Ugumu anaoupitia Harmonize ni kielelezo tosha kwanini sanaa yetu haikui. WCB inaua wasanii nje ya lable yao

Ugumu anaoupitia Harmonize ni kielelezo tosha kwanini sanaa yetu haikui. WCB inaua wasanii nje ya lable yao

Nmefatilia kwa undani mikiki anayopitia kondeboy toka ajiengue WCB.. Kiukweli hajashuka Kama tunavyolazimishwa tuamini. Kwanza official songs katoa UNO na KUSHOTO KULIA, na zote zimefanya vyema you tube. Hainshtui na Hjanikomoa ni bonus track wakati anajiandaa kuachia album Yake. Inashangaza sana kuwa nchi yenye watu million 50 tunataka msanii awe DIAMONDPLATINUM TU. wenzetu Nigeria international artist ni wengi kwa sababu wanaachiana nafasi. Huku tz tunapambana kusushana yaani mpaka media za YouTube hazipost show za harmonize ili tu akose mvutoo. Wenzetu wamefanikiwa kwa kuachiana nafasi...SASa hivi wamemwachia nafasi BURNABO.Hata hapa watu watakavyojibu ni kwa kumkatisha tamaa kondeboy.
Chapa kazi kondaboy, kulialia mtandaoni hakutakusaidia lolote

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo ninaloliona ni kuwa konde boy anataka ajilinganishe na mond kitu ambacho kwa namna moja ama nyingine hakiwezekani kama ataamua afanye music bila kushindana na mtu atatoboa ila akiendelea hivi na mafumbo kwenye music atapotea kingine sie mashabiki hatuwambii ukweli wasanii wetu tunawapa sifa zilizo nje ya uwezo wao
 
Nmefatilia kwa undani mikiki anayopitia kondeboy toka ajiengue WCB.. Kiukweli hajashuka Kama tunavyolazimishwa tuamini. Kwanza official songs katoa UNO na KUSHOTO KULIA, na zote zimefanya vyema you tube. Hainshtui na Hjanikomoa ni bonus track wakati anajiandaa kuachia album Yake. Inashangaza sana kuwa nchi yenye watu million 50 tunataka msanii awe DIAMONDPLATINUM TU. wenzetu Nigeria international artist ni wengi kwa sababu wanaachiana nafasi. Huku tz tunapambana kusushana yaani mpaka media za YouTube hazipost show za harmonize ili tu akose mvutoo. Wenzetu wamefanikiwa kwa kuachiana nafasi...SASa hivi wamemwachia nafasi BURNABO.Hata hapa watu watakavyojibu ni kwa kumkatisha tamaa kondeboy.

Huyo anajimaliza mwenyewe na CCM yake
Ukijifanya wewe mpiga debe wa ccm.. hesabu maumivu.

Awaulize akina Marlow na wenzake
 
Nmefatilia kwa undani mikiki anayopitia kondeboy toka ajiengue WCB.. Kiukweli hajashuka Kama tunavyolazimishwa tuamini. Kwanza official songs katoa UNO na KUSHOTO KULIA, na zote zimefanya vyema you tube. Hainshtui na Hjanikomoa ni bonus track wakati anajiandaa kuachia album Yake. Inashangaza sana kuwa nchi yenye watu million 50 tunataka msanii awe DIAMONDPLATINUM TU. wenzetu Nigeria international artist ni wengi kwa sababu wanaachiana nafasi. Huku tz tunapambana kusushana yaani mpaka media za YouTube hazipost show za harmonize ili tu akose mvutoo. Wenzetu wamefanikiwa kwa kuachiana nafasi...SASa hivi wamemwachia nafasi BURNABO.Hata hapa watu watakavyojibu ni kwa kumkatisha tamaa kondeboy.
Nazipenda nyimbo zake konde boy lakini anafanya ujinga sana kujiingiza kwenye mambo ya kisiasa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
yeye si ndio analipa cha kufanya kundi la wapuuzi.. Unadhani bila Diamond na mameneja kamati ya fitna kuna wapuuzi? Hawatakuwepo watabaki mashabiki sasa mkuu
Mbona mashabiki wapuuzi wapo kwa wasanii wote wa mziki kuanzia Kiba, Vanessa, Aslay n.k na hao mashabiki hawapo tu kwenye mziki pekee wapo hata huku kwenye soccer letu.
 
Mbona diamond kawasaidia wasanii wengi amempa connection shetta kufanya collabo na kcee, chege na run town, amemlipia video ya dully Sykes inde, kamsaidia dj ommy kumpa connection mpaka kumwezesha kufanya vizuri medani za kimataifa.Pia angekuwa ni mbinafsi Kama unavyosema harmo asingekuwa msanii wa kimataifa, Asingemtoa Rayvanny, Lavalava na mbosso
Diamond anakusaidia ukiwa sio threat kwake
ukishakua tishio wa himaya yake lazima mgombane anajua team yake yote itamsapoti na watakushusha.
Shetta /Ommy dimpoz /Konde boy nk
yoyote anaetishia himaya ya Diamond[emoji724]
Diamond alivyokua anamsifia konde,Wakina shetta /ommy anaenda nao kila mahala kama chawa sio wa kuishia ivi leo.Kama sio fitna ni nini[emoji2]
 
HAKUNA HURUMA YA WANANCHI KAMA UNATOA NGOMA MBOVU, APAMBANE KWA NAFASI YAKE JAPO ANGUKO LAKE LINAONEKANA WAZI KABISA
Naona saizi anatoa stress mara hainishtui mara sijui hujanikomoa yaani jamaa sijui ndo kupanic!? Afanye mziki asipige madongo jiwe anajidhalilisha
 
Back
Top Bottom