Hizo fitna anazofanya ni Kama zipi tujue?Diamond anakusaidia ukiwa sio threat kwake
ukishakua tishio wa himaya yake lazima mgombane anajua team yake yote itamsapoti na watakushusha.
Shetta /Ommy dimpoz /Konde boy nk
yoyote anaetishia himaya ya Diamond[emoji724]
Diamond alivyokua anamsifia konde,Wakina shetta /ommy anaenda nao kila mahala kama chawa sio wa kuishia ivi leo.Kama sio fitna ni nini[emoji2]
Chunguza vizuri hao wote ulowataja nani anaanzaga kumzingua mwenzake.... Isijekuwa unachuki zako jombaa.Diamond anakusaidia ukiwa sio threat kwake
ukishakua tishio wa himaya yake lazima mgombane anajua team yake yote itamsapoti na watakushusha.
Shetta /Ommy dimpoz /Konde boy nk
yoyote anaetishia himaya ya Diamond[emoji724]
Diamond alivyokua anamsifia konde,Wakina shetta /ommy anaenda nao kila mahala kama chawa sio wa kuishia ivi leo.Kama sio fitna ni nini[emoji2]
Akikwambia unitag... Huyu ni hater per se ndo maana anapandanisha mafileHizo fitna anazofanya ni Kama zipi tujue?
Tatizo mna bonga Sana , Harmonize akifanikiwa mnamrushia dongo Diamond na kumcheka , wakat 80% ya watu wenye uelewa na mambo ya mtandao na Wana passion na mziki wa bongo ni fan kidanki danki wa mond ....na konde boy anategemea hao hao ndo wamtoe , aendelee Tu kucheza twist , wanigeria hawana unafiki huo....Nimefatilia kwa undani mikiki anayopitia kondeboy toka ajiengue WCB. Kiukweli hajashuka Kama tunavyolazimishwa tuamini. Kwanza official songs katoa UNO na KUSHOTO KULIA na zote zimefanya vyema you tube. Hainshtui na Hujanikomoa ni bonus track wakati anajiandaa kuachia album Yake. Inashangaza sana kuwa nchi yenye watu million 50 tunataka msanii awe DIAMOND PLATINUMZ TU.
Wenzetu Nigeria international artist ni wengi kwa sababu wanaachiana nafasi. Huku Tz tunapambana kushushana yaani mpaka media za YouTube hazipost show za harmonize ili tu akose mvuto. Wenzetu wamefanikiwa kwa kuachiana nafasi.
Sasa hivi wamemwachia nafasi BURNABO.Hata hapa watu watakavyojibu ni kwa kumkatisha tamaa kondeboy.
Diamond alibaniwa Sana na hao mawingu wako na wahuni kibao waliokuwa wanajifanya bongo fleva ni yao, ikabid atobokee Nigeria chini ya kamanda Sallam Sk , kitu kikawaka MTV , kila mmoja apambane kivyake endeleeni kumsuport konde boy mwacheni mond na fans wakeUmeongea kitu kikubwa sana Mzee ila team Wcb watakuponda na watakukebei sana
Kama Diamond angebaniwa wakati anatoka sidhani kama angefika hapo alipo, Team ina meneja anajisifu kwa kujiita kamati ya Fitina
Tatizo kila msanii anataka afanane na Mond , asipomfikia anachukia anaona anabaniwa , diamond ni Baba Yao , Ni Mungu wao ndo aliwaumba , ?? Wapambane kivyaoMbona diamond kawasaidia wasanii wengi amempa connection shetta kufanya collabo na kcee, chege na run town, amemlipia video ya dully Sykes inde, kamsaidia dj ommy kumpa connection mpaka kumwezesha kufanya vizuri medani za kimataifa.Pia angekuwa ni mbinafsi Kama unavyosema harmo asingekuwa msanii wa kimataifa, Asingemtoa Rayvanny, Lavalava na mbosso
Yaan kinacholalamikiwa hapa ni kuwa fans wa WCB wanambania konde boy Kwa influence ya Mond , inadaiwa wamemkimbia kisa katoka WCB na lawama zote zinamwangukia DiamondJapo mimi sio shabiki wa Diamond lakini huwa nashangaa sana mtu anaposema sijui Diamond mbinafsi,anataka kuwa juu peke yake,anatengeneza beef na wasanii wengine nk,Msanii anabaniwa vipi na Diamond kama yeye mwenyewe hajitumi,hana uthubutu,hajui kuutangaza mziki wake,hatafuti angalau collabo na wasanii wakubwa wa nje ambapo watamtangaza zaidi au muziki wake kuvuka border,muziki ni biashara kila mtu anahangaikia upande wake unabaniwa vipi na msanii mwingine?, Harmonize kuondoka WCB binafsi hata mimi nilipongeza nikijua ataleta changamoto kubwa ktk mziki wa bongo,sasa iweje aonekane anabaniwa wakati lebo aliyokuwepo mwanzo ndio inaongoza kubaniwa na media nyingi?,wakati yupo WCB anatoa hit songs haikua clouds media,East Africa radio/tv,efm,millard ayo ambazo zilikua zikimsampoti,leo hii media hizo zinamsapoti harmonize hapa anabaniwa vipi?, tayari wakati yupo WCB alishafanya international collabo nyingi ambazo zimeshafanya atambulike zaidi Africa hapa napo nini kinamzuia asiwe mkubwa zaidi ya Diamond?,pengine hii ndio ingekuwa fursa kwake kutoa hit songs nyingi na kujiongezea fan base kwasababu yupo huru,hebu nielewesheni labda sielewi wakuu maana ya msanii kubaniwa..
