC NICE ,FERUZI wamebaniwa au wametolewa kwenye zamu......mawzo yako bwanaNmefatilia kwa undani mikiki anayopitia kondeboy toka ajiengue WCB.. Kiukweli hajashuka Kama tunavyolazimishwa tuamini. Kwanza official songs katoa UNO na KUSHOTO KULIA, na zote zimefanya vyema you tube. Hainshtui na Hjanikomoa ni bonus track wakati anajiandaa kuachia album Yake. Inashangaza sana kuwa nchi yenye watu million 50 tunataka msanii awe DIAMONDPLATINUM TU. wenzetu Nigeria international artist ni wengi kwa sababu wanaachiana nafasi. Huku tz tunapambana kusushana yaani mpaka media za YouTube hazipost show za harmonize ili tu akose mvutoo. Wenzetu wamefanikiwa kwa kuachiana nafasi...SASa hivi wamemwachia nafasi BURNABO.Hata hapa watu watakavyojibu ni kwa kumkatisha tamaa kondeboy.
yeye si ndio analipa cha kufanya kundi la wapuuzi.. Unadhani bila Diamond na mameneja kamati ya fitna kuna wapuuzi? Hawatakuwepo watabaki mashabiki sasa mkuuKama ni hivyo kwanini umlaumu diamond?