Sent using Jamii Forums mobile app
Na haya yote ni matokeo ya wimbo wa kwangwaruu , hamna kingineTatizo ninaloliona ni kuwa konde boy anataka ajilinganishe na mond kitu ambacho kwa namna moja ama nyingine hakiwezekani kama ataamua afanye music bila kushindana na mtu atatoboa ila akiendelea hivi na mafumbo kwenye music atapotea kingine sie mashabiki hatuwambii ukweli wasanii wetu tunawapa sifa zilizo nje ya uwezo wao
Hapo kwa BurnaBoy mtoa tafadhaliAfanye mziki wake aache majungu,kaanza Hainishtui watu kimya,kaja Hujanikomoa WCB wamekaa kimya ,sababu wameona ujumbe umekaa kimafumbo labda hauwahusu wao.
Juzi tena kapost video kuna kiemoro kinakunywa,huku kinacheza kakifananisha na meneja wake wa zamani ambaye anapenda bata (Sallam ) naona wenzake nao wamereact,sasa hivi anatafuta huruma.
Yy afanye mziki wake kama ameamua kumove on,akina Kiss Daniel,Lil Kesh,Tiwa Savage,Wizkid wametoka kwenye label zao za zamani lakini hawana madongo wala mafumbo kutoka kwenye label zao zilizo watoa na kuwasaidia.
Nigeria hamna mziki wa kuachiana nafasi haupo,ila wenzetu wanabebana sana,Burna boy kaachia nyimbo imehit kuliko wenzake,lkn mwaka jana Wizkid kaachia nyimbo,Olamide kaachia nyimbo,Davido kaachia nyimbo,Naira Marley,Zlatan,Patoranking,Simi,Adenkule gold,Rekardo Bank,Joeboy,Fireboy wote wameachia nyimbo.
Na kwa mwaka jana msanii alifanya vizuri Nigeria ni Naira Marley,akifuatiwa na Zlatan.Burnaboy alifanya vizuri 2018 na ndio maana mwaka jana alikusanya tuzo nyingi sana.
Diamond na Zari washaachana na maisha lazima yaendelee ila una chuki Sana as if we ndo ulitoka kimapenzi na mondi badala ya Zari
Watu kwa lawama!Mbona diamond kawasaidia wasanii wengi amempa connection shetta kufanya collabo na kcee, chege na run town, amemlipia video ya dully Sykes inde, kamsaidia dj ommy kumpa connection mpaka kumwezesha kufanya vizuri medani za kimataifa.Pia angekuwa ni mbinafsi Kama unavyosema harmo asingekuwa msanii wa kimataifa, Asingemtoa Rayvanny, Lavalava na mbosso
Hata tukija kwenye Hiyo video niambie video ipi hapa bongo ambayo maudhui yake au scenes zake hazifanani na video yoyote duniani?Huu wimbo una uhusiano gani na domo na zari?
Yaani unawashwa washwa balaa.
Kwani kabla Diamond hajakua kimziki mziki ulikuaje? Ulikua umekua?Ulikua hujui?
Diamond kawahi kutoka nje halafu kafunga mlango.. [emoji23][emoji23]
siku akiacha mziki ndio mziki utakua mziki.
Ndo mana napend singeli haina ubinafsi, wimbo mzuri utakuweka kileleni sio jina
Hata tukija kwenye Hiyo video niambie video ipi hapa bongo ambayo maudhui yake au scenes zake hazifanani na video yoyote duniani?
Lack of originality.Nimefatilia kwa undani mikiki anayopitia kondeboy toka ajiengue WCB. Kiukweli hajashuka Kama tunavyolazimishwa tuamini. Kwanza official songs katoa UNO na KUSHOTO KULIA na zote zimefanya vyema you tube. Hainshtui na Hujanikomoa ni bonus track wakati anajiandaa kuachia album Yake. Inashangaza sana kuwa nchi yenye watu million 50 tunataka msanii awe DIAMOND PLATINUMZ TU.
Wenzetu Nigeria international artist ni wengi kwa sababu wanaachiana nafasi. Huku Tz tunapambana kushushana yaani mpaka media za YouTube hazipost show za harmonize ili tu akose mvuto. Wenzetu wamefanikiwa kwa kuachiana nafasi.
Sasa hivi wamemwachia nafasi BURNABO.Hata hapa watu watakavyojibu ni kwa kumkatisha tamaa kondeboy.
ulikua mzuri sana kila mtu alipewa nafasi yake kwa ukali wake.Kwani kabla Diamond hajakua kimziki mziki ulikuaje? Ulikua umekua?